Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Acha kuamsha waliolala utalala wewe, muda utasema Mangineli
 
Samia akisikia tu salamaleko, anauliza nisaini wapi?
Halafu baadae mnakuja kusema Serikali inaligeuza hili jambo kuwa la kidini

lakini pia huwa sishangai sana maana hata huko Upinzanini kuna mawakala wengi wa kuvuruga agenda muhimu
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
CHADEMA ni parokia. Waislam jitoeni haraka.
 
Semeni yote mtakayosema, kama malalamiko yenu yanaweza kujibu hoja za kesho kwenye mkutano karibuni, huu ujinga wa kuhesabu wangapi wa dini gani na wangapi wa dini ipi ni upuuzi tusiotakiwa kuupa nafasi kama taifa.

Haiwezekani mjinga atuingize mtegoni kama taifa vizazi vyetu vyote, halafu badala ya kuambiwa ukweli tuanze kupoteza muda kutazamana dini zetu, hao mashekhe kama wanaijua haki na kuitambua thamani yake, wakaribie kwenye mkutano, hayupo aliyewakataza..

Lakini tusichezeane kwenye suala la kulinda rasilimali zetu, kwa ajili yetu na vizazi vyetu, huyo Thadei Ole Mushi ni mpuuzi asiye na akili.
 
Rasilimali za nchi haziwezi kuachwa zichezewe na mjinga kisha tunyamaze kwa kivuli cha dini, wote wanaomuunga mkono Samia kwenye hili ni wasaliti, hawatasubiriwa, lazima tusonge mbele.
 
Hakuna kulala wala kubembeleza wafuasi wa shetani kwenye hili, lazima apigwe mawe
 
Nilikuwa namwambia mtu jana kwamba kuwaingiza sana viongozi wa kidini katika hili jambo ni mistake.

Wananchi wengine watapata signal kwamba hili ni suala la upinzani wa kidini. Hususan wakristo wanampinga rais muislamu.

Majuzi Peter Madeleka katika press conference alikuwa ana ji contradict.

Alikuwa anaponda point aliyoambiwa ya kuwaamini viongozi, akasema hili ni suala la sheria, si suala la imani, mambo ya imani tuyaache kanisani.

Alikuwa anasema hivyo huku kakaa pembeni ya Askofu. Askofu aliyekuja kuingelea suala hilihili. Contradiction.

Halafu akaendelea kusema habari za Mungu this, Mungu that. Anafuta point yake ya kulifanya jambo hili liwe la kisheria na secular.

Tunataka mazungumzo secular kwa masuala secular, yani hata kama wewe Askofu, ukija kuzungumzia suala hili, vua makofia yako ya uaskofu.
Hakuna aliyejichanganya.

Dr. Slaa katoa mwaliko kwa viongozi wote wa dini zote, asasi za kiraia nk..ambao hawajakwenda ni kwa mapenzi yao, hawezi kuwabeba mgongoni, haki ipo Temeke, waifuate kama wanaiamini na kuitetea.

Pia, Adv. Madeleka hajajichanganya popote, ametaka suala la mkataba wa hovyo wa bandari lisihusishwe na dini, simply kwasababu kwenye ule mkataba hakuna kipengele cha dini pale, ni sheria pekee, hivyo lijadiliwe kisheria.

Lakini akamtaja Mungu akijua fika, hao waliosaini ule mkataba wa hovyo unaoliangamzia taifa, wana dini zao, ndio maana akamtaja Mungu, kwamba kama wangekuwa wanamuogopa Mungu wanayemuomba kwa imani zao, basi wasingetuingiza kwenye mkataba wa hovyo kama ule, ameeleweka.

Having said that, kila kitu kipo kwenye mstari, hakuna yeyote aliyekosea popote, kazi ibaki moja tu kesho Temeke.
 
Kwani kipindi cha Magufuli waliokuwa wanapinga mabaya yanayofanyika walikuwa waislamu au wakristu?
 
Ukimuondoa Zito Kabwe ni muislamu gani aliwahi kumpinga hayati Magufuli
 
Huwezi itenganisha CHADEMA na udini plus ukabila. Ni chama kilichojaa matabaka. Wenyewe wanasema chama chao kinapendwa na wasomi huku wakisahau kuwa kura za wasomi ni chache mno.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!

ACHA IWE HIVYO, lakini suala la bandari tutaendelea kulisemea tu
 
Hakuna aliyejichanganya.

Dr. Slaa katoa mwaliko kwa viongozi wote wa dini zote, ambao hawajakwenda ni kwa mapenzi yao, hawezi kuwabeba mgongoni, haki ipo Temeke, waifuate kama wanaiamini na kuitetea.

Pia, Adv. Madeleka hajajichanganya popote, ametaka suala la mkataba wa hovyo wa bandari lisihusishwe na dini simply kwasababu kwenye ule mkataba hakuna kipengele cha dini pale, ni sheria pekee, hivyo lijadiliwe kisheria.

Lakini akamtaja Mungu akijua fika, hao waliosaini ule mkataba wa hovyo unaoliangamzia taifa, wana dini zao, ndio maana akamtaja Mungu, kwamba kama wangekuwa wanamuogopa Mungu wanayemuomba kwa imani zao, wasingetuingiza kwenye mkataba wa hovyo kama ule.

Having said that, kila kiu kipo kwenye mstari, hakuna yeyote aliyekosea popote, kazi ibaki moja tu kesho Temeke.
Unataka vipi suala la mkataba lisihusishwe na dini wakati unaposema hivyo uko pembeni mwa Askofu?
 
Back
Top Bottom