Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwamba ajira hazipo lahasha ajira zipo ila serikali haitaki kuajiri kwa makusudi ili kuwadiscourage Watanzania wasisome kwa wingi ili wajinga wawe wengi na nchi iweze kutawalika kadri jinsi wanavotakaKipindi cha JK hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari ambaye hakupata ajira serikalini labda usiende kulipoti wewe mwenyewe kwa sababu private sector napo kulikuwa very strong hivyo mtu anafanya choice tu.
Kipindi cha JK mpaka wazazi walikuwa wanawahimiza watoto wasomee ama ualimu au udaktari kwani ajira zipo za uhakika.
Sasa alipokuja yule bwana (JPM) akaharibu utaratibu ule wa kuajiri watu wote wa kada hizo akaanza kudokoa dokoa mara mwaka huu tunaajiri elf 100 au elfu 200 maana uchumi ni mbovu.
Kwa kweli tulipmaliza kipindi hiko tunakukumbuka sana JK acha hawa waliomaliza miaka ya 2000 wasikuchukulie poa maana hawakujui.
Vyote amevijenga mama. Jpm alije ga kwa asilimia 20 tuVipi Hospital Kila Wilaya??? Hospital za Kanda ??
Umewaza kuhusu SGR, Bwawa la JNHEPP, ? Vipi Flyovers?
Mabarabara ? Umewaza juu ya ongezeko la GDP?. Oyaaa umewaza juu ya Elimu Bure ? , basi hata Uwajibikaji ,kupungua Kwa Rushwa?. Vp Mashule na vyuo alivyojenga JPM? Vipi kuhusu MELI katika maziwa?? Shirika la Ndege letu kufufka na Ndege mpya mpya??.vipi kuhusu Mji mpya wa Dodoma na makao makuu yake?.
Mtoa mada, Umeona Cha maana ni Ajira???.
Mimi nadhan, mtu pekee anayeweza kumoinga JpM, ni MPUMBAVU.
Magu na Samia wamekopa zaidi miaka Michache kuliko miaka 10 mzima ya Kikwete, so sio kweli eti Alikopa sana.Kwa sababu pesa nyingi ilipatikana kupitia mikataba ya hovyo kama merermeta,IPTL,gesi ya mtwara,pesa za gadafi, mikopo Toka WB ambayo Hadi Leo hatujamaliza kulipa.Enzi zake tigwa alibebwa kwenye ndege ya jeshi la uarabuni pale KIA na watu tulishuhudia mbashara pamoja na kukithiri Kwa biashara ya madaya ya kulevya.
YeahPopulation growth
unatumia ubongo gani kujenga hoja zako ?Ingekua ni kweli usemacho hata ujenzi wa shule mpya kila pahala ungehitaji kuongezeka kwa kasi hiyo... ila shule almost ni zile zile maeneo mengi.
We in wa hovyo sana. Hujui ulisemalo.Ajira labda kwenye ukoo wenu. JK aliongoza Nchi vibaya hadi 2015 CCM ilikuwa inachungulia kaburi na mwakani tutaona uchaguzi kama wa 2015. Nakushauri tu siku zinavyokwenda ajira zitazidi kupungua, dunia inaelekea kwenye robotics kwahiyo hizi kazi ambazo siyo za kisayansi kwa mtazamo wangu ni literallly servitude zitapotea na labda itabidi serikali iwe inawapa watu pesa kwa kuwa hai.
Kwani population iliacha kugrow kipindi cha JK?Population growth
Sijui mkuuunatumia ubongo gani kujenga hoja zako ?
?????We in wa hovyo sana. Hujui ulisemalo.
Miaka kumi ya JK population iliongezeka kwa watu milioni 10, miaka kumi ya JPM na Samia population imeongezeka kwa watu milioni 16.Kwani population iliacha kugrow kipindi cha JK?
Saizi hauteseki? Su Samia anagawa hela? Maana madirisha yako wazi mnachota tu!Ni mzimu haswa. Mana alitutesa kweli
Kwani we unatala nini hapa duniani? Umaskini au utajiri! Au unataka uendelee na ile slogan ya kuwanyanyapaa eti nyote ni wanyonge na nyie mkakubaliSaizi hauteseki? Su Samia anagawa hela? Maana madirisha yako wazi mnachota tu!
Watu weusi wengi wao bado sana kujitambua ikiwemo wewe!
Kama unazungumzia Maisha mazuri kwa kusema Samia na serkali yake ndo unaona hauteseki wakati inflation iko juu kuanzia mafuta na bidhaa unadanganya sana wajinga!Kwani we unatala nini hapa duniani? Umaskini au utajiri! Au unataka uendelee na ile slogan ya kuwanyanyapaa eti nyote ni wanyonge na nyie mkakuba
Kalagabao. Unataka kumlinganisha samia na lile jamaa? HahahahahaKama unazungumzia Maisha mazuri kwa kusema Samia na serkali yake ndo unaona hauteseki wakati inflation iko juu kuanzia mafuta na bidhaa unadanganya sana wajinga!
Korosho kwa mfano bei yake imeshuka sana tokea Samia aiingie na mfano mwingine ni zao la Pamba wakati wa JPM pamba ilifika 2500 lakini Mwaka huu ulioisha pamba imeizwa kwa elfu moja na hamsini!
Uwekezaji labda unazungumzia vikampuni Uchwara vya wachina na mishahara yao ya laki Tatu ambayo inamfanya Mtanzania kuwa maskini miaka yote!
Nchi haiongozwi kwa akili hizi za kufugia mbwa.Kwa nini unataka mpango wa mudda mrefu wakati umri wa kuishi ni miama 70 tu. Unataka mpango wa muda mrefu wa nini? Utakiwepo?