Kwani 'Commercial Wings' za JWTZ hazitoshi hadi sasa 'Makambini' Kwao kuruhusiwe Kujengwa 'Fremu' za Biashara?

Kwani 'Commercial Wings' za JWTZ hazitoshi hadi sasa 'Makambini' Kwao kuruhusiwe Kujengwa 'Fremu' za Biashara?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Leo nasema rasmi hapa hapa JamiiForums kuwa Mimi GENTAMYCINE sijapendezwa na huu Utaratibu wa Kambi za Jeshi ( tena zile ) ambazo ni 'very Potential and Strategical' Kujengwa Maduka ya Biashara.

Tafadhali tufanye mzaha na Kote ila siyo katika Taasisi ya Jeshi na endapo GENTAMYCINE nitakuja kuwa Rais wa Tanzania huu Upuuzi wote nitauondoa na Kuvunja Maduka yote na Kambi za Jeshi ziendelee Kuheshimika na siyo Kudhihakiwa kama zinavyofanywa sasa.

Huwezi kuukuta Upuuzi huu South Africa, Rwanda, Uganda, Israel, Marekani, Uingereza, China, Urusi, Korea Kaskazini, Cuba, India, Pakistan na Ufaransa hasa kutokana na Unyeti wa Sekta hiyo husika kwa Ulinzi na Usalama wa Taifa letu.

Tunakoelekea naona kwa mbali sana hata katika Ikulu za Magogoni ( Dar es Salaam ) na ile ya Chamwino ( Dodoma ) na kwenyewe Kutaamriwa katika Kuta zake kujengwe 'Fremu' za Biashara ili Ikulu nazo zijipatie Pesa za Kulisha Ndege Wao wazuri Tausi waliopo huko.

Sasa kama mmeruhusu Lugalo Kujengwe 'Fremu' za hovyo hovyo na Kienyeji kama zilizopo mbona mnachelewa pia Kuruhusu na pale Makumbusho zilipo Flats za Watu wa TISS hadi upande ule wa PSU na kwenyewe Watu Wajenge 'Fremu' ili TISS mao wajiingizie Kipato na ikiwezekana nao Wajitajirishe humo humo tu?

Tanzania ya sasa inaelekea Kuzimu tu.
 
Wewe ukiamka ukichamba habari na taarifa zako lazima zitoke Kawe, aidha Utamnanga Mwamposa au Utakuja na mafimafi kama haya kisa umeona Frame Pale Kawe kwa Masai..Mbona hukuwahi kuhoji zile Frame za Makongo shuleni pale? Hakika unawashwa na Mwenye nyumba wako Marehem Mzee Mapupu alikufanyia kitu kibaya sana ! Umemsakama Dkt Komba kwa kutoa mimba mpaka amehama..Nyauba we!
 
Wewe ukiamka ukichamba habari na taarifa zako lazima zitoke Kawe, aidha Utamnanga Mwamposa au Utakuja na mafimafi kama haya kisa umeona Frame Pale Kawe kwa Masai..Mbona hukuwahi kuhoji zile Frame za Makongo shuleni pale? Hakika unawashwa na Mwenye nyumba wako Marehem Mzee Mapupu alikufanyia kitu kibaya sana ! Umemsakama Dkt Komba kwa kutoa mimba mpaka amehama..Nyauba we!
Mkuuu umeondoa Codes hahahahaaaaaaaaaa
 
Leo nasema rasmi hapa hapa JamiiForums kuwa Mimi GENTAMYCINE sijapendezwa na huu Utaratibu wa Kambi za Jeshi ( tena zile ) ambazo ni 'very Potential and Strategical' Kujengwa Maduka ya Biashara.

Tafadhali tufanye mzaha na Kote ila siyo katika Taasisi ya Jeshi na endapo GENTAMYCINE nitakuja kuwa Rais wa Tanzania huu Upuuzi wote nitauondoa na Kuvunja Maduka yote na Kambi za Jeshi ziendelee Kuheshimika na siyo Kudhihakiwa kama zinavyofanywa sasa.

Huwezi kuukuta Upuuzi huu South Africa, Rwanda, Uganda, Israel, Marekani, Uingereza, China, Urusi, Korea Kaskazini, Cuba, India, Pakistan na Ufaransa hasa kutokana na Unyeti wa Sekta hiyo husika kwa Ulinzi na Usalama wa Taifa letu.

Tunakoelekea naona kwa mbali sana hata katika Ikulu za Magogoni ( Dar es Salaam ) na ile ya Chamwino ( Dodoma ) na kwenyewe Kutaamriwa katika Kuta zake kujengwe 'Fremu' za Biashara ili Ikulu nazo zijipatie Pesa za Kulisha Ndege Wao wazuri Tausi waliopo huko.

Sasa kama mmeruhusu Lugalo Kujengwe 'Fremu' za hovyo hovyo na Kienyeji kama zilizopo mbona mnachelewa pia Kuruhusu na pale Makumbusho zilipo Flats za Watu wa TISS hadi upande ule wa PSU na kwenyewe Watu Wajenge 'Fremu' ili TISS mao wajiingizie Kipato na ikiwezekana nao Wajitajirishe humo humo tu?

Tanzania ya sasa inaelekea Kuzimu tu.
Fremu zenyewe mbavu za mbwa, nani ataenda kuwekeza pale?
 
Mleta mada uko kizamani mno kwenye mambo ya Jeshi teknolojia ziko juu sana enzi za kuficha kituo cha jeshi hayapo tena

Waweza Ingia Google map ikakuonyesha vitup vyote vya kijeshi vilipo na vifaa vyao

Sasa hivi ziko teknolojia nyingi na yale uliyokuwa unajua kuwa Jeshi ni.kituo cha kijeshi kilichopo kituo fulani yamepitwa na wakati !!

Ndio maana pale Lugalo huwezi ONA makombora ya masafa marefu wala mitambo ya kutungulia ndege wala vifaa vya kivita ukipita pale sana sana Utaona askari wanafyeka majani na hospitali tu hamna cha maana pale

Unaongea kizamani enzi za ujamaa wa kirusi

Sasa hivi waweza kuta nyumba ya mtu ina makombora ya masafa marefu yanayoweza kupiga hadi kwenu Rwanda yakirushwa toka uswahilini buguruni kwa Mfuga mbwa kwa kimbengele Dar es salaam yasiyoonekana popote kwa Google map au chochote
 
Leo nasema rasmi hapa hapa JamiiForums kuwa Mimi GENTAMYCINE sijapendezwa na huu Utaratibu wa Kambi za Jeshi ( tena zile ) ambazo ni 'very Potential and Strategical' Kujengwa Maduka ya Biashara.

Tafadhali tufanye mzaha na Kote ila siyo katika Taasisi ya Jeshi na endapo GENTAMYCINE nitakuja kuwa Rais wa Tanzania huu Upuuzi wote nitauondoa na Kuvunja Maduka yote na Kambi za Jeshi ziendelee Kuheshimika na siyo Kudhihakiwa kama zinavyofanywa sasa.

Huwezi kuukuta Upuuzi huu South Africa, Rwanda, Uganda, Israel, Marekani, Uingereza, China, Urusi, Korea Kaskazini, Cuba, India, Pakistan na Ufaransa hasa kutokana na Unyeti wa Sekta hiyo husika kwa Ulinzi na Usalama wa Taifa letu.

Tunakoelekea naona kwa mbali sana hata katika Ikulu za Magogoni ( Dar es Salaam ) na ile ya Chamwino ( Dodoma ) na kwenyewe Kutaamriwa katika Kuta zake kujengwe 'Fremu' za Biashara ili Ikulu nazo zijipatie Pesa za Kulisha Ndege Wao wazuri Tausi waliopo huko.

Sasa kama mmeruhusu Lugalo Kujengwe 'Fremu' za hovyo hovyo na Kienyeji kama zilizopo mbona mnachelewa pia Kuruhusu na pale Makumbusho zilipo Flats za Watu wa TISS hadi upande ule wa PSU na kwenyewe Watu Wajenge 'Fremu' ili TISS mao wajiingizie Kipato na ikiwezekana nao Wajitajirishe humo humo tu?

Tanzania ya sasa inaelekea Kuzimu tu.
Hapa kingamuzi cha popoma kimekaa sawa.
 
Wewe ukiamka ukichamba habari na taarifa zako lazima zitoke Kawe, aidha Utamnanga Mwamposa au Utakuja na mafimafi kama haya kisa umeona Frame Pale Kawe kwa Masai..Mbona hukuwahi kuhoji zile Frame za Makongo shuleni pale? Hakika unawashwa na Mwenye nyumba wako Marehem Mzee Mapupu alikufanyia kitu kibaya sana ! Umemsakama Dkt Komba kwa kutoa mimba mpaka amehama..Nyauba we!
Makongo apajue vipi mkuu wakati anaishi Bunda vijijini huko.

Dar anafanya kupasikia Tu. Hiyo story ya kawe kuna member ali iandikia Uzi tayari yeye amefanya kubadilisha Tu. Lengo lake anataka Ku prove kwangu kwamba anaishi Dar 🤣🤣🤣🤣🤣

Nadhani Kawe kuna ndugu yake au classmate wake wa chuo cha ualimu wa primary waliesoma wote huko Tarime ndio huwa anampa habari za kawe Na yeye anakuja kuzipost hapa. Huyu mtoa mada ni mgonjwa ambae anahitaji a very serious medical attention because something is real missing in his head
 
Back
Top Bottom