yategemea...kuna wengine wanafuata mila za kidini...mfano wachaga wengi ambao ni Waislam hutumia mila ya kiislam...Hata sh. 100 unaolewa nayo au ahadi yeyote au zawadi
Usiombe uoe uchagani au umasaini...utajuta kuzaliwa
Kwa gharama ya maisha haya ya sasa hivi ukioa mchaga wa mjini jiandae kutokwa na kitita kama cha milioni 3 kwenda juu...
Mimi pia ni mfano hai....yamenikuta haya ya mahali kubwa nilipoenda kutoa posa kwa mchumba wangu na kukubaliwa..mambo yalikuwa hivi
1.Mahali-2000, 000/=
2.Ng'ombe watatu
3.Mkaja wa mama
4.Mashemeji-300000/=
5.Mbuzi wawili, ,mmoja kwa mjomba na mwingine shangazi
6.Kreti tatu za bia na tatu za soda
7.Blanketi mbili za babu na vitenge viwili vya bibi
8.Mikungu miwili ya ndizi
Majibu yalipoletwa na mshenga wangu nlichoka hoi....
wapare ni ng'ombe nne mahari na dume la tano la mjomba mtu kama binti amefundwa coz mjomba ndo anagharamia garama zote za binti kufundwa enzi hizo,mbuzi tatu za mama mtu,pimbe ya wazee ,sukari ya wamama, blanket la bibi mtu, jembe na shoka, baada ya hayo yote ukishaoa ukakaa na mkeo una tafuta siku unaleta mbuzi jike hapo ndo umekombos mkeo mazima hata ukimuacha lazima arudishe huyo mbuzi laa sivyo hata akiolewa akazaa ni mkeo na anayehitaji kumuoa lazima akurudishie hizo mahari zote. swali lingine kuhusu mahari za kipare uliza
Usiombe uoe uchagani au umasaini...utajuta kuzaliwa
Kwa gharama ya maisha haya ya sasa hivi ukioa mchaga wa mjini jiandae kutokwa na kitita kama cha milioni 3 kwenda juu...
Nashukuru kwa maada murua kabisa. Kwetu ni ng'ombe watatu mmojawapo akiwa ni dume, blanket, kitenge na vihela kidogo wanaita 'unyago'. Lakini najiuliza mahari hasa ni nini? ina maana gani? na kwa nini itolewe. Mimi ni mkristo, katika maandiko inaelezwa katika kitabu cha Mwanzo (Biblia) 2.24 "Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" sasa nashangaa kusikia habari ya mahari wakati anayetakiwa kuondoka ni mwanamume na si mwanamke!
yaani hawa wanaume hawa wanatudhulumugi kwa njia nyingiii mmhhh
Mimi pia ni mfano hai....yamenikuta haya ya mahali kubwa nilipoenda kutoa posa kwa mchumba wangu na kukubaliwa..mambo yalikuwa hivi
1.Mahali-2000, 000/=
2.Ng'ombe watatu
3.Mkaja wa mama
4.Mashemeji-300000/=
5.Mbuzi wawili, ,mmoja kwa mjomba na mwingine shangazi
6.Kreti tatu za bia na tatu za soda
7.Blanketi mbili za babu na vitenge viwili vya bibi
8.Mikungu miwili ya ndizi
Majibu yalipoletwa na mshenga wangu nlichoka hoi....
Viol kikubwa mpatie binti mimba tuu..utampewa kwa mahari ndogo kama hawataki watabaki na huyu bint plus mimba
Kumbe millioni 3 tu??
Hiyo mahari uliyotaja wala hujakosea. Ila ka vile ng'ombe na mbuzi hawaletwi physically inabakia tamaa ya familia tu hapo. Kama ni watu wastaarabu unaweza kudaiwa sh elfu 50 jumla kwa maana ya ng'ombe mmoja tsh 7000 na mbuzi 3000. Na hizo hela sijui kirongoria mwana zikawa buku buku. Mbuzi ya mjomba, vitenge vya shangazi na blanket ndio vinakuwa physical.
Hivi ni mzazi gani saa hizi atadai mahari milioni moja? Labda kama mwanae ni kylinn na anaolewa na reggie.