Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

Wakristo mjue hii nchi ni yetu wote viongozi ni lazima watoke pande zote mbili kinyongo mlicho nacho pindi kiongozi akiwa muislamu ni ujinga na chuki kubwa ni bandari iliyo kwa waislamu kupewa mwarabu muislamu kwa nini msianzie kuhoji mikataba mibovu ya madini tangu enzi za mwendazake.Hata asiye na maarifa anaona chuki zenu dhahri.Badilikeni acheni chuki haziwasaidii .
 
Nilikuwa namwambia mtu jana kwamba kuwaingiza sana viongozi wa kidini katika hili jambo ni mistake.

Wananchi wengine watapata signal kwamba hili ni suala la upinzani wa kidini. Hususan wakristo wanampinga rais muislamu.

Majuzi Peter Madeleka katika press conference alikuwa ana ji contradict.

Alikuwa anaponda point aliyoambiwa ya kuwaamini viongozi, akasema hili ni suala la sheria, si suala la imani, mambo ya imani tuyaache kanisani.

Alikuwa anasema hivyo huku kakaa pembeni ya Askofu. Askofu aliyekuja kuingelea suala hilihili. Contradiction.

Halafu akaendelea kusema habari za Mungu this, Mungu that. Anafuta point yake ya kulifanya jambo hili liwe la kisheria na secular.

Tunataka mazungumzo secular kwa masuala secular, yani hata kama wewe Askofu, ukija kuzungumzia suala hili, vua makofia yako ya uaskofu.
Hii nchi kamwe hatuwapi tena wala nguruwe,ni makatili na wahuaji wakubwa
 
Hatuna standards.

Ndiyo maana tunabaki masikini.
Standards kwa mwanadamu sio sawa na bidhaa, mwanadamu mwenye upeo ni lazima aweze kuwepo kwenye eneo zaidi ya moja, hiyo ni kawaida, na ndio maana tunatafuta elimu.

Askofu au shekhe licha ya kuwa wana elimu ya dini, lakini bado wanaweza kuwa wana upeo wa mambo mengine, waachwe waseme ni haki yao, wasifungwe midomo.

Wanadamu hatuwezi kuwa na same standards kama bidhaa zinazotengenezwa viwandani, na kupimwa viwango na TBS. Wacha kujichanganya, sisi sio makopo ya Energy drinks!.
 
Standards kwa mwanadamu sio sawa na bidhaa, mwanadamu mwenye upeo ni lazima aweze kuwepo kwenye eneo zaidi ya moja, hiyo ni kawaida, na ndio maana tunatafuta elimu.

Askofu au shekhe licha ya kuwa wana elimu ya dini, lakini bado wanaweza kuwa wana upeo wa mambo mengine, waachwe waseme ni haki yao, wasifungwe midomo.

Wanadamu hatuwezi kuwa na same standards kama bidhaa zinazotengenezwa viwandani, na kupimwa viwango na TBS. Wacha kujichanganya, sisi sio makopo ya Energy drinks!.
Huyo mwanadamu unayemsema hayupo.

That is a fiction.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
bora hata la injili kama linaokoa Taifa.
 
Nilikuwa namwambia mtu jana kwamba kuwaingiza sana viongozi wa kidini katika hili jambo ni mistake.

Wananchi wengine watapata signal kwamba hili ni suala la upinzani wa kidini. Hususan wakristo wanampinga rais muislamu.

Majuzi Peter Madeleka katika press conference alikuwa ana ji contradict.

Alikuwa anaponda point aliyoambiwa ya kuwaamini viongozi, akasema hili ni suala la sheria, si suala la imani, mambo ya imani tuyaache kanisani.

Alikuwa anasema hivyo huku kakaa pembeni ya Askofu. Askofu aliyekuja kuingelea suala hilihili. Contradiction.

Halafu akaendelea kusema habari za Mungu this, Mungu that. Anafuta point yake ya kulifanya jambo hili liwe la kisheria na secular.

Tunataka mazungumzo secular kwa masuala secular, yani hata kama wewe Askofu, ukija kuzungumzia suala hili, vua makofia yako ya uaskofu.
Sio tu hili la Maaskofu kuvaa majoho na kwenda press conferences....
Lakini Tujiulize Dr Slaa alirudi Chadema lini?
Wakati anahamia Ccm je na huko Ccm alimfata nani?Rais Mkatoliki?
Kumbuka Slaa ni padri na katibu wa Zamani wa Baraza la maaskofu

Wakati watu wanapigwa risasi Slaa hakuongea lolote...wakati watu wanatekwa hakuongea lolote...
Kina Mbowe wanafungwa hakuongea lolote...Hadi wakati Magufuli anasema katiba mpya sio kipaumbele...Slaa aliunga mkono waziwazi hiyo kauli...
The moment nchi imepata Rais Muislam Tu ...Dr Slaa karudi kuwa kiongozi wa upinzani...now anasema katiba mpya ni muhimu na lazima hata kama Samia hataki......

Binafsi naamini anachopigania Dr Slaa ni kupata Viongozi wakatoliki baasi hakuna cha Dpworld wala katiba mpyaa
 
Sio tu hili la Maaskofu kuvaa majoho na kwenda press conferences....
Lakini Tujiulize Dr Slaa alirudi Chadema lini?
Wakati anahamia Ccm je na huko Ccm alimfata nani?Rais Mkatoliki?
Kumbuka Slaa ni padri na katibu wa Zamani wa Baraza la maaskofu

Wakati watu wanapigwa risasi Slaa hakuongea lolote...wakati watu wanatekwa hakuongea lolote...
Kina Mbowe wanafungwa hakuongea lolote...Hadi wakati Magufuli anasema katiba mpya sio kipaumbele...Slaa aliunga mkono waziwazi hiyo kauli...
The moment nchi imepata Rais Muislam Tu ...Dr Slaa karudi kuwa kiongozi wa upinzani...now anasema katiba mpya ni muhimu na lazima hata kama Samia hataki......

Binafsi naamini anachopigania Dr Slaa ni kupata Viongozi wakatoliki baasi hakuna cha Dpworld wala katiba mpyaa
This is a lot of jumbled speculation.
 
Sio tu hili la Maaskofu kuvaa majoho na kwenda press conferences....
Lakini Tujiulize Dr Slaa alirudi Chadema lini?
Wakati anahamia Ccm je na huko Ccm alimfata nani?Rais Mkatoliki?
Kumbuka Slaa ni padri na katibu wa Zamani wa Baraza la maaskofu

Wakati watu wanapigwa risasi Slaa hakuongea lolote...wakati watu wanatekwa hakuongea lolote...
Kina Mbowe wanafungwa hakuongea lolote...Hadi wakati Magufuli anasema katiba mpya sio kipaumbele...Slaa aliunga mkono waziwazi hiyo kauli...
The moment nchi imepata Rais Muislam Tu ...Dr Slaa karudi kuwa kiongozi wa upinzani...now anasema katiba mpya ni muhimu na lazima hata kama Samia hataki......

Binafsi naamini anachopigania Dr Slaa ni kupata Viongozi wakatoliki baasi hakuna cha Dpworld wala katiba mpyaa
Kama Dr. Slaa alikaa kimya wakati ule ungesema wewe, leo ameamua kusema unahangaika nini? jibu hoja zake..

Wewe ni mpuuzi uliyejaa udini usiyejiona, kutwa jicho lako kutazama wengine, idiot.
 
Labda nikuulize dada yangu Muisilamu mwenzangu,hivi watu wanapinga kubinafsisha bandari au wanapinga baadhi ya vipengere vya ubinafsishaji? Tuanze hapo
Hicho kipengele cha mkataba upi uliouona wewe wa kuendesha bandari, unachokiongelea hapa?

Binafsi sijauona mkataba wa kuendesha bandari, wewe kama uano nifahamishe hicho kipengele.


Niliouona mimi ni makubaliano ya ushirikiano kimaendeleo baina ya serikali ya tanzania na serikali ya falme ya Dubai.
 
Standards kwa mwanadamu sio sawa na bidhaa, mwanadamu mwenye upeo ni lazima aweze kuwepo kwenye eneo zaidi ya moja, hiyo ni kawaida, na ndio maana tunatafuta elimu.

Askofu au shekhe licha ya kuwa wana elimu ya dini, lakini bado wanaweza kuwa wana upeo wa mambo mengine, waachwe waseme ni haki yao, wasifungwe midomo.

Wanadamu hatuwezi kuwa na same standards kama bidhaa zinazotengenezwa viwandani, na kupimwa viwango na TBS. Wacha kujichanganya, sisi sio makopo ya Energy drinks!.
Unaongelea kuhusu "mwanadamu" na mtu asiyeamini Mungu, ni kama unapigia mbuzi gita.
 
Kama Dr. Slaa alikaa kimya wakati ule ungesema wewe, leo ameamua kusema unahangaika nini? jibu hoja zake..

Wewe ni mpuuzi uliyejaa udini usiyejiona, kutwa jicho lako kutazama wengine, idiot.
ila slaa mjanja sana 😁😁
 
Ccm huwa wanawaalika viongiz wa dini kwa ajil ya dua chadema wanawaita wakatoe hotuba ...nimehamia ccm
 
Ukiona mtu yuko sensitive sana masuala ya dini basi ujue hana akili. Hizi sensitivity za udini kwanini watu wanaruhusu zitawale bongo zao ni Upuuzi na upumbavu. Kuna watu hawana ukristo Wala Uislamu na hawalalamiki chcochote ndio tuseme nyie Wakristo au Waislamu ndio mnaostahili kuwepo kwenye hii nchi? Wote ambao mko na mahisia ya Udini ni Wapumbavu tu.
 
Wajanja tulishajua kitambo kuwa hii ni vita ya Kidini na CHADEMA kwa kuwa uwanzishwaji wake ulikuwa na mrengo huo ili ku counter attack CUF kipindi hicho na waka take advantage. Wewe umeona wapi Ma askofu wachungaji na viongozi wengine wa kikristu wakawa ghafla wameguswa na issue ya Bandari ilihali hatukuwasikia hapo kabla kwenye issue nyingine za ki inchi. Ina maana tangu Uhuru hii ndo jambo kubwa zaidi?
Kwa hiyo nani anafaa kuzungumzia hili
 
Back
Top Bottom