Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Mkuu hii kwa watu wa ccm ndio nafuu, kwa nini unataka chadema iwe imara?Chokochoko zilianza kwa Msingwa akasena naondoka ila mtagawana fito. Mara Lissu akaibua la mama Abdul, hatujakaa sawa wana CCM wakasema ni suala la muda tu CDM watagawana fito, ghafla CCM wanamchangia Lissu ununuzi wa gari, hatujapumzika mara Lissu anautaka wenyekiti anaanza kuvurumusha maneno ya kashfa kwa Mwemyekiti wake wa chama, kukifunua siri za kamati kuu nje nje bila kujali athali zake.
Yaani hata kama unautaka uwenyekiti ndugu si kwa syle hiii - huyu si wa kupewa chama hata kidogo.
hataki Lissu ampandie kichwani akiwa mwenyekiti. Ndio hivyo tu. Raisi lazima awe mwanachama wa chama cha siasa, Mbowe akiwa Rais, lazima mwenyekiti atam- control, jambo ambalo hataki. Lissu yeye kaisha sema kwamba akiwa Rais, huo uenyekiti ata- resign. Kuwapatanisha hawa wawili ni jambo jepesi tu- wawekeane mkataba wa maandishi kupitia kamati kuu wa nani atafanya nini akiwa nani, ndio wataaminiana maana kwa sasa kila mmoja hamwamini mwenzake- Lissu anamtilia shaka Mbowe na Abdul wake na Mbowe anamtilia shaka Lissu kwamba atatia mchanga kwenye kitumbua chake toka huko ccm ya samia, na ukiangalia sana, washabiki wa ccm humu wanamtaka Mbowe zaidi ya Lissu maana hawataki hizi habari za mchaka mchaka, chinja, aliselema, alijia... wazee wa mara wanasema Busara na nia njema haikubariki tena- hebu wasikilize hapa, wao wanataka kuku aruke na mwewe, ndio hayo tu...Mbowe kuna kitu watu hawajui kwa nini anataka sana uenyekiti
Kupatana hao hakupo tena, sababu tayari mmoja kishaharibu maslahi ya mwinginehataki Lissu ampandie kichwani akiwa mwenyekiti. Ndio hivyo tu. Raisi lazima awe mwanachama wa chama cha siasa, Mbowe akiwa Rais, lazima mwenyekiti atam- control, jambo ambalo hataki. Lissu yeye kaisha sema kwamba akiwa Rais, huo uenyekiti ata- resign. Kuwapatanisha hawa wawili ni jambo jepesi tu- wawekeane mkataba wa maandishi kupitia kamati kuu wa nani atafanya nini akiwa nani, ndio wataaminiana maana kwa sasa kila mmoja hamwamini mwenzake- Lissu anamtilia shaka Mbowe na Abdul wake na Mbowe anamtilia shaka Lissu kwamba atatia mchanga kwenye kitumbua chake toka huko ccm ya samia, na ukiangalia sana, washabiki wa ccm humu wanamtaka Mbowe zaidi ya Lissu maana hawataki hizi habari za mchaka mchaka, chinja, aliselema, alijia... wazee wa mara wanasema Busara na nia njema haikubariki tena- hebu wasikilize hapa, wao wanataka kuku aruke na mwewe, ndio hayo tu...
wasikilize hapa:
View: https://youtu.be/0d1QUNFfVoA?si=efIheOZL25Qh6kGn
Ukute hata kipindi cha magu, Mbowe alikua anapiga kolabo nae.Kumbe tumefika hatua ya Viongozi wakuu wa Chadema kwenda kupatanishwa Nje ya Mifumo ya Chama 🐼
Kiukweli Hali ni Tete Sana
Kwani Makamu mwenyekiti kabla ya Lisu alikuwa ni nani?
Au Mzee Mabere Nyaucho Marando?
Nimekaa pale 🐼
Hapa hakuna busara Tena,aliekosa Busara Mbowe,Busara inahitajika
Tundu lissu anajieleza vizuri,alimwambia Akiwa Mwenyekiti atamwachia Mbowe upande wa Uraisi Mbowe hataki,Kwani Mbowe ni nani ,Bora chadema kufa tu,Tatizo ni Freeman Mbowe...
Nikimsikiliza na nikimtazama Tundu Lissu na kisha kuhusianisha maneno na matendo yake, naona genuinity ndani ya mtu huyu...
Simwoni kuwa tatizo hata kidogo ndani ya CHADEMA bali huyu jamaa ni victim tu wa walio chanzo halisi cha matatizo ndani ya chama ambaye ni Freeman Mbowe na genge lake akifanya kolabo na TISS kwa manufaa ya CCM na Samia....!
Ni bahati njema tu kuwa jamaa - Tundu Lissu is neither a coward nor weak...
Jamaa yuko very strong kiufahamu na kiakili na moto utawaka tu lazima kama Freeman Mbowe ataendelea na ujinga wake huu...
Kumbe Lucas Mwashambwa ni dada..?Nilivyoona mpka dada yetu Lucas Mwashambwa ni kampeni meneja wa Mbowe nikajua kuna tatizo hapa
Shida kesho unaweza sikia kafukuzwa uanachamaTatizo ni Freeman Mbowe...
Nikimsikiliza na nikimtazama Tundu Lissu na kisha kuhusianisha maneno na matendo yake, naona genuinity ndani ya mtu huyu...
Simwoni kuwa tatizo hata kidogo ndani ya CHADEMA bali huyu jamaa ni victim tu wa walio chanzo halisi cha matatizo ndani ya chama ambaye ni Freeman Mbowe na genge lake akifanya kolabo na TISS kwa manufaa ya CCM na Samia....!
Ni bahati njema tu kuwa jamaa - Tundu Lissu is neither a coward nor weak...
Jamaa yuko very strong kiufahamu na kiakili na moto utawaka tu lazima kama Freeman Mbowe ataendelea na ujinga wake huu...
Hivi ule mdahalo utakuepo..? Na kama utakuepo mbowe atapakwa vinyesi na TAL kama nn. Maana hapa nisha soma mchezo upande wa Lissu kuna wanaharakati wengi na wanamengi zaidi sema tu baadhi wanaogopa kivuli cha mwemyekiti FAM inyeshe zaidiwakaitwa wote halafu Muomba kikao akakataa yaliyotokana na kikao- Yeye ni Uenyekiti tu, Hata Urais hataki kwenda kugombana na Samia ndio maana kwa mujibu wa Lissu leo aliyesema kwamba - Mbowe chukua kimoja, Uraisi au Uenyekiti... yeye mbowe anataka vyote au kucheza na wenye A3 badala ya kuchexa na akili za wenye D2. Taabu tupu. Ndio maana Lema anasema kwamba haya mambo mawili yaamuliwe kwa pamoja ili chama kisonge mbele... labda watamskiliza
Akagombee uraisi Kwa mara ya 2 ndo inamfaa lakini siyo mwenyekiti wa Chadema.Mbowe baada kulambishwa Asali akaona amfanyie ZENGWE jemadari Lissu ili kumpush out kwenye uongozi kwasababu Lissu sio mla RUSHWA Lissu akaona nimfuate huko huko😆😆
View attachment 3194191
Niyeye👆 sio mla RUSHWA na ni Muadilifu Muwazi na Mzalendo.
Mtu anaefaa kuwa RAISI wa TANZANIA kwa tiketi ya CHADEMA halafu hafai kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA?Akagombee uraisi Kwa mara ya 2 ndo inamfaa lakini siyo mwenyekiti wa Chadema.
CHADEMA NI CHAMA CHA SIASA NA NI CHAMA CHA WATANZANIA, HAYO YA KINA MANGI NI WEWE NDO UNAJUA.Mtu anaefaa kuwa RAISI wa TANZANIA kwa tiketi ya CHADEMA halafu hafai kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA?
Kwanini hamsemi tu kuwa hiyo ni Saccos ya Mangi?
Hapa tulipofika busara ni sanduku la kura, na kwenye uchaguzi huo tutegee vurugu za kumwondoa nkurunziza wa machameBusara inahitajika
Wewe na nani mtegee vurugu? Baada ya vurugu hizo utapata nishani Gani?Hapa tulipofika busara ni sanduku la kura, na kwenye uchaguzi huo tutegee vurugu za kumwondoa nkurunziza wa machame
Nkurunzinzalism inakuwa imeishia hapo... au huoni ni jambo jema hili?Wewe na nani mtegee vurugu? Baada ya vurugu hizo utapata nishani Gani?
ACHA kudharau watu usiowapenda Iko siku utawaomba msaada, au utawaoigia saluti Kwa heshima.Nkurunzinzalism inakuwa imeishia hapo... au huoni ni jambo jema hili?
Hiyo hoja iliwavua nguo hadharani wenzako wakawa wanapayuka tu kama wewe hivi🤣🤣CHADEMA NI CHAMA CHA SIASA NA NI CHAMA CHA WATANZANIA, HAYO YA KINA MANGI NI WEWE NDO UNAJUA.
Mimi siyo mwanachama wa Chadema ila napenda vyama vyenye kuleta msimamo usiyoyumbiswa kama Chadema chini ya Mbowe ila kinyume chake ni uzushi na Mimi sipayuki ila nimetoa maoni tuuu...Hiyo hoja iliwavua nguo hadharani wenzako wakawa wanapayuka tu kama wewe hivi🤣🤣