Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Sina uhakika kwa waumini wa Uislam, lakini kwa walio Wakristo wengi hufuata namna imani zao za kikabila zinavyoelekeza...
Ni mwendo wa kuchojolewa hela hadi ukija kuoa adabu unakuwa umeipata...
Ni mwendo wa kuchojolewa hela hadi ukija kuoa adabu unakuwa umeipata...
yategemea...kuna wengine wanafuata mila za kidini...mfano wachaga wengi ambao ni Waislam hutumia mila ya kiislam...Hata sh. 100 unaolewa nayo au ahadi yeyote au zawadi