Pre GE2025 Kwani kabla ya Tundu Lissu Makamu Wenyeviti alikuwa ni nani? Na aliondokaje? Suala la Lissu kupatanishwa na Mbowe Kanisani ni Utata!

Pre GE2025 Kwani kabla ya Tundu Lissu Makamu Wenyeviti alikuwa ni nani? Na aliondokaje? Suala la Lissu kupatanishwa na Mbowe Kanisani ni Utata!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chokochoko zilianza kwa Msingwa akasena naondoka ila mtagawana fito. Mara Lissu akaibua la mama Abdul, hatujakaa sawa wana CCM wakasema ni suala la muda tu CDM watagawana fito, ghafla CCM wanamchangia Lissu ununuzi wa gari, hatujapumzika mara Lissu anautaka wenyekiti anaanza kuvurumusha maneno ya kashfa kwa Mwemyekiti wake wa chama, kukifunua siri za kamati kuu nje nje bila kujali athali zake.

Yaani hata kama unautaka uwenyekiti ndugu si kwa syle hiii - huyu si wa kupewa chama hata kidogo.
Mkuu hii kwa watu wa ccm ndio nafuu, kwa nini unataka chadema iwe imara?
 
Mbowe kuna kitu watu hawajui kwa nini anataka sana uenyekiti
hataki Lissu ampandie kichwani akiwa mwenyekiti. Ndio hivyo tu. Raisi lazima awe mwanachama wa chama cha siasa, Mbowe akiwa Rais, lazima mwenyekiti atam- control, jambo ambalo hataki. Lissu yeye kaisha sema kwamba akiwa Rais, huo uenyekiti ata- resign. Kuwapatanisha hawa wawili ni jambo jepesi tu- wawekeane mkataba wa maandishi kupitia kamati kuu wa nani atafanya nini akiwa nani, ndio wataaminiana maana kwa sasa kila mmoja hamwamini mwenzake- Lissu anamtilia shaka Mbowe na Abdul wake na Mbowe anamtilia shaka Lissu kwamba atatia mchanga kwenye kitumbua chake toka huko ccm ya samia, na ukiangalia sana, washabiki wa ccm humu wanamtaka Mbowe zaidi ya Lissu maana hawataki hizi habari za mchaka mchaka, chinja, aliselema, alijia... wazee wa mara wanasema Busara na nia njema haikubariki tena- hebu wasikilize hapa, wao wanataka kuku aruke na mwewe, ndio hayo tu...
wasikilize hapa:
View: https://youtu.be/0d1QUNFfVoA?si=efIheOZL25Qh6kGn
 
hataki Lissu ampandie kichwani akiwa mwenyekiti. Ndio hivyo tu. Raisi lazima awe mwanachama wa chama cha siasa, Mbowe akiwa Rais, lazima mwenyekiti atam- control, jambo ambalo hataki. Lissu yeye kaisha sema kwamba akiwa Rais, huo uenyekiti ata- resign. Kuwapatanisha hawa wawili ni jambo jepesi tu- wawekeane mkataba wa maandishi kupitia kamati kuu wa nani atafanya nini akiwa nani, ndio wataaminiana maana kwa sasa kila mmoja hamwamini mwenzake- Lissu anamtilia shaka Mbowe na Abdul wake na Mbowe anamtilia shaka Lissu kwamba atatia mchanga kwenye kitumbua chake toka huko ccm ya samia, na ukiangalia sana, washabiki wa ccm humu wanamtaka Mbowe zaidi ya Lissu maana hawataki hizi habari za mchaka mchaka, chinja, aliselema, alijia... wazee wa mara wanasema Busara na nia njema haikubariki tena- hebu wasikilize hapa, wao wanataka kuku aruke na mwewe, ndio hayo tu...
wasikilize hapa:
View: https://youtu.be/0d1QUNFfVoA?si=efIheOZL25Qh6kGn

Kupatana hao hakupo tena, sababu tayari mmoja kishaharibu maslahi ya mwingine
 
1200px-Honey_Badger.jpg

Samia alimfananisha Tundu Lissu na Simba lakini mimi imho nafikiri tabia za Lissu zinafanana sana na huyu kiumbe.

Kwenye haki zake Nyegere mtatoana roho😆😁
the-action-of-mashatu.jpg

😁😁😆
hqdefault (3).jpg

😆😆

Mungu wa mbinguni tunakushukuru kwa kutuachia huyu Lissu.
 
Nimejiapiza kuwa siku Lissu na Heche wakishinda uchaguzi naagiza ndafu ya mbuzi na konyagi za kutosha.
f4b21aaf01e62d7f4412bf00111b6707--tanzania-a-group.jpg

Masharti kabla kula tutaimba mwimbo wa Taifa halafu mwimbo wa CHADEMA halafu tutaanza kula na kunywa na kumshukuru Mungu.
 
Tatizo ni Freeman Mbowe...

Nikimsikiliza na nikimtazama Tundu Lissu na kisha kuhusianisha maneno na matendo yake, naona genuinity ndani ya mtu huyu...

Simwoni kuwa tatizo hata kidogo ndani ya CHADEMA bali huyu jamaa ni victim tu wa walio chanzo halisi cha matatizo ndani ya chama ambaye ni Freeman Mbowe na genge lake akifanya kolabo na TISS kwa manufaa ya CCM na Samia....!

Ni bahati njema tu kuwa jamaa - Tundu Lissu is neither a coward nor weak...

Jamaa yuko very strong kiufahamu na kiakili na moto utawaka tu lazima kama Freeman Mbowe ataendelea na ujinga wake huu...
Tundu lissu anajieleza vizuri,alimwambia Akiwa Mwenyekiti atamwachia Mbowe upande wa Uraisi Mbowe hataki,Kwani Mbowe ni nani ,Bora chadema kufa tu,
 
Tatizo ni Freeman Mbowe...

Nikimsikiliza na nikimtazama Tundu Lissu na kisha kuhusianisha maneno na matendo yake, naona genuinity ndani ya mtu huyu...

Simwoni kuwa tatizo hata kidogo ndani ya CHADEMA bali huyu jamaa ni victim tu wa walio chanzo halisi cha matatizo ndani ya chama ambaye ni Freeman Mbowe na genge lake akifanya kolabo na TISS kwa manufaa ya CCM na Samia....!

Ni bahati njema tu kuwa jamaa - Tundu Lissu is neither a coward nor weak...

Jamaa yuko very strong kiufahamu na kiakili na moto utawaka tu lazima kama Freeman Mbowe ataendelea na ujinga wake huu...
Shida kesho unaweza sikia kafukuzwa uanachama
 
wakaitwa wote halafu Muomba kikao akakataa yaliyotokana na kikao- Yeye ni Uenyekiti tu, Hata Urais hataki kwenda kugombana na Samia ndio maana kwa mujibu wa Lissu leo aliyesema kwamba - Mbowe chukua kimoja, Uraisi au Uenyekiti... yeye mbowe anataka vyote au kucheza na wenye A3 badala ya kuchexa na akili za wenye D2. Taabu tupu. Ndio maana Lema anasema kwamba haya mambo mawili yaamuliwe kwa pamoja ili chama kisonge mbele... labda watamskiliza
Hivi ule mdahalo utakuepo..? Na kama utakuepo mbowe atapakwa vinyesi na TAL kama nn. Maana hapa nisha soma mchezo upande wa Lissu kuna wanaharakati wengi na wanamengi zaidi sema tu baadhi wanaogopa kivuli cha mwemyekiti FAM inyeshe zaidi
 
Mtu anaefaa kuwa RAISI wa TANZANIA kwa tiketi ya CHADEMA halafu hafai kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA?

Kwanini hamsemi tu kuwa hiyo ni Saccos ya Mangi?
CHADEMA NI CHAMA CHA SIASA NA NI CHAMA CHA WATANZANIA, HAYO YA KINA MANGI NI WEWE NDO UNAJUA.
 
Hiyo hoja iliwavua nguo hadharani wenzako wakawa wanapayuka tu kama wewe hivi🤣🤣
Mimi siyo mwanachama wa Chadema ila napenda vyama vyenye kuleta msimamo usiyoyumbiswa kama Chadema chini ya Mbowe ila kinyume chake ni uzushi na Mimi sipayuki ila nimetoa maoni tuuu...
 
Back
Top Bottom