Kwani kuna ulazima wa mwanaume kufanya mapenzi na kila mwanamke aliye mbele yake?

Kwani kuna ulazima wa mwanaume kufanya mapenzi na kila mwanamke aliye mbele yake?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Hii inakwenda kunipita mbali kwakweli. Hapa jirani kuna binti ambaye ni mzuri tu kimuonekano ambaye huwa naponea kwenye mwili wake

Kabla ya kukubaliwa naye, nilipitia magumu mengi ya kupata shamba la kumwagia mbegu zangu hapa mtaani, maake kila niliyemuhitaji alinipiga chenga. Mimi na huyu binti kwa sasa tu wapenzi japo hatuko wazi sana kwenye jamii. Chances za kuchakata mbususu za majirani wengine, marafiki zake na wanawake wengine zaongezeka

Kwani kuna ulazima wa mimi kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa? Au niwapuuze pasi na kujali wataongea nini kunihusu?
 
uko kwenu umekosa kabisa mtu ukashauriana nae kweli
 
Me napiga nyeto sana ila akili za kuwazaga kuandika ujinga kama huu sinaga.
Ndio maana tukaumbwa na IQ tofauti, lakini kutokana na uchunguzi wa kisayansi, endapo utafagilia jambo la mtu, ujue wewe na yeye akili yenu ni moja

Ungekuwa ni mtu mwenye High IQ ungepuuza na kupita kimya kimya ukaenda kusoma uzi wa Roboti Yunisi. Wewe na mie ni kuku kwa kuwa tunascroll kwenye jukwaa la MMU, ila wewe ni kuku zaidi kwa kuwa unapingana na maana halisi ya kile unachokutana nacho MMU, ungetaka kukutana na uzi wa Bunge ungepita huko kwenye jukwaa lenu
 
uko kwenu umekosa kabisa mtu ukashauriana nae kweli
Nimekosa mkuu, kwa kuwa wao huwaza sana maendeleo, mimi nawaza mapenzi na ndo maana nikakimbilia MMU nikiamini kuwa initial M ya kwanza inahusu Mapenzi
 
We fanya vile nafsi yako inaridhika maisha yenyewe mafupi halafu tunaishi mara moja tu
 
Form six wapo mtaani tutakoma na nyuzi za watoto
😂😂Dah! Na kweli, sisi kama taifa bado tuna safari ndefu sana. Ifikie kipindi Melo atutenganishe tu, hawa watoto wa Jakaya watakuja kutuharibia forum kwa kweli
 
Hii inakwenda kunipita mbali kwakweli. Hapa jirani kuna binti ambaye ni mzuri tu kimuonekano ambaye huwa naponea kwenye mwili wake

Kabla ya kukubaliwa naye, nilipitia magumu mengi ya kupata shamba la kumwagia mbegu zangu hapa mtaani, maake kila niliyemuhitaji alinipiga chenga. Mimi na huyu binti kwa sasa tu wapenzi japo hatuko wazi sana kwenye jamii. Chances za kuchakata mbususu za majirani wengine, marafiki zake na wanawake wengine zaongezeka

Kwani kuna ulazima wa mimi kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa? Au niwapuuze pasi na kujali wataongea nini kunihusu?
Ndivyo ilivyo mwanaume ukiwa singo au mpenzi wako hajulikani mademu wanakuogopa ila wakishamjua demu/mkeo ndio wanaanza kujileta leta. Hapo ukiwapotezea utaanza kuitwa majina ya ovyo mara upinde, dume suruali n.k cha kukushauri hapo we wapelekee moto tu bora lawama kuliko fedhea
 
Hii inakwenda kunipita mbali kwakweli. Hapa jirani kuna binti ambaye ni mzuri tu kimuonekano ambaye huwa naponea kwenye mwili wake

Kabla ya kukubaliwa naye, nilipitia magumu mengi ya kupata shamba la kumwagia mbegu zangu hapa mtaani, maake kila niliyemuhitaji alinipiga chenga. Mimi na huyu binti kwa sasa tu wapenzi japo hatuko wazi sana kwenye jamii. Chances za kuchakata mbususu za majirani wengine, marafiki zake na wanawake wengine zaongezeka

Kwani kuna ulazima wa mimi kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa? Au niwapuuze pasi na kujali wataongea nini kunihusu?
A big NO
 
Hii inakwenda kunipita mbali kwakweli. Hapa jirani kuna binti ambaye ni mzuri tu kimuonekano ambaye huwa naponea kwenye mwili wake

Kabla ya kukubaliwa naye, nilipitia magumu mengi ya kupata shamba la kumwagia mbegu zangu hapa mtaani, maake kila niliyemuhitaji alinipiga chenga. Mimi na huyu binti kwa sasa tu wapenzi japo hatuko wazi sana kwenye jamii. Chances za kuchakata mbususu za majirani wengine, marafiki zake na wanawake wengine zaongezeka

Kwani kuna ulazima wa mimi kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa? Au niwapuuze pasi na kujali wataongea nini kunihusu?
Wewe ndio Yule melk the story teller ulie lalama kubadilisha jinaaa
 
Back
Top Bottom