Kwani 'Commercial Wings' za JWTZ hazitoshi hadi sasa 'Makambini' Kwao kuruhusiwe Kujengwa 'Fremu' za Biashara?

Kwani 'Commercial Wings' za JWTZ hazitoshi hadi sasa 'Makambini' Kwao kuruhusiwe Kujengwa 'Fremu' za Biashara?

Moja ya vitu so pity Tanzania, nii hii Idea ya Kuweka frame kila unapojenga, Yaani Tanzania kila mtu utasikia ngoja niweke frame mbele ya nyumba
 
Picha azipate wapi mkuu wakati anaishi Bunda huko na hizo fremu zipo Kawe?

Utakuwa unamuonea bure Tu bushman wa watu

Kwa picha na mimi namtetea.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Sawa, basi tunamsamehe Mze wa bush toka Bunda.
 
Bunda na Rorya mmenipendelea mno kwani huko ni Mjini ila Mimi naishi Musoma Vijijini kabisa kwenye Masikini wengi halafu pia sijasoma ( sina Elimu Kubwa ) kama nyie wana Jamiiforums Wote na nipo nipo tu Mkuu / Wakuu.
Gentamycine moja ya kichwa bora kwa sasa hapa jamii forums
 
Gentamycine moja ya kichwa bora kwa sasa hapa jamii forums
Asante kwa hizi Sifa zako Mkuu, ila tegemea kuambiwa hii ID yako ni Mimi Mwenyewe GENTAMYCINE na hapa nimejisifia.

Kama ulikuwa unataka Likes nyingi kutoka kwa Watu ( Members ) hapa ungeandika Kunikandia / Kunidhalilisha ungezipata nyingi tu.
 
Back
Top Bottom