Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Wana mawazo potofuDaaa tuwafunze vijana weyu kazi za mikono.....ufugaji kilimo mboga mboga daaa wataolewa hawa wajinga wanapenda kulelewa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana mawazo potofuDaaa tuwafunze vijana weyu kazi za mikono.....ufugaji kilimo mboga mboga daaa wataolewa hawa wajinga wanapenda kulelewa.....
Komaa kabisa usiondoke hapo ni nyumbani kwa wazazi wako. Waambie kama wanaona vipi wao ndio waondoke hapo waende kwa wazazi wao!Mimi naumia kufukuzwa nyumbani. Kama mtoto wa familia wanataka nikafie ugenini kweli? Fikiria unalala huna hela, una amka hauna bando. Shida juu ya shida.
Nitapata wapi tafu kutoka kwa maza , nimeambiwa nikipanga nitasaidiwa unga debe moja na nusu plastiki ya mchele. Ila shida mboga, ndagaa ni mboga unaweza kula mwezi kweli?
Si bora wanipe mtaji nijiangalizie nikiwa nyumbani
Huwa nashangaa sana jitu linakaa kwao linafuga ndevu nyingi kuliko Baba yake anaelilisha, tena linaweka na kuza na super black ili ziwe kama za Rick Ross, Ndevu zina heshima yake kwa mazingira yake vinginevyo utaonekama muhuni usiwjielewa.Kiukweli ukishangaa ya Firauni utayaona ya wazazi wa Ki-Tanzania.
Mimi bado kijana (kwa ninavyojiona), japo udevu ushaniota ni mtu fulani hivi ambaye kiukweli maisha ya kuzungusha bahasha naona ni uduwanzi na nimeamua kukaa nyumbani mpaka muda huu. Nina miaka 27 na mara chache chache navusha demu zangu kwenye geto la nje nililopewa.
Kilinichonishangaza ni kwamba wazazi wanataka niondoke nikajitegemee. Sasa nijitegemee kivipi wakati sina hela? Na nitatokaje wakati sina cha kujilisha huko nje.
Kwasasa nina trade forex nasubiri mambo yakae sawa nipate nauli nikimbilie kwa sisteri ambaye yuko huko Dar Es Salaam ili na mimi nikainjoi mechi kwenye kiwanja cha Mkapa (kuoshaosha macho).
Hivi kweli mzazi unamfukuza mwanao nyumbani je unataka akafie huko huko kwa njaa? Kiukweli nimeumia na nimejua hizi ni siku za mwisho upendo wa wengi umepoa.
Mimi ni mhitimu wa kozi ya Uhasibu. Nasubiri kazi ya Serikali nikunje hata 1M, kuhusu CPA nitasoma nikitulia. Kwasasa nina mawazo nashindwa hata kula.
Vizuri, Na hakufukuzi hujaelewa tu anajaribu kukwambia umekua fikiria kujitafuta na kuhama hapo kwa faida yako siku si nyingi mwenyewe utawashwa kutaka kua na kwako.Ndevu nitazipunguza ila kuhusu kuhama kiukweli itakuwa ngumu
Upo mkoani??nasubiri ushauri wako hata ikiwa kwa PM. Niokoe nipate mtaji wa Forex
Upo mkoa wa Yap? Ndio wapiNdiyo
😂😂kweli aseeeNingesoma sheria ningetafuta namna ya kupata changu kisheria. La sivyo nitapigika sana
Unamuuliza upo mkoa gani anasema yapHii thread imebid niscreensot itanisaidia kufundishia vijana wangu hapo badae,
hakika kila andiko lafaa kwa mafundisho bado wewe ni wa muhim tunakuhitaji kama mfano mbaya usiepaswa kuigwa.
Njoo tubebe tofar apa sait baadaye utapanda cheo uwe mhasib wa sait ya tofar apo utakua unapraktizi uhasibNaweza kaukia geto kwa njaa
Ww ni jitu la kutisha 😆Naona wazazi wanakunyanyasa. Njoo mwaya na begi lako la nguo
😅😅😅itakua tunachat na bhangi hapa sisi tunafikiri ni mtu kumbe tunajibiwa na moshi.Unamuuliza upo mkoa gani anasema yap
Kweli😅😅😅itakua tunachat na bhangi hapa sisi tunafikiri ni mtu kumbe tunajibiwa na moshi.
😅😅😅😅Daah mwanangu we hovyo sana, haki yako? Sasa itakusaidia nini hiyo haki? Mwisho utawaua wazee wako urithi wewe ndo unakoelekea.Sikujua utaishia kunitusi badala ya kunisaidia mawazo yakung'ang'ania haki yangu yakubaki nyumbani