Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Anataka kuwaonyesha tu side b yake ikoje maana mlianza kumchezea kama kina mdude
Rais badala ya kusimamia sera anajikita kwenye siasa ndogo ndogo za kina Mdude. Ukiona rais wa hivyo ujue hana uwezo na ndio maana anapanick mambo madogo. Toka siku ile rais afanye kikao na waandishi wa habari, ni kama alipoteza ushawishi kwa wengi, hali hiyo imevuruga na sasa ni kama kapotea kwenye game. Sasa hivi kundi la watu wasiojulikana lazima kurudi.