Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

Mikataba ya Lease na Consession huwa na uhai unaotegemea vigezo vingi.

Sio mkataba mmoja tu, ni mikataba kwani kuna kifungu kinachoongelea mawanda yaani scope ya biashara mbalimbali.
Jibu swali uliloulizwa kumbuka hapa kuna watu wa uelewa tofauti,mkataba uliopita ulikuwa wa miaka 20 je huu wa mda gani?na DP world alipatikana katika mazingira gani?
 
Ni Muislam yupi aliomba kupewa nafasi kuzungumza akanyimwa?!
 
Ni Muislam yupi aliomba kupewa nafasi kuzungumza akanyimwa?!
Masuala secular ya nchi kwa nini mnaingiza dini?

Tumeshindwa kufanya siasa bila kuingiza dini katika siasa?

Madeleka kaambiwa awaamini viongozi wa nchi, akasdma hili ninsuala la kisjeria, imani nendeni nayo kanisani, mbona mnarudisha suala la imani katika suala la kisiasa na kisheria?
 
Jibu swali uliloulizwa kumbuka hapa kuna watu wa uelewa tofauti,mkataba uliopita ulikuwa wa miaka 20 je huu wa mda gani?na DP world alipatikana katika mazingira gani?
Expo Dubai 2020 ilimpata DP World kwao Dubai. Pande zote mbili zilikuwa na sababu ya kungia ubia wa kibiashara Tanzania ikihitaji mwekezaji pale TPA, DPW akiwa na mzigo wake mwingi kule Rwanda, Congo.

Mkataba wa IGA hauwezi kuwa na ukomo, ile inayozaliwa baada ya kuwa umeshapita bungeni ndio yenye ukomo, na ni kwa kuzingatia vigezo mbalimbali huo ukomo hupatikana.
 
Naona sasa umeamua kujipoteza njia, muhimu mkutano upo pale Temeke, leo Jumapili, 23/07..
Nakwambia hivi, hakuna raia wa Tanganyika. That is a fact.

You are being performative. Not factual.
 
Kwanini lilete distraction kwani Askofu hawezi kuwa na facts?!

Wewe ndie mwenye tatizo kwenye maono yako, vua hilo koti la udini, kasikilize hoja.

Askofu haendi Temeke kuendesha ibada, amka, bado umelala kifikra.
CHADEMA wako Temeke sasa hivi katoka kupiga dua kiarabu Shehe, hata hatujui kasema nini.

Mmeingiza ujinga wa dini katika siasa na kuuweka mbele mpaka mnaondoa maana.

Waafrika wengi hii mifumo secular hamuiwezi, mshazoea mental models zenu za dini.

Yani hata huelewi Tanzania ina watu wa dini nyingi na wasio na dini na ukiingiza dini kwenye suala secular una complicate mambo unnecessarily.
 
Ole Thadei ni mpuuzi pia ana viashiria vya upumbavu
Mimi namuelewa ila naelewa kwa nini Watanzania wengi wanakuwa wagumu kumuelewa.

Tumesema tuna nchi secular, kwenye mambo ya kitaifa, lakini hatuwezi kwenda na kile tulichokisema.

Mkitaka kufuata hizo dini, mtatakiwa muwafuate viongozi wa serikali, dini zingine zimesema watu wawatii viongizi, kwa sababu viongozi wamewekwa na Mungu, sasa hapo utasemaje unapinga uongozi kwa kutumia dini?

Naelewa wengi hamuwezi ku operate nje ya hii mental model ya dini, na ndiyo maana mnashindwa hata kuwatoa hao viongozi.

Kwa sababu badala ya kukataa udhalimu wao unaotumia dini kukandamiza watu, na nyie mnatumia dini kujenga all sorts of arguments from authority and time wasting abracadabras.
 
Kwanini lilete distraction kwani Askofu hawezi kuwa na facts?!

Wewe ndie mwenye tatizo kwenye maono yako, vua hilo koti la udini, kasikilize hoja.

Askofu haendi Temeke kuendesha ibada, amka, bado umelala kifikra.
Sasa hivi meza kuu ya CHADEMA kwenye mkutano wao kuna Askofu Emmaus Mwakula kavaa nguo zake za kiaskofu, kavaa kofia yake ya kiaskofu, literally.

Huyu Askofu, wakati akiwa amevaa hivihivi, alikuwa pembeni mwa Peter Madeleka kwenye press cobference ya awali, wakati Peter Madeleka anasema "mambo ya imani pelekeni kanisani, mkataba huu ni suala la kisheria".

Na hapo Askofu kashafungua kikao kwa sala.

Huoni contradiction hapo? Huoni distraction?
 
Mimi namuelewa ila naelewa kwa nini Watanzania wengi wanakuwa wagumu kumuelewa.

Tumesema tuna nchi secular, kwenye mambo ya kitaifa, lakini hatuwezi kwenda na kile tulichokisema.

Mkitaka kufuata hizo dini, mtatakiwa muwafuate viongozi wa serikali, dini zingine zimesema watu wawatii viongizi, kwa sababu viongozi wamewekwa na Mungu, sasa hapo utasemaje unapinga uongozi kwa kutumia dini?

Naelewa wengi hamuwezi ku operate nje ya hii mental model ya dini, na ndiyo maana mnashindwa hata kuwatoa hao viongozi.

Kwa sababu badala ya kukataa udhalimu wao unaotumia dini kukandamiza watu, na nyie mnatumia dini kujenga all sorts of arguments from authority and time wasting abracadabras.
Hao wajinga wanaotumia mimbari zao kupigia chapuo mkataba wa DP World ni sahihi lakini wanaoupinga wanakosea.

Bias
 
Hao wajinga wanaotumia mimbari zao kupigia chapuo mkataba wa DP World ni sahihi lakini wanaoupinga wanakosea.

Bias
Logical non sequitur and argument from thin air.

Wapi nimewakubali wajinga wanaopigia chapuo mkataba wa DP World?

Kwa nini watu wengi mnakuwa na one track mind? Kwa nini mnaona mtu akipinga kuingiza dini katika kupinga DP World tayari anakuwa kakubali wanao support mkataba wa DP World?

Mimi sikubali mkataba wa DP World, na hapo hapo naona kuupinga kwa kutumia dini kunavunja misingi ya kufanya siasa secular.

Hapo utaniwekaje katika wanaokubali mkataba wa DP World?

Haya maongezi mengine tumezoea tukiongea leo, kuanza kueleweka ni miaka 10 ijayo.
 
Baba Askofu kajisahau kwenye mkutano kapiga Haleluyaaaa, Haleluyaaa.

Akajistukia akasema sorry.

Halafu mwisho kasema "achia, achia Bandari katika jina la Yesu"

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CHADEMA wako Temeke sasa hivi katoka kupiga dua kiarabu Shehe, hata hatujui kasema nini.

Mmeingiza ujinga wa dini katika siasa na kuuweka mbele mpaka mnaondoa maana.

Waafrika wengi hii mifumo secular hamuiwezi, mshazoea mental models zenu za dini.

Yani hata huelewi Tanzania ina watu wa dini nyingi na wasio na dini na ukiingiza dini kwenye suala secular una complicate mambo unnecessarily.
Wewe huwa hauamini dini, sasa iweje uhangaishwe na mavazi ya watu, badala ya kusikiliza kile wanachozungumza?

Siasa haina dini, lakini wanaoifanya wana dini, hapa utapasuka kichwa bure..
 
Wewe huwa hauamini dini, sasa iweje uhangaishwe na mavazi ya watu, badala ya kusikiliza kile wanachozungumza?

Siasa haina dini, lakini wanaoifanya wana dini, hapa utapasuka kichwa bure..
Mavazi ni symbolism, yana saikolojia.

Na hapa napinga zaidi ya mavazi, Askofu kapiga Haleluya kwenye mkutano wa siasa ambao wapo watu wa dini zote na wasio na dini, hapo huoni tatizo?

Askofu anasema "achia bandari katika jina la Yesu"

Mwanasheria anasema imani ziacheni kanisani, hapa tunaenda kwa sheria na katiba. Tusiwaamini viongozi.

Huoni kwamba hata wanaopinga DP World wenyewe, wanasheria na maaskofu, wanaji contradict?

Huoni viongozi wa dini wanaleta distraction katika issues secular za nchi?
 
Mavazi ni symbolism, yana saikolojia.

Na hapa napinga zaidi ya mavazi, Askofu kapiga Haleluya kwenye mkutano wa siasa ambao wapo watu wa dini zote na wasio na dini, hapo huoni tatizo?

Askofu anasema "achia bandari katika jina la Yesu"

Mwanasheria anasema imani ziacheni kanisani, hapa tunaenda kwa sheria na katiba. Tusiwaamini viongozi.

Huoni kwamba hata wanaopinga DP World wenyewe, wanasheria na maaskofu, wanaji contradict?

Huoni viongozi wa dini wanaleta distraction katika issues secular za nchi?
Halleluyah (japo sijaiskia) haikuzibi masikio ukiwa na focus ya kilichokupeleka.

Hata kama huyo amepiga hiyo Halleluyah, akija wa upande mwingine nae akapiga ya kwao, hakuna shida, wacha kujichosha na hili jambo dogo.

Nimeshakwambia, siasa haina dini, lakini wanaoifanya wana dini zao, mbona simple tu, simuoni yeyote anayeji contradict hapo, zaidi yako wewe binafsi.
 
Halleluyah (japo sijaiskia) haikuzibi masikio ukiwa na focus ya kilichokupeleka.

Hata kama huyo amepiga hiyo Halleluyah, akija wa upande mwingine nae akapiga ya kwao, hakuna shida, wacha kujichosha na hili jambo dogo.

Nimeshakwambia, siasa haina dini, lakini wanaoifanya wana dini zao, mbona simple tu, simuoni yeyote anayeji contradict hapo, zaidi yako wewe binafsi.
Hatuna standards.

Ndiyo maana tunabaki masikini.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Wagalatia ndio wanaopinga Bandari kubinafsishwa
 
Huwa najiuliza wkt wa mgogoro wa escrow hawakujitokeza maaskofu au mapadre hata kukemea au kwa kuwa jamaa zao walipata mgao.Inawezekana viongozi wa dini wanakuwa mbele ili kupata mgao kama wale wenzao.
 
Back
Top Bottom