Na CCM wao wakipata ushindi hela wanampelekea bibi yako....pumbaf sanaHivi ni vyama vya waganga njaa, hawapiganii values. Wanatafuta ruzuku. Wakigoma hawapati ruzuku, ndio maana wanajitutumua angalau wapate chochote kitu.
Halafu siasa zina mambo mengi. Watawala watatafuta namna ya kujenga uhalali.Kugomea ku atakuwa jiwe sustained.
Mambo ya kisiasa huwa hayana matokeo ya papo kwa papo.
Hata makaburu wa Afrika Kusini walipotengwa na jumuia ya kimataifa, hawakuacha ubaguzi wao siku ya kwanza.
Nawe hujielewi, tunajadili free and fair elction, wewe unaleta habari ya kusimamisha wagombea majimbo yote, kwani wakisimamisha ndio uchaguzi utakuwa huru?Kweli kabisa, lakini sometimes we have to learn in hard way. Mashabiki maandazi labda watapungua turudi kujadili mustakabali wa Taifa letu bila mihemuko.
Upinzani hadi sasa wanashindwa kusimamisha wagombea majimbo yote, hili nani alaumiwe? Just a simple case, lazima tufahamu haitokuja siku CCM watawapa fair platform.
Kelele za JF na Tweeter huwadanganya sana kama vile zitageuka kura. Baada ya uchaguzi huu, kama wataingia tena awamu ijayo na mguu ule ule kama walivyopuuza maoni yetu baada ya zile blunders za 2015 watakula kisago kile kile.
I hate CCM
Hilo mbona linajulikana toka 1995!Kushiriki kwao kumethibitisha hakuna tume kabisa achilia mbali the question of whether ni huru au la.
We mfia slaa tangu babu yako ahamie ccm umekuwa na chuki Kali dhidi upinzani huoni hata aibu kupindisha ukweli dhidi ya cdm Sababu ya babu yako!Hujui usemalo...
Mbona wew mboro hujawahi kugomea? Tuanzie hapo.Hilo mbona linajulikana toka 1995!
Ndugu, nani kasema mjadiliane nae? In short upinzani wenyewe from within wana matatizo makubwa kabla hata hawajafikiria kuifurumusha CCM.Hiki ulichoandika hapa kinaonyesha jinsi ulivyo ZERO BRAIN. Unajadili vipi mustakabali wa Taifa na dikteta asiyetaka mawazo mbadala wala kushauriwa na kishasema hadharani yeye hashauriki!?[emoji15]
But he is pretending to be very smart!.We mfia slaa tangu babu yako ahamie ccm umekuwa na chuki Kali dhidi upinzani huoni hata aibu kupindisha ukweli dhidi ya cdm Sababu ya babu yako!
Sikia wewe, hakuna atayekuja kukupa hiyo free and fair election! NEVER! mnamdai nani free and fair election? CCM?Nawe hujielewi, tunajadili free and fair elction, wewe unaleta habari ya kusimamisha wagombea majimbo yote, kwani wakisimamisha ndio uchaguzi utakuwa huru?
Unaweza vipi kujadili mustakabali wa taifa kwa kichwa kibovu hivyo?! ukongwe wenu huku jf sometime ni bure kabisa, mnajidai tu.
This time wapinzani wamejitahidi kusimamisha wagombea sehemu kubwa sana ya nchi, matokeo yake wamepunguzwa kwa mapingamizi feki, na kura feki, sijui unaishi dunia gani!
Na kama unaona wapinzani hawawezi kupewa fair platform, then unataka tujadili nini?!
Hapa napo kuna uhusiano gani na kura feki zilizokamatwa kila mahali?!Ndugu, nani kasema mjadiliane nae? In short upinzani wenyewe from within wana matatizo makubwa kabla hata hawajafikiria kuifurumusha CCM.
Kama mpaka uchaguzi huu bado hamjajifunza basi labda tusubiri kizazi kingine cha upinzani. Mnaposhauriwa mnajibu kwa matusi, mnataka mapambio tu na tuitukane CCM tu ndio muone tupo pamoja?
Mliingia mkenge kwa Lowasa,hamkujifunza bado mkaanza kushangilia mifarakano ya akina Nape, Makamba na baadae mkaletewa Membe kabisa. Mfumo wa siasa huu wa kudandia ovyo kila tukio sio ulioikuza Chadema tokea enzi za akina Bob Makani! Mbowe anapaswa kuachia ngazi damu mpya ziijenge upya Chadema na kuachana na kudandia siasa za CCM.
Hizi ndio akili zenu! Bila mabadiliko Chadema from within msitegemee lolote huku nje. Ukitaka baki na ushabiki wako ila hutoona mabadiliko.But he is pretending to be very smart!.
Then solution yenu ndio mnataka wapinzani wagome kila mwaka wa uchaguzi?!Sikia wewe, hakuna atayekuja kukupa hiyo free and fair election! NEVER! mnamdai nani free and fair election? CCM?
Hilo mbona linajulikana toka 1995!
Unaambiwa ukweli wacha kujiliza!Hizi ndio akili zenu! Bila mabadiliko Chadema from within msitegemee lolote huku nje. Ukitaka baki na ushabiki wako ila hutoona mabadiliko.
Kwahiyo huwezi hata kukemea mauaji yanayofanywa na CCM huko Zanzibar hata kwasababu za kibinadamu tu kwakuwa wapinzani wana migogoro ?Hizi ndio akili zenu! Bila mabadiliko Chadema from within msitegemee lolote huku nje. Ukitaka baki na ushabiki wako ila hutoona mabadiliko.
Anasumbuliwa na Enterobius Vermicularis huyo mzee. Kisa ni platinum member basi anajikuta ameshakuwa lodi lofa kumbe mpuuzi mmoja tu ambaye ana hoja za kipuuzi kabisa.Wewe nimekuuliza asubuhi ukakimbia, now nakuuliza tena;
Kama unaona kugoma ndio solution, mbona Seif aligoma Znz maisha yakaendelea? na mbona wapinzani waligoma S/M last year mambo yakaendelea?
Huoni huo utetezi wako ni wa kitoto, unataka wagome kila mwaka wa uchaguzi mwisho wake uwe nini?
Wewe unaejidai mpenda demokrasia umetoa mchango gani kwenye hili?au ndio unashikilia hoja moja tu; WAGOME, kitu kilichokuwa proved wrong over and over again!
Ningekuona wa maana kama atlist ungekuwa na idea tofauti ya kutafuta Katiba Mpya, unavyoendelea kushikilia wagome we ni kilaza tu.