Kwani lazima kuoana?

Kwani lazima kuoana?

GT umeoa?...kwa namna swali ulivyoweka hujaoa!!! kama nimekosea niweke sawa kaka!!!.

Ndoa muhim[faida za Ndoa, watoto,kuunganisha Udugu, Tulizo la Moyo etc],

Si lazima kwani kuna watu wagonjwa...NONINO haisimami, wagonjwa wa muda mrefu. Machizi,Mataahira etc

kWENYE GAZETI MOJA LA UDAKU HUWA KUA SPACE YA "KWA WALIO OLEWA AU KUOA TU"

I think this post is viceverse. endeleeni kuwepo kuwepo tu.
 
na ni kweli naona wengi bado wapo wapo.wangejua utamu wa ndoa,hawangeitia doa.
 
Personally nadhani ndooa ziko overated sikuhizi na siamini eti ndoa inakuepusha na mambo mengi.

wanawake sasa hivi wengi wameamka na nadhani its better to be careful kabla hujaingizwa kwenye huu mtego wa commitment especially na wanawake ambao wako in their early 30's kwani they have this biological clock na cha ajabu ni kuwa hata choices zao zinapungua from Mr PERFECT to MR RIGHT nimeona bora niwape heads up kwenye hilo you dont wanna lose everything kama hiyo ndoa isipowork out au ukiboreka sijui nyinyi mnaonaje?


Jamani msingi wa ndoa ni UPENDO. Na upendo haushindwi na kitu: yawe mtatizo, magumu, majukumu, nk. Upendo HUSHINDA YOTE. Ukimpenda mume/mke wako utampokea kama alivyo: mema yake na mapungufu yake. Utamvumilia!

Wengi naona shida inakuja pale yanapojitokeza matatizo. Wanataka kukimbia responsibility. Lazima kukabili shida za maisha. Hakuna maisha marahisi mtu asikudanganye! Na hakuna kizuri kisicho na gharama. Ndoa ni kitu kizuri bana. Unakuwa na wako wa kuishi naye maisha yako yote katika shida na raha. Wa aina hii utampata kwenye ndoa tu! Nje ya hapo unajidanganya tu.

Kumbe nakubaliana kuwa kuoa/kuolewa ni UAMUZI wa mtu. Lakini ukiona hutaki kuoa basi usifanye ngono kwani tendo hilo lina-entail upendo wa kindoa. Uishi useja.
 
Most important, marry your best friend. Will be much easy to handle hard situations together. A best friend as someone you can talk with, about anything without getting bored with them at some point in your marriage. Or kuboana kupo but, you two should be able to retrieve the situation before it worsens.

To make a long story short, marry your BFF.
 
GT,

Sasa wale wanaume mabachela at 35 wafanyaje? Nao waendelee kuwa mabachela au watafute dogodogo? Nao hao akina dada at 30s na 35s ambao hawajaolewa unashauri wao wafanyeje?

Ila kweli mdada akiona umri umefika 30 na sasa 35 na hajaolewa au kupata mtoto..yaani wanaweza kufanya hata mambo ya aibu!

Ni bora wote tuwe makini!

Not all women are being pushed to marriage by the ticking of the biological clock. It's true though, most, don't think about it well and through before they get into it, and then they suffer psychologically when things start turning differently from what they've excepted because they rushed into it. Worse thing ni kuumia na kukaa kimya. Unaweza kufa kabla ya siku.
 
Personally, I wish kungekuwa hakuna ndoa, watu wapendane tu bila kusign legal document ya aina yoyote. What wabongo hatutaki kuamini ni kwamba marriage ina expiry date- this is true, lakini kwa kuwa hili halipo kwenye tamaduni zetu utakuta watu wengi wanaishi tu kwa mazoea kwa kuwa eti walifunga ndoa kanisani hawawezi kuachana.
Wengi tumejikuta kwenye mtego wa ndoa kwa kuwa siku moja, hata wewe GT utakutana na kabinti, katakukoleza na utataka saa zote uwe nako, usipokaona siku moja tu unajiskia mgonjwa kabisaaaa! lakini masharti utakayopewa ndio hayo- "kama unataka tuwe wote siku zote basi nioe" na utaishia kufuata moyo wako badala ya ubongo lakini baada ya muda ukishtuka its too late, you are trapped and theres no way out for you.

Wewe unapaswa kuogopwa kama ukoma. Ushauri wako ni kinyume kabisa na mpango wa MUNGU wa kweli wa kumuumba mwanamume na mwanamke. MUNGU anachukia kuachana Malaki 2:16:

For the Lord, the God of Israel, says: I hate divorce and marital separation and him who covers his garment [his wife] with violence. Therefore keep a watch upon your spirit [that it may be controlled by My Spirit], that you deal not treacherously and faithlessly [with your marriage mate].
 
mie nikiulizwa kwanini niliingia kwenye ndoa cna jibu kamili, lakini nashukuru nipo ndani.
 
Mama Lwakatare anakwambia, if you can get free milk why keep a cow
 
Ndoa ni ndoano then inakuwa kitanzi....kama ulikuwa mtu wa totoz inabidi uache kabisaaa kama ulikuwa mtu wa kurudi night na kujichanganya club kwa sana inabidi nako uende likizo uache kabisaaaa........dah inakuwa ngumu kwa mtu yule vitu vipo damni.
 
mie nikiulizwa kwanini niliingia kwenye ndoa cna jibu kamili, lakini nashukuru nipo ndani.

hehehehe umesahau si ulifanyiwa surprise ndo maana ukaingia mwenyewe hapo hapo huna jibu.
 
Am thinking the same I bet.

I never expected to be married to someone. This came automatically, I had no option. Am now 31, can't wait any further. My monies without someone like her are nothing. We may differ some days to come but that's a challenge to me. Am damn ready for it.

Read my coming three books which will be out soon and see to why I had to take that decision. Kuoa si LAZIMA ila kuna wakati hutoweza kukukwepa.

Nilijisikia nahitaji kuwa na mtoto, kuwa na mwenza wa kushirikiana naye intimacy (ambazo siwezi ku-share na yeyote zaidi yake) nikaonelea vema niwe naye na tukibahatika kuwa na mtoto basi ni majaaliwa ya mwenyezi Mungu lakini muhimu kwangu ni kuwa nijitoe fully kwake naye ajitoe kwangu.

Kifupi si LAZIMA lakini MUHIMU
Kila la kheri mana unaweza kuingia kwenye ndoa ikaleta furaha, faraja na baraka tele etc, na huo uwezekano ni mkubwa tu.Kwa mind set uliyojiwekea, any set back should become a challenge and not a failure. Lakini hata hivyo zipo balaa kama utaangukia katika mikono ya wasanii mana naona kama wapo wengi kidogo miaka hii.Nionavyo balaa zilizopo hazina maana ndoa hazihitajiki tena.
 
Ndoa ni ndoano then inakuwa kitanzi....kama ulikuwa mtu wa totoz inabidi uache kabisaaa kama ulikuwa mtu wa kurudi night na kujichanganya club kwa sana inabidi nako uende likizo uache kabisaaaa........dah inakuwa ngumu kwa mtu yule vitu vipo damni.


sio zote Fidel, mie mbona nikijickia kwenda club nasema na hapo ndio nitamckiliza yeye kama atakubali niende au zile twende pa1, au we nenda tu usichelewe kurudi( ndio mambo ya kuomba ruhusa) hapo kwa warembo mseto ooh yeah unatakiwa utulie kabisa, kuna wakati jamani tunatakiwa tumeane nafac ya mtu kufanya mambo yake lakni yasiende kinyume.
 
Am thinking the same I bet.

I never expected to be married to someone. This came automatically, I had no option. Am now 31, can't wait any further. My monies without someone like her are nothing. We may differ some days to come but that's a challenge to me. Am damn ready for it.

Read my coming three books which will be out soon and see to why I had to take that decision. Kuoa si LAZIMA ila kuna wakati hutoweza kukukwepa.

Nilijisikia nahitaji kuwa na mtoto, kuwa na mwenza wa kushirikiana naye intimacy (ambazo siwezi ku-share na yeyote zaidi yake) nikaonelea vema niwe naye na tukibahatika kuwa na mtoto basi ni majaaliwa ya mwenyezi Mungu lakini muhimu kwangu ni kuwa nijitoe fully kwake naye ajitoe kwangu.

Kifupi si LAZIMA lakini MUHIMU

Ahsante sana Maxence kwa yote uliyoyaandika na hasa sentensi yako ya mwisho kuhusu ndoa.
 
Personally, I wish kungekuwa hakuna ndoa, watu wapendane tu bila kusign legal document ya aina yoyote. What wabongo hatutaki kuamini ni kwamba marriage ina expiry date- this is true, lakini kwa kuwa hili halipo kwenye tamaduni zetu utakuta watu wengi wanaishi tu kwa mazoea kwa kuwa eti walifunga ndoa kanisani hawawezi kuachana.
Wengi tumejikuta kwenye mtego wa ndoa kwa kuwa siku moja, hata wewe GT utakutana na kabinti, katakukoleza na utataka saa zote uwe nako, usipokaona siku moja tu unajiskia mgonjwa kabisaaaa! lakini masharti utakayopewa ndio hayo- "kama unataka tuwe wote siku zote basi nioe" na utaishia kufuata moyo wako badala ya ubongo lakini baada ya muda ukishtuka its too late, you are trapped and theres no way out for you.
aaaah wewe utakuwa umerogwa.....akikukoleza akataka umuoe kula kona wapo wengi.......hamna haja ya kuoana si mzae tu yaishe malezi unawajibika nayo......
 
sababu yenyewe ndio hiyo chemistry!!!!

You know how chemistry works, yaani hata ukimwona hununi, hukasiriki kwa vitu vidogo vidogo, hamgombani hovyo na kila wakati unapenda muwe pamoja. Mna story zisizoisha, kila siku mnalala saa nane za usiku mkiongea na kucheka. Soo compatible...... hapo je kuna kufikiria ndoa mara mbili? inakuja tuuu.

Lakini sina uhakika kama ndio hili haswaa lilonitia ndoani. Wengi wa wanandoa wanajikuta ndoani bila kuwa na sababu. Inatokea tu.

Ulijuaje? hasa la kulala usiku wa manane- wakati mwingine karibia na asubuhi kabisa! yaani husikii uchovu! jamani hii chemistry!!!
 
Nina umri miaka 28, sijaoa. Rafiki zangu kadhaa wameoa, mmoja katimiza mwaka last month tulifanya anniversary yao. Ajabu ni kuwa mkewe amekuwa akinizoea sana mazoea yasiyofaa kwa mke wa mtu. Hivi karibuni nilivyoona amezidi nikaona nikidhi haja yake, katika sehemu na muda aliopanga mwenyewe. Nilishangaa sana! Baada ya kitendo kile akawa ananiuliza "wewe unafanyaje inakuwa tamu hivi jamani! Mfundishe basi rafiki yako, unajua mimi sipendi tabia tuliyofanya lakini basi tu!"

Nilichoshangaa ni kuwa, hii ni akili ya vipi? Yaani anadhani naweza kumfundisha mumewe hiko kitu! Na cha ajabu basi, mimi si kwamba ni mjuzi sana wa hiyo habari.

Naogopa kuoa!
 
We uko na jamii ya bazazi yaani unamfisadi mke wa rafiki yako.!
acha mara moja hiyo tabia. Mtenda hututendwa.!
 
wewe nawe ni muhuni ni vyema usioe maana what goes aroung come around
 
Back
Top Bottom