Kwani 'Commercial Wings' za JWTZ hazitoshi hadi sasa 'Makambini' Kwao kuruhusiwe Kujengwa 'Fremu' za Biashara?

Kwani 'Commercial Wings' za JWTZ hazitoshi hadi sasa 'Makambini' Kwao kuruhusiwe Kujengwa 'Fremu' za Biashara?

Leo nasema rasmi hapa hapa JamiiForums kuwa Mimi GENTAMYCINE sijapendezwa na huu Utaratibu wa Kambi za Jeshi ( tena zile ) ambazo ni 'very Potential and Strategical' Kujengwa Maduka ya Biashara.

Tafadhali tufanye mzaha na Kote ila siyo katika Taasisi ya Jeshi na endapo GENTAMYCINE nitakuja kuwa Rais wa Tanzania huu Upuuzi wote nitauondoa na Kuvunja Maduka yote na Kambi za Jeshi ziendelee Kuheshimika na siyo Kudhihakiwa kama zinavyofanywa sasa.

Huwezi kuukuta Upuuzi huu South Africa, Rwanda, Uganda, Israel, Marekani, Uingereza, China, Urusi, Korea Kaskazini, Cuba, India, Pakistan na Ufaransa hasa kutokana na Unyeti wa Sekta hiyo husika kwa Ulinzi na Usalama wa Taifa letu.

Tunakoelekea naona kwa mbali sana hata katika Ikulu za Magogoni ( Dar es Salaam ) na ile ya Chamwino ( Dodoma ) na kwenyewe Kutaamriwa katika Kuta zake kujengwe 'Fremu' za Biashara ili Ikulu nazo zijipatie Pesa za Kulisha Ndege Wao wazuri Tausi waliopo huko.

Sasa kama mmeruhusu Lugalo Kujengwe 'Fremu' za hovyo hovyo na Kienyeji kama zilizopo mbona mnachelewa pia Kuruhusu na pale Makumbusho zilipo Flats za Watu wa TISS hadi upande ule wa PSU na kwenyewe Watu Wajenge 'Fremu' ili TISS mao wajiingizie Kipato na ikiwezekana nao Wajitajirishe humo humo tu?

Tanzania ya sasa inaelekea Kuzimu tu.
Safari hii hadi mnazi mmoja itauzwa tena.
 
Mimi nikiwa Mgonjwa Mamaako aliyekuzaa Taahira Wewe na kutuletea Kero Watanzania atakuwaje?

Siko hapa JamiiForums kusema Mimi ni nani au naishi wapi kama ambavyo Kutwa unahangaika kutaka kujua.

Unajitahidi mno 24/7 kutaka Kuonyesha kuwa Mimi ni Mshamba fulani wakati nina uhakika Watu wanaonijua Personally pamoja na Uhalisia wangu na hata Family Background yangu kama Mdogo wangu wa damu steveachi, Jirani yangu mkubwa Mbezi Beach Bujibuji Simba Nyanaume, JamiiForums Founder Mtani wangu wa Kihaya Maxence Mubyazi Melo pamoja na Vijana Wawili walioko Ofisi ya Rais ( Ikulu ) kwa Maadili ( nawahifadhi )pamoja na Wahadhiri wangu Wapendwa Dk. Fr. Charles Kitima na Dk. Fr. Francis Ng'atigwa ( walionifundisha Masters yangu SAUT School of Graduates Studies Dar es Salaam Campus Msimbazi Center ) Wote wananijua physically GENTAMYCINE ( na hata hii ID yangu ) hivyo hapa si tu wanakuona Mpumbavu bali Wanakudharau ile mbaya.

Unajitahidi mno kusema kuwa GENTAMYCINE natokea Bunda ( ambako unakudharau na yawezekana ) huko pia kuna / una Basha wako ambaye alikusugua vizuri na Kukuacha hivyo sasa ni kama vile una Hasira nae kutokana na Wivu wako mkubwa juu yake.

Sitokei Bunda jjapo nakiri kuwa Bunda ni eneo ndani ya Mkoa wangu pendwa na tukuka wa Mara ( Musoma ) ila Asili ya GENTAMYCINE ni Wilayani Butiama eneo la Butuguri Jirani kabisa na Makazi ya Mkurugenzi wa NEC Dk. Charles Wilson Mabera.

Sihitaji kwenda mbali zaidi ya hapa kwani bado nina mengi ya Kunihusu ambayo nina uhakika nikiyaweka hapa bayana utajiona ni Bonge la Mpumbavu na Mshamba ila kwakuwa nimeshakusoma na Kugundua Uswahili wako wala hunisumbui na hunipotezei muda hapa JamiiForums.

Najua kinachowateseni mpaka hata Kuwanyimeni Usingizi Kutwa hapa JamiiForums ni Umaarufu wangu GENTAMYCINE, aina yangu ya Kipekee ya Uwasilishaji Masuala hapa JamiiForums na Jtajiri wangu mkubwa wa Maarifa ( Knowledge ) unaotakana na Mimi kupenda sana Kusoma Vitabu ( Literatures ) mbalimbali za Tasnia tofauti tofauti, kupenda Kufuatilia Habari ( Local and Internationally ) na Kujichanganya sana na Makundi ya Watu wa Kada nyingi nyingi.

Ahadi pekee ninaypitoa Kwako Rais wa Wapumbavu, Waswahili na Washamba wote hapa JamiiForums mi kwamba GENTAMYCINE sitoacha Kuchangia yale ninayoyajua na kama mnachukizwa zaidi na uwepo wangu hapa Chaguzi ni Mbili tu ama Unibloku / Mnibloku mazima au msiwe mnahangaika Kutwa muwapo hapa JamiiForums Kunifuatilia na Kunisoma kwani hata Mimi sijawahi kuwa na muda mchafu wa Kupoteza juu yako au hao Wenzako wengine.

Baada ya huu Ufafanuzi wangu hutoona tena nahangaika Kujibizana nawe ila Wewe nimekuruhusu usiache Kunichokoza, Kunidhihaki na hata Kunitukana ukitaka kwani ndiyo Karama uliyozawadiwa wakati Wenzako tumebarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hata hapa JamiiForums na ndiyo maana unaoba pamoja na Kunishambulia Kwako / Kwenu kote bado tu nazidi kuwa maarufu na kila Uchao napokea idadi ya Followers wenye Akili akiwemo Mheshimiwa Balozi Dk. Wilbroad Slaa na Wengineo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE nimemaliza.

Cc: Its Pancho, cool d, USSR, Super Handsome

Eti msimbazi centre ,🤣🤣🤣🤣. Msimbazi centre ya Tarime sio.

Wewe hata dsm kwenyewe hujawahi kufika unafanya kupaona kwenye tv...

Jikubali mkuu...

Mbona Hermonize anasema katoka Mtwara na bado anaheshimika Sana kwenye tasnia ya muziki?

Wewe ni wa kijijini. Unaishi kijijini Na Hujawahi kufika mjini. .. hata Mwanza mjini nna wasiwasi kama umewahi fika wewe.

Kwenye social media unaishi dar lakini katika Maisha halisi unaishi Bunda vijijini.

Hiyo staili yako ya uandishi ni ya ujanja wa kijijini . Yani staili fulani hivi ya kuchanganya mafaili ili kubabaisha Sasa Kwa mtu ambae ndo amekusoma Kwa mara ya Kwanza Na ambae hafikirii in deep anaweza aka amini lakini sio Kwa mtu makini.

Hiyo location ya SAUT @ Msimbazi centre umefanya Ku Google tu lengo lako unataka Ku prove kwamba umeshawahi kufika dar ES salaam.

Uliwahi kuandika Kwa staili yako ya kujifanya mjuaji kuhusu dokta Tulia na ushahidi nakuwekea hapa ujione ulivyo Kilaza

# Sasa Kwa jinsi ulivyo andika kuhusu Tulia , bushman Mwenzako akisoma anaweza fikiria unamjua vizuri dada wa watu kumbe masikini hujui lolote unafanya kusikia Tu kwenye kijiwe cha fundi viatu hapo bunda mjini unaposhinda ukitoka kufundisha watoto wa Isunga chupi Nyantindi primary school

Screenshot_20220331-075357.png


Screenshot_20220331-075408.png


Screenshot_20220331-075417.png
 
Eti msimbazi centre ,🤣🤣🤣🤣. Msimbazi centre ya Tarime sio.

Wewe hata dsm kwenyewe hujawahi kufika unafanya kupaona kwenye tv...

Jikubali mkuu...

Mbona Hermonize anasema katoka Mtwara na bado anaheshimika Sana kwenye tasnia ya muziki?

Wewe ni wa kijijini. Unaishi kijijini Na Hujawahi kufika mjini. .. hata Mwanza mjini nna wasiwasi kama umewahi fika wewe.

Kwenye social media unaishi dar lakini katika Maisha halisi unaishi Bunda vijijini.

Hiyo staili yako ya uandishi ni ya ujanja wa kijijini . Yani staili fulani hivi ya kuchanganya mafaili ili kubabaisha Sasa Kwa mtu ambae ndo amekusoma Kwa mara ya Kwanza Na ambae hafikirii in deep anaweza aka amini lakini sio Kwa mtu makini.

Hiyo location ya SAUT @ Msimbazi centre umefanya Ku Google tu lengo lako unataka Ku prove kwamba umeshawahi kufika dar ES salaam.

Uliwahi kuandika Kwa staili yako ya kujifanya mjuaji kuhusu dokta Tulia na ushahidi nakuwekea hapa ujione ulivyo Kilaza

# Sasa Kwa jinsi ulivyo andika kuhusu Tulia , bushman Mwenzako akisoma anaweza fikiria unamjua vizuri dada wa watu kumbe masikini hujui lolote unafanya kusikia Tu kwenye kijiwe cha fundi viatu hapo bunda mjini unaposhinda ukitoka kufundisha watoto wa Isunga chupi Nyantindi primary school

View attachment 2169935

View attachment 2169936

View attachment 2169937
Uongozi wa JamiiForums hasa Moderators Paw, Moderator na JamiiForums nimeshawahi kutoa Kwenu Malalamiko yangu just Watu ( Members ) wanaopenda Kunichokoza, Kunidhihaki na Kunikashifu mara kwa mara hapa JamiiForums kama huyu ila cha Kushangaza bado mnaendelea Kuwalea na Mimi nikijibu Mapigo yangu mnakimbilia kunipa BAN za muda mrefu.

Je, kuanzia sasa GENTAMYCINE nikihisi kuwa huenda Watu hawa Wanatumika 'Kimkakati' katika Kunichokoza na Kunishambulia ili Nihamaki na ID hii ipigwe BAN ndefu na Lengo litimie nitakuwa nakosea?

Tafadhali kama GENTAMYCINE na hii ID yangu sitakiwi hapa JamiiForums labda nagusa na naharibu Maslahi ya Watu fulani hivyo natafutiwa BAN za lazima ili Watu fulani waridhishwe naomba niambiwe tu ili nijue.

Haiwezekani ID's zile zile tu za LIKUD na ile nyingine ya Its Pancho ndiyo ziwe zinaongoza Kunichokoza na Kunishambulia kila Uchao tena kwa maneno yale yale ya Dhihaka dhidi yangu halafu Wanaachwa na Kuchekewa.

Nina uhakika kama Moderators wenu wangeamua kulivalia hili Njuga na kuwa nalo Makini huu Upuuzi usingeendelea ila bahati mbaya sana ni kwamba Watu ( Members ) wanaomchokoza, wanaonidhihaki na hata kunishambulia GENTAMYCINE hapa JamiiForums wanalindwa na Kuchekewa ila GENTAMYCINE nikiwajibu vile ninavyojua haraka mno napigwa BAN ya Mwezi au Miezi Mitatu ( Siku 90 )

Mtu ( Member ) umeshakiri na kila mara unasema kuwa humpendi GENTAMYCINE na unamchukia sasa kwanini kila Siku uingiapo tu JamiiForums ni lazima utamsoma na Kusoma Mada zake? Hivi unayemchukia unaweza Kupoteza muda wako Kumfuatilia kila mara na Kumfuata fuata?

Nasisitiza kama ID hii ya GENTAMYCINE haitakiwi hapa JamiiForums niambieni tu ili nijitoe rasmi au niwaruhusu muifunge ili mridhike na Roho zenu kuliko Kuacha GENTAMYCINE nafanyiwa kila aina ya Visa hapa halafu nikijibu Mapigo mnakimbilia kunipa ( kunipiga ) BAN ndefu ambazo muda mwingine nahisi ni za Chuki na kama Kunikomoa fulani hivi.

Imetosha sasa....!!!

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo
 
Leo nasema rasmi hapa hapa JamiiForums kuwa Mimi GENTAMYCINE sijapendezwa na huu Utaratibu wa Kambi za Jeshi ( tena zile ) ambazo ni 'very Potential and Strategical' Kujengwa Maduka ya Biashara.

Tafadhali tufanye mzaha na Kote ila siyo katika Taasisi ya Jeshi na endapo GENTAMYCINE nitakuja kuwa Rais wa Tanzania huu Upuuzi wote nitauondoa na Kuvunja Maduka yote na Kambi za Jeshi ziendelee Kuheshimika na siyo Kudhihakiwa kama zinavyofanywa sasa.

Huwezi kuukuta Upuuzi huu South Africa, Rwanda, Uganda, Israel, Marekani, Uingereza, China, Urusi, Korea Kaskazini, Cuba, India, Pakistan na Ufaransa hasa kutokana na Unyeti wa Sekta hiyo husika kwa Ulinzi na Usalama wa Taifa letu.

Tunakoelekea naona kwa mbali sana hata katika Ikulu za Magogoni ( Dar es Salaam ) na ile ya Chamwino ( Dodoma ) na kwenyewe Kutaamriwa katika Kuta zake kujengwe 'Fremu' za Biashara ili Ikulu nazo zijipatie Pesa za Kulisha Ndege Wao wazuri Tausi waliopo huko.

Sasa kama mmeruhusu Lugalo Kujengwe 'Fremu' za hovyo hovyo na Kienyeji kama zilizopo mbona mnachelewa pia Kuruhusu na pale Makumbusho zilipo Flats za Watu wa TISS hadi upande ule wa PSU na kwenyewe Watu Wajenge 'Fremu' ili TISS mao wajiingizie Kipato na ikiwezekana nao Wajitajirishe humo humo tu?

Tanzania ya sasa inaelekea Kuzimu tu.
Picha please
 
Uongozi wa JamiiForums hasa Moderators Paw, Moderator na JamiiForums nimeshawahi kutoa Kwenu Malalamiko yangu just Watu ( Members ) wanaopenda Kunichokoza, Kunidhihaki na Kunikashifu mara kwa mara hapa JamiiForums kama huyu ila cha Kushangaza bado mnaendelea Kuwalea na Mimi nikijibu Mapigo yangu mnakimbilia kunipa BAN za muda mrefu.

Je, kuanzia sasa GENTAMYCINE nikihisi kuwa huenda Watu hawa Wanatumika 'Kimkakati' katika Kunichokoza na Kunishambulia ili Nihamaki na ID hii ipigwe BAN ndefu na Lengo litimie nitakuwa nakosea?

Tafadhali kama GENTAMYCINE na hii ID yangu sitakiwi hapa JamiiForums labda nagusa na naharibu Maslahi ya Watu fulani hivyo natafutiwa BAN za lazima ili Watu fulani waridhishwe naomba niambiwe tu ili nijue.

Haiwezekani ID's zile zile tu za LIKUD na ile nyingine ya Its Pancho ndiyo ziwe zinaongoza Kunichokoza na Kunishambulia kila Uchao tena kwa maneno yale yale ya Dhihaka dhidi yangu halafu Wanaachwa na Kuchekewa.

Nina uhakika kama Moderators wenu wangeamua kulivalia hili Njuga na kuwa nalo Makini huu Upuuzi usingeendelea ila bahati mbaya sana ni kwamba Watu ( Members ) wanaomchokoza, wanaonidhihaki na hata kunishambulia GENTAMYCINE hapa JamiiForums wanalindwa na Kuchekewa ila GENTAMYCINE nikiwajibu vile ninavyojua haraka mno napigwa BAN ya Mwezi au Miezi Mitatu ( Siku 90 )

Mtu ( Member ) umeshakiri na kila mara unasema kuwa humpendi GENTAMYCINE na unamchukia sasa kwanini kila Siku uingiapo tu JamiiForums ni lazima utamsoma na Kusoma Mada zake? Hivi unayemchukia unaweza Kupoteza muda wako Kumfuatilia kila mara na Kumfuata fuata?

Nasisitiza kama ID hii ya GENTAMYCINE haitakiwi hapa JamiiForums niambieni tu ili nijitoe rasmi au niwaruhusu muifunge ili mridhike na Roho zenu kuliko Kuacha GENTAMYCINE nafanyiwa kila aina ya Visa hapa halafu nikijibu Mapigo mnakimbilia kunipa ( kunipiga ) BAN ndefu ambazo muda mwingine nahisi ni za Chuki na kama Kunikomoa fulani hivi.

Imetosha sasa....!!!

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo
🤣🤣🤣🤣 Jibu hoja acha kukimbilia polisi wewe . Dhihaka ipo wapi hapo.
 
Uongozi wa JamiiForums hasa Moderators Paw, Moderator na JamiiForums nimeshawahi kutoa Kwenu Malalamiko yangu just Watu ( Members ) wanaopenda Kunichokoza, Kunidhihaki na Kunikashifu mara kwa mara hapa JamiiForums kama huyu ila cha Kushangaza bado mnaendelea Kuwalea na Mimi nikijibu Mapigo yangu mnakimbilia kunipa BAN za muda mrefu.

Je, kuanzia sasa GENTAMYCINE nikihisi kuwa huenda Watu hawa Wanatumika 'Kimkakati' katika Kunichokoza na Kunishambulia ili Nihamaki na ID hii ipigwe BAN ndefu na Lengo litimie nitakuwa nakosea?

Tafadhali kama GENTAMYCINE na hii ID yangu sitakiwi hapa JamiiForums labda nagusa na naharibu Maslahi ya Watu fulani hivyo natafutiwa BAN za lazima ili Watu fulani waridhishwe naomba niambiwe tu ili nijue.

Haiwezekani ID's zile zile tu za LIKUD na ile nyingine ya Its Pancho ndiyo ziwe zinaongoza Kunichokoza na Kunishambulia kila Uchao tena kwa maneno yale yale ya Dhihaka dhidi yangu halafu Wanaachwa na Kuchekewa.

Nina uhakika kama Moderators wenu wangeamua kulivalia hili Njuga na kuwa nalo Makini huu Upuuzi usingeendelea ila bahati mbaya sana ni kwamba Watu ( Members ) wanaomchokoza, wanaonidhihaki na hata kunishambulia GENTAMYCINE hapa JamiiForums wanalindwa na Kuchekewa ila GENTAMYCINE nikiwajibu vile ninavyojua haraka mno napigwa BAN ya Mwezi au Miezi Mitatu ( Siku 90 )

Mtu ( Member ) umeshakiri na kila mara unasema kuwa humpendi GENTAMYCINE na unamchukia sasa kwanini kila Siku uingiapo tu JamiiForums ni lazima utamsoma na Kusoma Mada zake? Hivi unayemchukia unaweza Kupoteza muda wako Kumfuatilia kila mara na Kumfuata fuata?

Nasisitiza kama ID hii ya GENTAMYCINE haitakiwi hapa JamiiForums niambieni tu ili nijitoe rasmi au niwaruhusu muifunge ili mridhike na Roho zenu kuliko Kuacha GENTAMYCINE nafanyiwa kila aina ya Visa hapa halafu nikijibu Mapigo mnakimbilia kunipa ( kunipiga ) BAN ndefu ambazo muda mwingine nahisi ni za Chuki na kama Kunikomoa fulani hivi.

Imetosha sasa....!!!

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo
Yote haya Kwa Sababu umeambiwa hujawahi kufika dar🤣🤣🤣 kumbe dar Kwa watu wa mikoani ni big deal eeh?

Mkuu upo Kijiji Gani nimlete Mkojani tuje tupige show mkuu? Ndio fursa zenyewe hizi chief.
 
Picha please
Picha azipate wapi mkuu wakati anaishi Bunda huko na hizo fremu zipo Kawe?

Utakuwa unamuonea bure Tu bushman wa watu

Kwa picha na mimi namtetea.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Wewe ukiamka ukichamba habari na taarifa zako lazima zitoke Kawe, aidha Utamnanga Mwamposa au Utakuja na mafimafi kama haya kisa umeona Frame Pale Kawe kwa Masai..Mbona hukuwahi kuhoji zile Frame za Makongo shuleni pale? Hakika unawashwa na Mwenye nyumba wako Marehem Mzee Mapupu alikufanyia kitu kibaya sana ! Umemsakama Dkt Komba kwa kutoa mimba mpaka amehama..Nyauba we!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mimi naunga mkono hata ule ukuta wa ikulu ya magogoni zijengwe frem pale Ili kuongeza mapato na pili kumaliza tatizo la ajira nchini. Unakuta shule zina ukuta na zipo katikati ya mji miji zijengwe frem, unakuta stand ya mwendokasi mfano mbagala, gerezani, magogoni ule ukuta wa nn kwann wasijenge frem Ili kuondoa tatizo la ajira nchini.
Maana tumeshindwa kujenga uchumi wa kilimo , tumeamua kujenga uchumi wa kimachinga so nchi yote igeuzwe iwe ni machinga tupu. Maana umachinga ni zao la ccm kushindwa kwenye uchumi kwa kushindwa kuzigeuza raslimali kuwa fursa vijana wapate ajira. Serikali ya Ccm imewaacha vijana yatima wajilee wenyewe bila muongozo, Hakuna mpangilio tangu unazaliwa utaishije hadi kifo. Ukishamaliza shule utajijua mwenyewe, njia rahisi ni watu kukimbilia umachinga. Na machinga ni Dalali au salesman wa viwanda vya China, Kazi yake kuu ye ni agent wa kusambaza bidhaa toka China kwa faida ya China na sio Tanzania. Kambi za jeshi za mijini zihamishwe porini nje ya mji zinachukua nafasi kubwa na kuzuia mipango miji.
 
Mimi nikiwa Mgonjwa Mamaako aliyekuzaa Taahira Wewe na kutuletea Kero Watanzania atakuwaje?

Siko hapa JamiiForums kusema Mimi ni nani au naishi wapi kama ambavyo Kutwa unahangaika kutaka kujua.

Unajitahidi mno 24/7 kutaka Kuonyesha kuwa Mimi ni Mshamba fulani wakati nina uhakika Watu wanaonijua Personally pamoja na Uhalisia wangu na hata Family Background yangu kama Mdogo wangu wa damu steveachi, Jirani yangu mkubwa Mbezi Beach Bujibuji Simba Nyanaume, JamiiForums Founder Mtani wangu wa Kihaya Maxence Mubyazi Melo pamoja na Vijana Wawili walioko Ofisi ya Rais ( Ikulu ) kwa Maadili ( nawahifadhi )pamoja na Wahadhiri wangu Wapendwa Dk. Fr. Charles Kitima na Dk. Fr. Francis Ng'atigwa ( walionifundisha Masters yangu SAUT School of Graduates Studies Dar es Salaam Campus Msimbazi Center ) Wote wananijua physically GENTAMYCINE ( na hata hii ID yangu ) hivyo hapa si tu wanakuona Mpumbavu bali Wanakudharau ile mbaya.

Unajitahidi mno kusema kuwa GENTAMYCINE natokea Bunda ( ambako unakudharau na yawezekana ) huko pia kuna / una Basha wako ambaye alikusugua vizuri na Kukuacha hivyo sasa ni kama vile una Hasira nae kutokana na Wivu wako mkubwa juu yake.

Sitokei Bunda jjapo nakiri kuwa Bunda ni eneo ndani ya Mkoa wangu pendwa na tukuka wa Mara ( Musoma ) ila Asili ya GENTAMYCINE ni Wilayani Butiama eneo la Butuguri Jirani kabisa na Makazi ya Mkurugenzi wa NEC Dk. Charles Wilson Mabera.

Sihitaji kwenda mbali zaidi ya hapa kwani bado nina mengi ya Kunihusu ambayo nina uhakika nikiyaweka hapa bayana utajiona ni Bonge la Mpumbavu na Mshamba ila kwakuwa nimeshakusoma na Kugundua Uswahili wako wala hunisumbui na hunipotezei muda hapa JamiiForums.

Najua kinachowateseni mpaka hata Kuwanyimeni Usingizi Kutwa hapa JamiiForums ni Umaarufu wangu GENTAMYCINE, aina yangu ya Kipekee ya Uwasilishaji Masuala hapa JamiiForums na Jtajiri wangu mkubwa wa Maarifa ( Knowledge ) unaotakana na Mimi kupenda sana Kusoma Vitabu ( Literatures ) mbalimbali za Tasnia tofauti tofauti, kupenda Kufuatilia Habari ( Local and Internationally ) na Kujichanganya sana na Makundi ya Watu wa Kada nyingi nyingi.

Ahadi pekee ninaypitoa Kwako Rais wa Wapumbavu, Waswahili na Washamba wote hapa JamiiForums mi kwamba GENTAMYCINE sitoacha Kuchangia yale ninayoyajua na kama mnachukizwa zaidi na uwepo wangu hapa Chaguzi ni Mbili tu ama Unibloku / Mnibloku mazima au msiwe mnahangaika Kutwa muwapo hapa JamiiForums Kunifuatilia na Kunisoma kwani hata Mimi sijawahi kuwa na muda mchafu wa Kupoteza juu yako au hao Wenzako wengine.

Baada ya huu Ufafanuzi wangu hutoona tena nahangaika Kujibizana nawe ila Wewe nimekuruhusu usiache Kunichokoza, Kunidhihaki na hata Kunitukana ukitaka kwani ndiyo Karama uliyozawadiwa wakati Wenzako tumebarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hata hapa JamiiForums na ndiyo maana unaoba pamoja na Kunishambulia Kwako / Kwenu kote bado tu nazidi kuwa maarufu na kila Uchao napokea idadi ya Followers wenye Akili akiwemo Mheshimiwa Balozi Dk. Wilbroad Slaa na Wengineo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE nimemaliza.

Cc: Its Pancho, cool d, USSR, Super Handsome
Umesoma SAUT??? Aisee hivi kuna watu wanasoma hiko chuo na wakawa timamu kweli??
 
Leo nasema rasmi hapa hapa JamiiForums kuwa Mimi GENTAMYCINE sijapendezwa na huu Utaratibu wa Kambi za Jeshi ( tena zile ) ambazo ni 'very Potential and Strategical' Kujengwa Maduka ya Biashara.

Tafadhali tufanye mzaha na Kote ila siyo katika Taasisi ya Jeshi na endapo GENTAMYCINE nitakuja kuwa Rais wa Tanzania huu Upuuzi wote nitauondoa na Kuvunja Maduka yote na Kambi za Jeshi ziendelee Kuheshimika na siyo Kudhihakiwa kama zinavyofanywa sasa.

Huwezi kuukuta Upuuzi huu South Africa, Rwanda, Uganda, Israel, Marekani, Uingereza, China, Urusi, Korea Kaskazini, Cuba, India, Pakistan na Ufaransa hasa kutokana na Unyeti wa Sekta hiyo husika kwa Ulinzi na Usalama wa Taifa letu.

Tunakoelekea naona kwa mbali sana hata katika Ikulu za Magogoni ( Dar es Salaam ) na ile ya Chamwino ( Dodoma ) na kwenyewe Kutaamriwa katika Kuta zake kujengwe 'Fremu' za Biashara ili Ikulu nazo zijipatie Pesa za Kulisha Ndege Wao wazuri Tausi waliopo huko.

Sasa kama mmeruhusu Lugalo Kujengwe 'Fremu' za hovyo hovyo na Kienyeji kama zilizopo mbona mnachelewa pia Kuruhusu na pale Makumbusho zilipo Flats za Watu wa TISS hadi upande ule wa PSU na kwenyewe Watu Wajenge 'Fremu' ili TISS mao wajiingizie Kipato na ikiwezekana nao Wajitajirishe humo humo tu?

Tanzania ya sasa inaelekea Kuzimu tu.
Nikipiga hapo nikashangaa sana
 
Mleta mada uko kizamani mno kwenye mambo ya Jeshi teknolojia ziko juu sana enzi za kuficha kituo cha jeshi hayapo tena

Waweza Ingia Google map ikakuonyesha vitup vyote vya kijeshi vilipo na vifaa vyao

Sasa hivi ziko teknolojia nyingi na yale uliyokuwa unajua kuwa Jeshi ni.kituo cha kijeshi kilichopo kituo fulani yamepitwa na wakati !!

Ndio maana pale Lugalo huwezi ONA makombora ya masafa marefu wala mitambo ya kutungulia ndege wala vifaa vya kivita ukipita pale sana sana Utaona askari wanafyeka majani na hospitali tu hamna cha maana pale

Unaongea kizamani enzi za ujamaa wa kirusi

Sasa hivi waweza kuta nyumba ya mtu ina makombora ya masafa marefu yanayoweza kupiga hadi kwenu Rwanda yakirushwa toka uswahilini buguruni kwa Mfuga mbwa kwa kimbengele Dar es salaam yasiyoonekana popote kwa Google map au chochote
Sio ma biashara bhanaa Jeshini.
Jeshini ni sehem nzuri ya kujenga karakana kubwa Askari wanaoneshana ma ujuzi baada ya kutoka katika mafunzo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣 Jibu hoja acha kukimbilia polisi wewe . Dhihaka ipo wapi hapo.
Ukumbi mzuri ni ule ambao aliyekuzaa kila mara anaenda Kulala ( Kushindiliwa vyema Kibaiolojia ) huko na Hawara yake Mkuu nje ya Babaako Mzazi. Muulize Yeye anaujua vyema tu kuliko Mimi sawa?
 
Yote haya Kwa Sababu umeambiwa hujawahi kufika dar🤣🤣🤣 kumbe dar Kwa watu wa mikoani ni big deal eeh?

Mkuu upo Kijiji Gani nimlete Mkojani tuje tupige show mkuu? Ndio fursa zenyewe hizi chief.
Ukumbi mzuri ni ule ambao aliyekuzaa kila mara anaenda Kulala ( Kushindiliwa vyema Kibaiolojia ) huko na Hawara yake Mkuu nje ya Babaako Mzazi. Muulize Yeye anaujua vyema tu kuliko Mimi sawa?
 
Picha azipate wapi mkuu wakati anaishi Bunda huko na hizo fremu zipo Kawe?

Utakuwa unamuonea bure Tu bushman wa watu

Kwa picha na mimi namtetea.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Ukumbi mzuri ni ule ambao aliyekuzaa kila mara anaenda Kulala ( Kushindiliwa vyema Kibaiolojia ) huko na Hawara yake Mkuu nje ya Babaako Mzazi. Muulize Yeye anaujua vyema tu kuliko Mimi sawa?
 
Back
Top Bottom