Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

Okay

Endeleeni tu kushiriki lakini mjue kamwe hamtoshinda chochote cha maana kama hakuna kitachobadilika.
 
Okay

Endeleeni tu kushiriki lakini mjue kamwe hamtoshinda chochote cha maana kama hakuna kitachobadilika.
Ushindi sio lazma kukalia kiti ata kufuta ujinga miongoni mwetun ushindi mkubwa. Tunarud kwenye chademanimsingi mtu kwa mtu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]zaid2025
Transformation is a process n have a price
 
Ushindi sio lazma kukalia kiti ata kufuta ujinga miongoni mwetun ushindi mkubwa. Tunarud kwenye chademanimsingi mtu kwa mtu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]zaid2025
Transformation is a process n have a price
Alright.

All the best.
 
Kwa kweli kuhusu ushujaa wa ass-whoopin nawaachia wanaoweza! I don't wanna die easily!😂
 
Sawa.

Wafanye tu vyovyote vile wanavyotaka.

I don’t care no more.
Hahaha, wanakera sana. Ubishi ule ule, ikishuka nyundo wanalialia wiki moja mbili then maisha yanaendelea na kuanza kujipa matumaini upya.
 
Yeah, tayari e my name.

What’s the what?
Nilikuwa na shida hata ya kijikazi cha ndani huko US nko tayari niachane na huu ualimu wa chemistry my kaka
bongo nadhani hapatokalika kushinda ilivyokuwa
 
Okay

Endeleeni tu kushiriki lakini mjue kamwe hamtoshinda chochote cha maana kama hakuna kitachobadilika.
Mimi naona wagome kushiriki 2025, 2030, 2035, 2040 halafu possibly mwaka 2045 huku ccm watakumbuka, ACT na CHADEMA waligoma kushiriki uchaguzi mwaka 2025 Kwasababu hakuna Tume huru ya Uchaguzi, tuiweke ili waje tushiriki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umewapa za uso kweli kweli. Tunasubiri mabeberu waje kuwasaidia kuandamana.
 
Sina pakusema kilichomo moyoni kwangu mana naona jamiiforums inanibania kila nikileta uzi wangu unawekwa pembeni sijui shida nini huu ni ujinga.
 
Wangegoma huu uchafu uliofanyika usingekuwa exposed.
 
Wangegoma huu uchafu uliofanyika usingekuwa exposed.
Kwani kuna nini jipya ambalo lilikuwa halijulikani?

Tatizo lenu nyie ni we peso was kusahau!

2010 Slaa alilalamika kuibiwa kura.

2015 Lowassa naye hivyo hivyo.

Mlivyo wepesi kusahau, ikifika 2025 mtakuwa mshasahau haya ya 2020, mtaingia kwenye uchaguzi na mtaishia kupigwa tena na mtalia kama mliavyo hivi sasa!
 
Wewe ndiye utakuwa msahaukifu. Yakiyitokea 2010 na 2015 ni wizi wa kura.

Safari hii kura hazijaibiwa Bali wamejitangazia matokeo kama wanavyotaka.
 
Kugomea kunatakiwa kuwe sustained.

Mambo ya kisiasa huwa hayana matokeo ya papo kwa papo.

Hata makaburu wa Afrika Kusini walipotengwa na jumuia ya kimataifa, hawakuacha ubaguzi wao siku ya kwanza.
Kugoma bila support ya wananchi haisadii kitu.

Wanaopaswa kugoma ni wananchi na sio viongozi wa upinzani.
 
kugoma bila support ya wananchi haisadii kitu.

Wanaopaswa kugoma ni wananchi na sio viongozi wa upinzani.
Uongozi ni muhimu.

Wananchi hawawezi tu kujigomea wao bila ya kuwa na uongozi.

Movements za mabadiliko duniani kote huwa zina uongozi.
 
Uongozi ni muhimu.

Wananchi hawawezi tu kujigomea wao bila ya kuwa na uongozi.

Movements za mabadiliko duniani kote huwa zina uongozi.
Ndio na hao viongozi sio lazima wawe viongozi/wagombea wa upinzani.

Hapa hadi maisha yatupige vizuri ndio tutaelewa.Leo viongozi waupinzani wakigoma watu watapiga kura kama kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…