Kwani Kikwete alikuwa anatumia mbinu gani kuiongoza nchi? Ajira zilikuwa kila mahala

Kwani Kikwete alikuwa anatumia mbinu gani kuiongoza nchi? Ajira zilikuwa kila mahala

Kipindi cha JK hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari ambaye hakupata ajira serikalini labda usiende kulipoti wewe mwenyewe kwa sababu private sector napo kulikuwa very strong hivyo mtu anafanya choice tu.

Kipindi cha JK mpaka wazazi walikuwa wanawahimiza watoto wasomee ama ualimu au udaktari kwani ajira zipo za uhakika.

Sasa alipokuja yule bwana (jpm) akaharibu utaratibu ule wa kuajiri watu wote wa kada hizo akaanza kudokoa dokoa mara mwaka huu tunaajiri elf 100 au elfu 200 maana uchumi ni mbovu.

Kwa kweli tulipmaliza kipindi hiko tunakukumbuka sana JK acha hawa waliomaliza miaka ya 2000 wasikuchukulie poa maana hawakujui.
Unafikiri jpm angeendelea kuajiri angejenga bwawa la nyerere na SGR?,maendeleo yana gharama zake
 
Hili Bomu it has always been a time bomb ambapo matokeo yake yanaendelea kuonekana polepole...., Mbegu ambazo zinatakiwa zipandwe leo mavuno yake ni baada ya miaka kadhaa...

Ndio maana strategy za "the big results now" haziwezi kufanya kazi long term, zinahitajika long term plans..., Sababu kwenye dunia ya sasa ya automation na sayansi na teknolojia isiyohitaji nguvu kazi nyingi inabidi kubadilisha mbinu za kivita...

Na sasa kinachopandwa ni kibaya zaidi kwa kesho tunagawa na kubinafisha all our commanding heights (it will never work) what we need is Chinese Model (Social Market Economy)
 
Kipindi cha JK hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari ambaye hakupata ajira serikalini labda usiende kulipoti wewe mwenyewe kwa sababu private sector napo kulikuwa very strong hivyo mtu anafanya choice tu.

Kipindi cha JK mpaka wazazi walikuwa wanawahimiza watoto wasomee ama ualimu au udaktari kwani ajira zipo za uhakika.

Sasa alipokuja yule bwana (jpm) akaharibu utaratibu ule wa kuajiri watu wote wa kada hizo akaanza kudokoa dokoa mara mwaka huu tunaajiri elf 100 au elfu 200 maana uchumi ni mbovu.

Kwa kweli tulipmaliza kipindi hiko tunakukumbuka sana JK acha hawa waliomaliza miaka ya 2000 wasikuchukulie poa maana hawakujui.

Alafu nchi ikaingia uchumi wa kati??
 
Unafikiri jpm angeendelea kuajiri angejenga bwawa la nyerere na SGR?,maendeleo yana gharama zake
Ajira ndo muhimu kuliko chochote. Si unaona wahamiaji haramu kiutoka sudan kila siku wanakamatwa japo kwao kuna hivyo vi SGR na mabwawa ya umeme? The good choice ni watu kwanza siyo vitu. Jk was extremely very right
 
SO what,hao watoto waliozaliwa wanatibiwa na nani,wanafundishwa na nani,population ikiongezeka ina maana vacancy za ajira pia zinaongezeka
Uchumi wa Tanzania unakua kwa kati ya 5% na 7% kwa miaka zaidi ya 20 sasa hiki ni kiwango kidogo sana cha ukuaji wa uchumi kuendana (ku match) na kasi ya ongezeko la idadi ya watu nchini.

Pia uchumi wa Tanzania kwa muda mrefu umekuwa sio jumuishi, kwa maana ya ukuaji wake ni katika maeneo yasiyozalisha ajira kwa wingi sana mfano sekta wa mawasiliano na madini. Uchumi unaozalisha ajira kwa wingi ni uchumi wa viwanda na biashara za kati.
 
Kipindi cha JK hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari ambaye hakupata ajira serikalini labda usiende kulipoti wewe mwenyewe kwa sababu private sector napo kulikuwa very strong hivyo mtu anafanya choice tu.

Kipindi cha JK mpaka wazazi walikuwa wanawahimiza watoto wasomee ama ualimu au udaktari kwani ajira zipo za uhakika.

Sasa alipokuja yule bwana (jpm) akaharibu utaratibu ule wa kuajiri watu wote wa kada hizo akaanza kudokoa dokoa mara mwaka huu tunaajiri elf 100 au elfu 200 maana uchumi ni mbovu.

Kwa kweli tulipmaliza kipindi hiko tunakukumbuka sana JK acha hawa waliomaliza miaka ya 2000 wasikuchukulie poa maana hawakujui.
Kumbuka watu wanazaliwa na wale walioajiriwa katika zile nafasi Za kazi bado wapo unataka waende wapi,na ukiajiriwa serikani unakuwa na kaz ya kudumu haiwi shift kama kiwandani. taasisi,shule na mashirika na ofisi zote ni chache kulinganisha watu wanaotaka kuajiriwa humo.
Issues ni ongezo la watu wanaofanana taaluma.
 
Kipindi cha JK hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari ambaye hakupata ajira serikalini labda usiende kulipoti wewe mwenyewe kwa sababu private sector napo kulikuwa very strong hivyo mtu anafanya choice tu.

Kipindi cha JK mpaka wazazi walikuwa wanawahimiza watoto wasomee ama ualimu au udaktari kwani ajira zipo za uhakika.

Sasa alipokuja yule bwana (jpm) akaharibu utaratibu ule wa kuajiri watu wote wa kada hizo akaanza kudokoa dokoa mara mwaka huu tunaajiri elf 100 au elfu 200 maana uchumi ni mbovu.

Kwa kweli tulipmaliza kipindi hiko tunakukumbuka sana JK acha hawa waliomaliza miaka ya 2000 wasikuchukulie poa maana hawakujui.
idadi ya watu kipindi hicho ni sawa na sasa? wasomi walikuwa sawa na sasa?
 
Kumbuka walimu wanakufa na kustaff pia na kuna ongezeko kibwa la wanafunzi kwa hii elimu bure regardless madarasa kuwa fixed kama unavyosema
Sasa walimu wanaokufa na kustafu ndio mapengo yao hayo yanazibwa na hao wanaoajiriwa... mwaka huu nafasi za walimu hazikufika hata elfu 15 ukiangalia idadi hii inawezekana hata UDSM pamoja na kampasi zake wako zaidi ya hiyo idadi.

Inshort wasomi ni wengi sasa hivi ukilinganisha na miaka ya nyuma kwahiyo serikali peke yake hawawezi kuwahudumia wote ila chakufanya ni kushirikiana na private sectors na kuhimiza kwa vitendo katika uwekezaji kwa maana iwape sapoti na kuwahakikishia usalama wa kifedha watu wenye nia ya kuwekeza kwenye nyanja mbalimbali.

Imagine kampuni kama NALA wote tunajinasibu kama ni kampuni ya kitanzania kwakua ni ya kijana wa kitanzania ila usajiri wa kampuni yenyewe umefanyika Kenya, kwahiyo inaonesha hapa katikati kuna urasimu mwingi sana unaendelea ambao unafanya wawekezaji wengi wakimbie.
 
Uchumi wa Tanzania unakua kwa kati ya 5% na 7% kwa miaka zaidi ya 20 sasa hiki ni kiwango kidogo sana cha ukuaji wa uchumi kuendana (ku match) na kasi ya ongezeko la idadi ya watu nchini.
Samia alienda Geita mwaka jana akawaambia wabalance kuzaa ,huku mwendazake akisema wafyatue tu,mwendazake aliharibu uchumi
 
Sasa walimu wanaokufa na kustafu ndio mapengo yao hayo yanazibwa na hao wanaoajiriwa... mwaka huu nafasi za walimu hazikufika hata elfu 15 ukiangalia idadi hii inawezekana hata UDSM pamoja na kampasi zake wako zaidi ya hiyo idadi.

Inshort wasomi ni wengi sasa hivi ukilinganisha na miaka ya nyuma kwahiyo serikali peke yake hawawezi kuwahudumia wote ila chakufanya ni kushirikiana na private sectors na kuhimiza kwa vitendo katika uwekezaji kwa maana iwape sapoti na kuwahakikishia usalama wa kifedha watu wenye nia ya kuwekeza kwenye nyanja mbalimbali.

Imagine kampuni kama NALA wote tunajinasibu kama ni kampuni ya kitanzania kwakua ni ya kijana wa kitanzania ila usajiri wa kampuni yenyewe umefanyika Kenya, kwahiyo inaonesha hapa katikati kuna urasimu mwingi sana unaendelea ambao unafanya wawekezaji wengi wakimbie.
Sasa hapo ndo jpm aliharibu mana private sector aliua. Thanks to samia anaifufua
 
Kipindi cha JK hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari ambaye hakupata ajira serikalini labda usiende kulipoti wewe mwenyewe kwa sababu private sector napo kulikuwa very strong hivyo mtu anafanya choice tu.

Kipindi cha JK mpaka wazazi walikuwa wanawahimiza watoto wasomee ama ualimu au udaktari kwani ajira zipo za uhakika.

Sasa alipokuja yule bwana (jpm) akaharibu utaratibu ule wa kuajiri watu wote wa kada hizo akaanza kudokoa dokoa mara mwaka huu tunaajiri elf 100 au elfu 200 maana uchumi ni mbovu.

Kwa kweli tulipmaliza kipindi hiko tunakukumbuka sana JK acha hawa waliomaliza miaka ya 2000 wasikuchukulie poa maana hawakujui.
Hiyo miradi mikubwa ya SGR na Bwawa la Mwalimu Nyerere ni trilions ngapi? JK hakuwa na mradi wa trilions
 
Back
Top Bottom