Kaizer yuko Martenity leave. Alijifungua mimba ya Mussa Hassan Mgosi Jumapili. Hommie Kaizer samahani kama nimekukwaza!
Mwenye mamlaka ya kuoa ndiye anayechagua mke. Mwenye bahati ya kuolewa huteuliwa na mwenye mamlaka ya kuoa.
Have I made myself clear? Wapi chupa yangu.......?
That is very very wrong;
Kwanza unakosea kutumia neno kuoa! ni kuoana, pili hutaweza kwenda kumchagua changudoa anayejionyesha na kama ni hivyo basi hutaweza kumjua changu asiyejionyesha wala mwenye tabia mbaya aliyeficha makucha.
That makes swala la kuoa na kuolewa ni bahati pande zote mbili, this starts from religion point of view, tumeona wanawake walivyosababisha matatizo makubwa sana.
However, what makes things paradox here is that men are teasesr or initiator of the whole process, that makes him kuwa mtu wa kubahatisha zaidi kuliko mwanamke ambaye huwa mtu wa kuchagua zaidi au ku-evaluate. Ulichosema kama utakisimamia then vice versa is true.
Wanawake wengi wa kizazi cha sasa huwa waantengeneza wenyewe kuolewa au kutokuolewa, MWANAUME hata akiwa ***** vipi, lazima atamchagua msichana special wa kumweka mke wake.
issue za kuvaa vitopu na kutuonyesha vitovu na mapaja vitu ambavyo vinaleta mshtuko kwa mwanaume ni mwanzo wa utungu wa kufungua njia ya kutokuolewa, wanaume wanavifuata vile ambavyo vimeonekana hadharani wanavitumia na kuvitupa.
Hapa ndio unakuja wakati wa rafiki yake FL1 kujuta kwani siyo kuwa ni
bikra! (unikosoe). Kuwa na wasichana wenye bikra chache ni ishara tosha kuwa wanaume wanataka vitu fresh.
ukiwa UDSM kwa mfano wasichana wakiingia mwaka wa kwanza they are all innocent, mwaka wa pili wote wanabadilika na kuwa wehu, wakikaribia kumaliza wanarudi hali ya mwaka wa kwanza kuvaa ijabu na nguo za kusitiri, mwanaume gani na akili zake akajitumbukize kwa hao vinyonga?
mwanamke ambaye anajitunza ama kwa hakika huwa hawachelewi kupata waume, yes ndio wako wanawake machangu walioolewa na hapa ndipo linakuja swala la bahati kwa mwanamke na mkosi kwa mwanaume anayeoa!! au sio Crispin!!