Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Moja ya vitu so pity Tanzania, nii hii Idea ya Kuweka frame kila unapojenga, Yaani Tanzania kila mtu utasikia ngoja niweke frame mbele ya nyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, basi tunamsamehe Mze wa bush toka Bunda.Picha azipate wapi mkuu wakati anaishi Bunda huko na hizo fremu zipo Kawe?
Utakuwa unamuonea bure Tu bushman wa watu
Kwa picha na mimi namtetea.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
NakaziaSawa, basi tunamsamehe Mze wa bush toka Bunda.
Sasa mbona una danganya watu kuwa umeshawahi fika dar wakati bado hujawahi fika dar toka uzaliweI'm proud of my Native Region of Mara.
Gentamycine moja ya kichwa bora kwa sasa hapa jamii forumsBunda na Rorya mmenipendelea mno kwani huko ni Mjini ila Mimi naishi Musoma Vijijini kabisa kwenye Masikini wengi halafu pia sijasoma ( sina Elimu Kubwa ) kama nyie wana Jamiiforums Wote na nipo nipo tu Mkuu / Wakuu.
Asante kwa hizi Sifa zako Mkuu, ila tegemea kuambiwa hii ID yako ni Mimi Mwenyewe GENTAMYCINE na hapa nimejisifia.Gentamycine moja ya kichwa bora kwa sasa hapa jamii forums