Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

Naam,

Na kwa kuzingatia hili, u Askofu wa mtu ni irrelevant katika suala la sheria kwenye nchi secular.

Zaidi, ni suala litakaloleta distraction za udini.

Kwa nini hili linakuwa gumu kueleweka?
Kwanini lilete distraction kwani Askofu hawezi kuwa na facts?!

Wewe ndie mwenye tatizo kwenye maono yako, vua hilo koti la udini, kasikilize hoja.

Askofu haendi Temeke kuendesha ibada, amka, bado umelala kifikra.
 
Semeni yote mtakayosema, kama malalamiko yenu yanaweza kujibu hoja za kesho kwenye mkutano karibuni, huu ujinga wa kuhesabu wangapi wa dini gani na wangapi wa dini ipi ni upuuzi tusiotakiwa kuupa nafasi kama taifa.

Haiwezekani mjinga atuingize mtegoni kama taifa vizazi vyetu vyote, halafu badala ya kuambiwa ukweli tuanze kupoteza muda kutazamana dini zetu, hao mashekhe kama wanaijua haki na kuitambua thamani yake, wakaribie kwenye mkutano, hayupo aliyewakataza..

Lakini tusichezeane kwenye suala la kulinda rasilimali zetu, kwa ajili yetu na vizazi vyetu, huyo Thadei Ole Mushi ni mpuuzi asiye na akili.
Kelele za chura tu hizo.
Hamna lolote mnaloweza kufanya kubadili maamuzi.
Hapa nahisi mshamaliza wasemaji wote.
 
Rasilimali za nchi haziwezi kuachwa zichezewe na mjinga kisha tunyamaze kwa kivuli cha dini, wote wanaomuunga mkono Samia kwenye hili ni wasaliti, hawatasubiriwa, lazima tusonge mbele.
Kelele za chura tu hizo
 
Hakuna aliyejichanganya.

Dr. Slaa katoa mwaliko kwa viongozi wote wa dini zote, asasi za kiraia nk..ambao hawajakwenda ni kwa mapenzi yao, hawezi kuwabeba mgongoni, haki ipo Temeke, waifuate kama wanaiamini na kuitetea.

Pia, Adv. Madeleka hajajichanganya popote, ametaka suala la mkataba wa hovyo wa bandari lisihusishwe na dini, simply kwasababu kwenye ule mkataba hakuna kipengele cha dini pale, ni sheria pekee, hivyo lijadiliwe kisheria.

Lakini akamtaja Mungu akijua fika, hao waliosaini ule mkataba wa hovyo unaoliangamzia taifa, wana dini zao, ndio maana akamtaja Mungu, kwamba kama wangekuwa wanamuogopa Mungu wanayemuomba kwa imani zao, basi wasingetuingiza kwenye mkataba wa hovyo kama ule, ameeleweka.

Having said that, kila kitu kipo kwenye mstari, hakuna yeyote aliyekosea popote, kazi ibaki moja tu kesho Temeke.
Hii sio bahati mbaya.
Na wala issue sio mkataba.
Hapa ni udini tu.
Mnajitahidi wenyewe kuonesha eti la wote lkn kila mpingaji mnayemwalika mikutanoni ni Mgala tu.
Hata Mahakamani walioshitaki ni Wagalatia hao hao
 
Taasisi yenye watu makini na wenye kusudi la kushika dollar hawawezi kupuuza angalizo hili nyeti lisiloonekana kirahisi. Italifanyia kazi japo sio Lazima iwe kesho au keshokutwa ili kuleta umoja imara na kuepusha minong'ono
Bado wanabisha!
Wametutia mashaka ht wengine wameanza kurudi nyuma kwa kuhisi hii issue ni ya Wakristo tu
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Mwanzoni nilidhani wanaopinga uwekezaji bandarini wana hoja ya maana ya kusikilizwa na kufanyiwa kazi.

Baadae nimekuja kugundua kuwa ni sera chafu sana za udini zimejificha nyuma ya suala zima la bandari kupata mwekezaji.

Kwamba Samia, Mbarawa, Dr Possi, Hamza na wanasheria wengine pamoja na mwekezaji kutoka Dubai, wote kwa ujumla wao ni waislam hivyo maaskofu na mapadre wameamua kumpinga kwa nguvu zote!. HELL NO.

Hawa wote wanaopinga uwekezaji kuanzia hao maaskofu mpaka wanasheria akiwemo Mwabukusi wana agenda mbaya na inaweza kuligawa taifa vipande vipande kama wataachwa wasambaze chuki zao.

Hawana hoja yoyote kuhusu bandari ambayo haijajibiwa, wanapoongea juu ya utanganyika mfano huyo Mwabukusi akumbuke tu kuwa mikoa yote ya mwambao imejaa waislam wengi, Mtwara, Lindi, Pwani, Dar na Tanga, kote humo pamejaa waislam.

Hata kwao Mbeya kuna waislam wengi hivyo asidhani kuwa ni mzalendo kwa kuja na mada inayoweza kuichanachana Tanzania iliyojengwa kwa hekima kubwa ya waasisi wetu.

Huu ndio muda wa jamaa wa geti jeusi kuingia kazini.
 
Mbona mama yenu alianza kusema kuwa tunamuonea kwasababu yeye ni muislamu
Wapuuzi kama huyo Mwabukusi wanasambaza chuki na inaweza kuwaumiza wao wenyewe.

Marehemu Mtikila alisambaza sana chuki dhidi ya wahindi kwa kuwaita magabocholi, mfumo ulikuja kummaliza pale Chalinze.

Huyo mnyakyusa achunge sana mdomo wake.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Umekosea.wanakuja kama Watanzania wa kawaida na si kama viongozi wa dini. Kuwa kiongozi wa dini haikunyimi kuzungumzia mustakabali wa nchi yako kama mzalendo wa kawaida.
 
Wewe ndo umelitafakari kidini!

Mhimu ni;

Kinakachowapeleka hapo wazungumzaji na jambo linalowakusanya, siyo jambo la kisiasa

Ni jambo la utata na hatima ya nchi yetu

Na si kweli kwamba wazungumzaji hao ni wanachadema wote

Wengine ni mabalozi serikali ya ccm na ambao hata leo wana kadi za ccm

Na isitoshe, Bandari zetu siyo za Chadema wala chama chako ni za Tanganyika

Hivyo, unapaswa hata wewe kuwaunga mkono wananchi hao wenye kada zote nchini
Mwanaharakati umeshindwa kuusoma mchezo unaoendelea. Hunchingson kampuni ya Korea imekaa hapo bandarini miaka 22 hata siku moja hakujawahi kusikika hisia za kuupinga uwekezaji wake.

Anapokuja mwarabu kutoka Dubai ndio zinazaliwa hoja za kipuuzi za kukumbushana mateso ya ukoloni miaka zaidi ya 150 iliyopita!.

Picha pana ya ufanisi wa bandari inawekwa pembeni na mada inajikita kwenye haiba za mwekezaji badala ya kutazama kile anachokwenda kukileta!.

Hao maaskofu wanazo zile fikra kwamba mwarabu ni muislam hivyo ni mpinga kristo moja kwa moja!.

Wanasahau kwamba DPW yupo huko huko lilipo chimbuko la ukristo wao, Uingereza, USA, China kote huko yupo huyu mwekezaji.
 
Wakristo wakiamua kumuunga kila kiongozi mkono mkristo hata km anaboronga km waislam wanavyofanya mjue ndio itakuwa mwisho wa TANGANYIKA

Waislam acheni kuweka dini kwenye maslahi ya Taifa kiongozi apimwe kwa uwezo wake sio mnatumia mgongo wa dini kumfichia uhaini
Waambie walioandaa hilo kongamano waachane na kujificha nyuma ya bandari na suala zima la DPW kupenyeza ajenda zao mbaya dhidi ya urais wa Samia.
 
Umekosea.wanakuja kama Watanzania wa kawaida na si kama viongozi wa dini. Kuwa kiongozi wa dini haikunyimi kuzungumzia mustakabali wa nchi yako kama mzalendo wa kawaida.
Walikuwa wapi kuongelea masuala ya siasa miaka ile wakati bandari ikiwa chini ya TICTS?.

Harufu ya udini haiwezi kukwepeka katika suala hili la mkutano wa hadhara.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Kwani Mkataba wa bandari ni wa dini ya kiislam. Maana viongozi wa dini pekee wanaoutetea ni kutoka dini ya kiislam
Kama mmeamua kutumia ujinga kama silaha bora kiumane tu. Analeta mambo ya kingese huyu Ole Mushi.
 
Labda nikuulize dada yangu Muisilamu mwenzangu,hivi watu wanapinga kubinafsisha bandari au wanapinga baadhi ya vipengere vya ubinafsishaji? Tuanze hapo
Hivyo vipengele vya mkataba vimeshafafanuliwa kwa kirefu kwenye mikutano kadhaa ya hadhara. Wanatumia jukwaa la kisiasa kuja na ajenda za udini. Mfano wa fikra zao ni Askofu Maximilian na mahabiri yake yanayojaa ubaguzi.
 
KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?

Na Thadei Ole Mushi.

Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.

1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.

2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.

4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.

5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.

6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.

7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.

8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.

9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.

10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.

Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Ole Thadei ni mpuuzi pia ana viashiria vya upumbavu
 
Kwani Mkataba wa bandari ni wa dini ya kiislam. Maana viongozi wa dini pekee wanaoutetea ni kutoka dini ya kiislam
Kama mmeamua kutumia ujinga kama silaha bora kiumane tu. Analeta mambo ya kingese huyu Ole Mushi.
Unaweza kuhandle ugomvi na waislam kiongozi wangu?

CHADEMA lazima wajitofautishe na UDINI na huo ndio ukweli.
 
Hivyo vipengele vya mkataba vimeshafafanuliwa kwa kirefu kwenye mikutano kadhaa ya hadhara. Wanatumia jukwaa la kisiasa kuja na ajenda za udini. Mfano wa fikra zao ni Askofu Maximilian na mahabiri yake yanayojaa ubaguzi.
Ok mkataba utakuwa wa mda gani?
 
Back
Top Bottom