Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 40
GT umeoa?...kwa namna swali ulivyoweka hujaoa!!! kama nimekosea niweke sawa kaka!!!.
Ndoa muhim[faida za Ndoa, watoto,kuunganisha Udugu, Tulizo la Moyo etc],
Si lazima kwani kuna watu wagonjwa...NONINO haisimami, wagonjwa wa muda mrefu. Machizi,Mataahira etc
kWENYE GAZETI MOJA LA UDAKU HUWA KUA SPACE YA "KWA WALIO OLEWA AU KUOA TU"
I think this post is viceverse. endeleeni kuwepo kuwepo tu.