Kwani amebadilishwa na nani? Mbona speech zake zimekuwa kama kujibu mashambulizi na kujihami tu

Kwani amebadilishwa na nani? Mbona speech zake zimekuwa kama kujibu mashambulizi na kujihami tu

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Alianza vizuri kutoa hotuba zenye kusisimua na kuelekeza kwa upole na unyenyekevu mwingi lakini siku hizi ni kufokafoka tu na kujihami kana kwamba ameambia anaenda kupinduliwa mda si mrefu. Au CCM wamemharibu mapema hivi.

Ukisikiliza hotuba ya juzi kwa viongozi wa dini ni kama alienda akiwa amewapania kuwapa vidonge vyao.

Yaani amebadirika ghafla na tayari inferiority complex imeshaanza kuonekana wazi. Tafadhari arudi kwenye mstari mana anaonekana vita ikija anaweza kimbja nchi kabisa.
 
Hiyo nafasi ni ngumu lazima unaekalia awe na rangi zoote... Viongozi wa dini walitaka kupenyeza ajenda zao za kusamehewa kodi kwenye vitu ambavyo wanafanya biashara wazi wazi..

Taasisi za kidini wanapenda Sana mserereko kwenye maswala ya kodi, wakati gharama zao hazina utofauti na taasisi binafsi.

Mama lazima akaze la sivyo nchi itageuka shamba la bibi.
 
Alianza vizuri kutoa hotuba zenye kusisimua na kuelekeza kwa upole na unyenyekevu mwingi lakini siku hizi ni kufokafoka tu na kujihami kana kwamba ameambia anaenda kupinduliwa mda si mrefu. Au CCM wamemharibu mapema hivi.

Ukisikiliza hotuba ya juzi kwa viongozi wa dini ni kama alienda akiwa amewapania kuwapa vidonge vyao.

Yaani amebadirika ghafla na tayari inferiority complex imeshaanza kuonekana wazi. Tafadhari arudi kwenye mstari mana anaonekana vita ikija anaweza kimbja nchi kabisa.
Remote controller at Musiooga Chalinze
 
Alianza vizuri kutoa hotuba zenye kusisimua na kuelekeza kwa upole na unyenyekevu mwingi lakini siku hizi ni kufokafoka tu na kujihami kana kwamba ameambia anaenda kupinduliwa mda si mrefu. Au CCM wamemharibu mapema hivi.

Ukisikiliza hotuba ya juzi kwa viongozi wa dini ni kama alienda akiwa amewapania kuwapa vidonge vyao.

Yaani amebadirika ghafla na tayari inferiority complex imeshaanza kuonekana wazi. Tafadhari arudi kwenye mstari mana anaonekana vita ikija anaweza kimbja nchi kabisa.
maji hurudi kwenye ubaridi wake ni swala la muda tu.
hii ni nafasi ya Rais sio ya mchezo hapa unaangalia vyote wema na wabaya ,mbuzi na kondoo maskini na tajiri
shida ni pale unapotakiwa umdekeze maskini na unyenyekee mwenye pesa ili akupe kodi uweze kuwafadhiri maskini!
ndipo swala la kuamua inabidi lifanyike na hakuna mazingira ya upande ambao hautaumia.
sasa mama akienda kihuruma lazima itasumbua!
lazima aamue akae na wala rushwa na wezi ili siku ziende au wateme wawindane!
 
Kuongoza nchi sio Kama unaongoza familia ya watu watatu,,, na asipokuwa makini atajuta ,ajichanganye aruhusu mbowe, lisu, Zito, Mnyika, Heche ,Lema , Mstiko,Mdee n.k waingie mtaani wafanye mikutano ya siasa hata huu mwaka mmoja atauona ni mrefu amwuulize kikwete walivyomfanya miaka ile akina Slaa, Zito, Lissu, alitamani awaue nchi ilikuwa inawaka Moto,,Yule bwana sio mjinga kuwazuia maana hawa jamaa wana uwezo mkubwa , wanauwezo wa kutumia mwezi mmoja kuingia mtaani ukatamani wafe wote kwa korona ,haya Bi mkubwa kazi kwako
 
Yangu macho na najiuliza kila uchao wale wasiyo na kazi iweje nao waseme "kazi iendelee"
Ha ha ha ha si unajua tena sisi uboya umezidi eeeee na kutandika khanga chini huku kula yao majaliwa
 
Alianza vizuri kutoa hotuba zenye kusisimua na kuelekeza kwa upole na unyenyekevu mwingi lakini siku hizi ni kufokafoka tu na kujihami kana kwamba ameambia anaenda kupinduliwa mda si mrefu. Au CCM wamemharibu mapema hivi.

Ukisikiliza hotuba ya juzi kwa viongozi wa dini ni kama alienda akiwa amewapania kuwapa vidonge vyao.

Yaani amebadirika ghafla na tayari inferiority complex imeshaanza kuonekana wazi. Tafadhari arudi kwenye mstari mana anaonekana vita ikija anaweza kimbja nchi kabisa.
Emeshaanza kupandisha mabega
 
Alianza vizuri kutoa hotuba zenye kusisimua na kuelekeza kwa upole na unyenyekevu mwingi lakini siku hizi ni kufokafoka tu na kujihami kana kwamba ameambia anaenda kupinduliwa mda si mrefu. Au CCM wamemharibu mapema hivi.

Ukisikiliza hotuba ya juzi kwa viongozi wa dini ni kama alienda akiwa amewapania kuwapa vidonge vyao.

Yaani amebadirika ghafla na tayari inferiority complex imeshaanza kuonekana wazi. Tafadhari arudi kwenye mstari mana anaonekana vita ikija anaweza kimbja nchi kabisa.
Tumvumilie tu Mkuu kwani Yeye ni Michael Sarpong ndani ya CCM na Serikali yake.
 
Back
Top Bottom