Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 40
GT umeoa?...kwa namna swali ulivyoweka hujaoa!!! kama nimekosea niweke sawa kaka!!!.
Ndoa muhim[faida za Ndoa, watoto,kuunganisha Udugu, Tulizo la Moyo etc],
Si lazima kwani kuna watu wagonjwa...NONINO haisimami, wagonjwa wa muda mrefu. Machizi,Mataahira etc
Personally nadhani ndooa ziko overated sikuhizi na siamini eti ndoa inakuepusha na mambo mengi.
wanawake sasa hivi wengi wameamka na nadhani its better to be careful kabla hujaingizwa kwenye huu mtego wa commitment especially na wanawake ambao wako in their early 30's kwani they have this biological clock na cha ajabu ni kuwa hata choices zao zinapungua from Mr PERFECT to MR RIGHT nimeona bora niwape heads up kwenye hilo you dont wanna lose everything kama hiyo ndoa isipowork out au ukiboreka sijui nyinyi mnaonaje?
GT,
Sasa wale wanaume mabachela at 35 wafanyaje? Nao waendelee kuwa mabachela au watafute dogodogo? Nao hao akina dada at 30s na 35s ambao hawajaolewa unashauri wao wafanyeje?
Ila kweli mdada akiona umri umefika 30 na sasa 35 na hajaolewa au kupata mtoto..yaani wanaweza kufanya hata mambo ya aibu!
Ni bora wote tuwe makini!
Personally, I wish kungekuwa hakuna ndoa, watu wapendane tu bila kusign legal document ya aina yoyote. What wabongo hatutaki kuamini ni kwamba marriage ina expiry date- this is true, lakini kwa kuwa hili halipo kwenye tamaduni zetu utakuta watu wengi wanaishi tu kwa mazoea kwa kuwa eti walifunga ndoa kanisani hawawezi kuachana.
Wengi tumejikuta kwenye mtego wa ndoa kwa kuwa siku moja, hata wewe GT utakutana na kabinti, katakukoleza na utataka saa zote uwe nako, usipokaona siku moja tu unajiskia mgonjwa kabisaaaa! lakini masharti utakayopewa ndio hayo- "kama unataka tuwe wote siku zote basi nioe" na utaishia kufuata moyo wako badala ya ubongo lakini baada ya muda ukishtuka its too late, you are trapped and theres no way out for you.
mie nikiulizwa kwanini niliingia kwenye ndoa cna jibu kamili, lakini nashukuru nipo ndani.
Kila la kheri mana unaweza kuingia kwenye ndoa ikaleta furaha, faraja na baraka tele etc, na huo uwezekano ni mkubwa tu.Kwa mind set uliyojiwekea, any set back should become a challenge and not a failure. Lakini hata hivyo zipo balaa kama utaangukia katika mikono ya wasanii mana naona kama wapo wengi kidogo miaka hii.Nionavyo balaa zilizopo hazina maana ndoa hazihitajiki tena.Am thinking the same I bet.
I never expected to be married to someone. This came automatically, I had no option. Am now 31, can't wait any further. My monies without someone like her are nothing. We may differ some days to come but that's a challenge to me. Am damn ready for it.
Read my coming three books which will be out soon and see to why I had to take that decision. Kuoa si LAZIMA ila kuna wakati hutoweza kukukwepa.
Nilijisikia nahitaji kuwa na mtoto, kuwa na mwenza wa kushirikiana naye intimacy (ambazo siwezi ku-share na yeyote zaidi yake) nikaonelea vema niwe naye na tukibahatika kuwa na mtoto basi ni majaaliwa ya mwenyezi Mungu lakini muhimu kwangu ni kuwa nijitoe fully kwake naye ajitoe kwangu.
Kifupi si LAZIMA lakini MUHIMU
hehehehe umesahau si ulifanyiwa surprise ndo maana ukaingia mwenyewe hapo hapo huna jibu.
Ndoa ni ndoano then inakuwa kitanzi....kama ulikuwa mtu wa totoz inabidi uache kabisaaa kama ulikuwa mtu wa kurudi night na kujichanganya club kwa sana inabidi nako uende likizo uache kabisaaaa........dah inakuwa ngumu kwa mtu yule vitu vipo damni.
Am thinking the same I bet.
I never expected to be married to someone. This came automatically, I had no option. Am now 31, can't wait any further. My monies without someone like her are nothing. We may differ some days to come but that's a challenge to me. Am damn ready for it.
Read my coming three books which will be out soon and see to why I had to take that decision. Kuoa si LAZIMA ila kuna wakati hutoweza kukukwepa.
Nilijisikia nahitaji kuwa na mtoto, kuwa na mwenza wa kushirikiana naye intimacy (ambazo siwezi ku-share na yeyote zaidi yake) nikaonelea vema niwe naye na tukibahatika kuwa na mtoto basi ni majaaliwa ya mwenyezi Mungu lakini muhimu kwangu ni kuwa nijitoe fully kwake naye ajitoe kwangu.
Kifupi si LAZIMA lakini MUHIMU
aaaah wewe utakuwa umerogwa.....akikukoleza akataka umuoe kula kona wapo wengi.......hamna haja ya kuoana si mzae tu yaishe malezi unawajibika nayo......Personally, I wish kungekuwa hakuna ndoa, watu wapendane tu bila kusign legal document ya aina yoyote. What wabongo hatutaki kuamini ni kwamba marriage ina expiry date- this is true, lakini kwa kuwa hili halipo kwenye tamaduni zetu utakuta watu wengi wanaishi tu kwa mazoea kwa kuwa eti walifunga ndoa kanisani hawawezi kuachana.
Wengi tumejikuta kwenye mtego wa ndoa kwa kuwa siku moja, hata wewe GT utakutana na kabinti, katakukoleza na utataka saa zote uwe nako, usipokaona siku moja tu unajiskia mgonjwa kabisaaaa! lakini masharti utakayopewa ndio hayo- "kama unataka tuwe wote siku zote basi nioe" na utaishia kufuata moyo wako badala ya ubongo lakini baada ya muda ukishtuka its too late, you are trapped and theres no way out for you.
sababu yenyewe ndio hiyo chemistry!!!!
You know how chemistry works, yaani hata ukimwona hununi, hukasiriki kwa vitu vidogo vidogo, hamgombani hovyo na kila wakati unapenda muwe pamoja. Mna story zisizoisha, kila siku mnalala saa nane za usiku mkiongea na kucheka. Soo compatible...... hapo je kuna kufikiria ndoa mara mbili? inakuja tuuu.
Lakini sina uhakika kama ndio hili haswaa lilonitia ndoani. Wengi wa wanandoa wanajikuta ndoani bila kuwa na sababu. Inatokea tu.