cyrustheemperor
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 293
- 354
Mambo mengine mpaka nahisi ni makubwa kuliko akili zenu. Hivi uchaguzi gani ambao hakukuwa na matukio ya kura feki? Mmesahau? Au kwavile zama hizi mitandao imetawala ndio mnafikiri this time ni too much [emoji41].Hapa napo kuna uhusiano gani na kura feki zilizokamatwa kila mahali?!
Unazumgumzia matatizo ya upinzani "from within" hayo ndio yameaababisha kura feki?!
Unajaribu ku justify uhuni uliofanywa na Tume na CCM kwa kurudisha lawama zako kwa upinzani, this one from you is fake also.
Bila kushiriki uchaguzi huu ingekuwa vigumu sana kuuaminisha ulimwengu kuwa Tanzania hakuna demokrasia. Katika hali ya udikteta ulivyo Tanzania, wananchi wanahitaji msaada wa kimataifa ili kujikwamua hapa tulipo, peke yetu hatuwezi kabisa kupata demokrasia ya kweli.Swali kwa wapinzani.
Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?
Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?
Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.
Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.
Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.
Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.
Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.
Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.
Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?
Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.
La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.
Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.
Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.
Bure kabisa.
Mkuu, posho imetoka?Swali kwa wapinzani.
Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?
Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?
Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.
Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.
Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.
Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.
Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.
Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.
Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?
Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.
La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.
Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.
Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.
Bure kabisa.
Kinachonichosha ni yeye kuhudhuria ibada na kunyenyekea huku matendo yakiwa tofauti, nadhani Africa unafiki na roho mbaya ni janga letu licha ya kujaa nyumba za ibada, nimeishi na watu hawajui milango ya makanisa Ila Wana utu na upendo Hadi nikaona waenda ibadani ndio mashetani wenyeweMagufuli ana roho mbaya sijapata kuona. Walimwita JK dhaifu. Kweli Magufuli sasa atakuwa Rais wa maisha ila wananchi wajiandae kulia.
Shida sio kuingia barabarani bali shida ni virungu vya ugoko na risasi za moto 😂😂😂! Consequences zinazoambatana na hayo maandamano ndio shida kubwa na hii inazalisha hofu miongonia mwa raia kiasi kwamba huwezi thubutu kuingia front.Ushauri wako wa kwenye keyboard ni tofauti kabisa na hali halisi. Hata huyu diktekta uchwara alikuwa ame-set mambo ili wapinzani wagomee. Alishaandaa na wapinzani bandia ili washiriki kwenye uchaguzi wa bandia na wapewe viti vichache. Hali ilikuja badilika pale alipokuja Lissu na kubadilisha upepo hivyo ikabidi technics zibadilike. Kuhusu upinzani umepata nini kwa kushiriki uchaguzi well mimi nadhani watanzania wote na Magufuli mwenyewe wamejua hali halisi ya wananchi wanaionaje serikali ya Magufuli. Nadhani hata Magufuli mwenyewe ameshangaa jinsi alivyokataliwa pamoja na kudhani anapendwa sana. Kwa kifupi hisia za wananchi zimejionyesha hadharani. Hii inaweza kutumia kama foundation ya kudai tume huru japo kwa namna navyowajua watanzania walivyo waoga kuwa-convince waingie barabarani ni ngumu mno.
Mkuu huwa una chuki na upinzani kisa lowasa unasahau hata mstakabali wa taifa lako kwa situation ilivo unaweza laumu upinzani kweli, sie tulioenda kupiga kura Jana tulijionea upumbavu wakiwango Cha lami kiasi hata hao wapinzani unaowasema ungebadili kauli yako. Tutetee masilahi ya nchi yetu na sio kulaumu kitu ambacho upinzani hawawezi badiliNdugu, nani kasema mjadiliane nae? In short upinzani wenyewe from within wana matatizo makubwa kabla hata hawajafikiria kuifurumusha CCM.
Kama mpaka uchaguzi huu bado hamjajifunza basi labda tusubiri kizazi kingine cha upinzani. Mnaposhauriwa mnajibu kwa matusi, mnataka mapambio tu na tuitukane CCM tu ndio muone tupo pamoja?
Mliingia mkenge kwa Lowasa,hamkujifunza bado mkaanza kushangilia mifarakano ya akina Nape, Makamba na baadae mkaletewa Membe kabisa. Mfumo wa siasa huu wa kudandia ovyo kila tukio sio ulioikuza Chadema tokea enzi za akina Bob Makani! Mbowe anapaswa kuachia ngazi damu mpya ziijenge upya Chadema na kuachana na kudandia siasa za CCM.
2015 ilikuwa hivi hivi.True but 1995 unamskia Lyatonga analalamika kuibiwa tu na ITV filtered news.
In 2020 unaona live kwenye social media askari na bags za kura feki.
Even a doubting Thomas now believes.
Kuna viumbe wanasikitisha Sana hoja zao mfu aisee, that's why ka taifa umaskini hauiishiHapa napo kuna uhusiano gani na kura feki zilizokamatwa kila mahali?!
Unazumgumzia matatizo ya upinzani "from within" hayo ndio yamesababisha kura feki?!
Unajaribu ku justify uhuni uliofanywa na Tume na CCM kwa kurudisha lawama zako kwa upinzani, this one from you is fake also.
Hapana!Bila kushiriki uchaguzi huu ingekuwa vigumu sana kuuaminisha ulimwengu kuwa Tanzania hakuna demokrasia. Katika hali ya udikteta ulivyo Tanzania, wananchi wanahitaji msaada wa kimataifa ili kujikwamua hapa tulipo, peke yetu hatuwezi kabisa kupata demokrasia ya kweli.
Hivyo tuvipongeze vyama vya upinzani kwa kushiriki uchaguzi huu. Sasa ni wakati wa kuomba msaada kwa kutoka nchi na jumuia za kimataifa kwa sababu kuna ushahidi wa kutosha wa dhuluma iliyofanywa na serikali hii kwa wananchi wake.
CDM Ina matatizo vipi act wazalendo na uhuni waliofanyiwa?Mambo mengine mpaka nahisi ni makubwa kuliko akili zenu. Hivi uchaguzi gani ambao hakukuwa na matukio ya kura feki? Mmesahau? Au kwavile zama hizi mitandao imetawala ndio mnafikiri this time ni too much [emoji41].
Tunashauri Chadema ina matatizo from within na hilo pekee linadhoofisha nguvu ya uwezo wa chama kupambana na hujuma kama hizo. Bila determinant leadership hamuwezi hata kuwa na ajenda mtayoisimamia kikamilifu kuwafikisha mnapotaka ikiwemo tume huru ya uchaguzi.
Huu uchaguzi shujaa ni Tundu Lissu, with disorganised party ameweza walau kutoa ushindani ktk mazingira magumu sana. Lazima Chadema wakae chini na wazee, wanachama wajipange upya ikiwemo kuvunja uongozi wote na kupanga safu upya na Lissu apewe uenyekiti kamili.
Sawa.Naona unatetea majambazi wa ccm..
Wangegomea uchaguzi ili iweje?.
Swali kwanini ccm waibe kuraa?.
Kwanini unawashambulia upinzani kosa lao nini?.
Au ndo mahaba niue?
[emoji23][emoji23][emoji23]kirungu Cha ugoko noma sanaShida sio kuingia barabarani bali shida ni virungu vya ugoko na risasi za moto [emoji23][emoji23][emoji23]! Consequences zinazoambatana na hayo maandamano ndio shida kubwa na hii inazalisha hofu miongonia mwa raia kiasi kwamba huwezi thubutu kuingia front.
Ingelikuwa maandamano yanaheshimiwa nchi hii hata muafaka wa katiba mpya ungelikuwa ushaafikiwa siku nyingi.
Ndugu, nani kasema mjadiliane nae? In short upinzani wenyewe from within wana matatizo makubwa kabla hata hawajafikiria kuifurumusha CCM.
Kama mpaka uchaguzi huu bado hamjajifunza basi labda tusubiri kizazi kingine cha upinzani. Mnaposhauriwa mnajibu kwa matusi, mnataka mapambio tu na tuitukane CCM tu ndio muone tupo pamoja?
Mliingia mkenge kwa Lowasa,hamkujifunza bado mkaanza kushangilia mifarakano ya akina Nape, Makamba na baadae mkaletewa Membe kabisa. Mfumo wa siasa huu wa kudandia ovyo kila tukio sio ulioikuza Chadema tokea enzi za akina Bob Makani! Mbowe anapaswa kuachia ngazi damu mpya ziijenge upya Chadema na kuachana na kudandia siasa za CCM.
Kuna mtu kasema hapo juu eti bila upinzani kushiriki uchaguzi huu basi eti ingekuwa ni vigumu kuiaminisha dunia kuwa kuna figisu kwenye chaguzi zetu!Mambo mengine mpaka nahisi ni makubwa kuliko akili zenu. Hivi uchaguzi gani ambao hakukuwa na matukio ya kura feki? Mmesahau? Au kwavile zama hizi mitandao imetawala ndio mnafikiri this time ni too much [emoji41].
Tunashauri Chadema ina matatizo from within na hilo pekee linadhoofisha nguvu ya uwezo wa chama kupambana na hujuma kama hizo. Bila determinant leadership hamuwezi hata kuwa na ajenda mtayoisimamia kikamilifu kuwafikisha mnapotaka ikiwemo tume huru ya uchaguzi.
Huu uchaguzi shujaa ni Tundu Lissu, with disorganised party ameweza walau kutoa ushindani ktk mazingira magumu sana. Lazima Chadema wakae chini na wazee, wanachama wajipange upya ikiwemo kuvunja uongozi wote na kupanga safu upya na Lissu apewe uenyekiti kamili.
Hapana mkuu sina chuki na Lowasa. Ila hayo yote si mapya kwenye chaguzi zetu. Hivi kweli unategemea hiyo fairness itatoka mbinguni? Anyway tuendelee kuomba CCM wawe fair [emoji41]Mkuu huwa una chuki na upinzani kisa lowasa unasahau hata mstakabali wa taifa lako kwa situation ilivo unaweza laumu upinzani kweli, sie tulioenda kupiga kura Jana tulijionea upumbavu wakiwango Cha lami kiasi hata hao wapinzani unaowasema ungebadili kauli yako. Tutetee masilahi ya nchi yetu na sio kulaumu kitu ambacho upinzani hawawezi badili