Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
I think migomo haisaidii. Haisaidii kabisa... wakae wajipange upya kimkakati. Hatakama wamechezewa foul.. lazima wajui wana counter vipi hizo mbinu.
Target yao kubwa iwe ni katiba katibaa.
 
Chama hakiwezi kua Kama kikigomea uchaguzi

Kumbuka hawajfanya siasa Miaka 5

Pamoja kuwa matokeo yamepikwa wazi wazi na kwa ubabe wa vyombo vya Dola

Ila wamesaidia kutoa elimu ya urai Hasa maeneo ya vijijini
 
Hapana!

Hakuna kilicho kipya!

Mazingira ya uchaguzi wa 2020 ndo yale yale ya 2015, 2010, 2005!

Tatizo ni usahaulifu wenu tu.
Sidhani uchafuzi wa miaka ya nyuma ulikuwa kwa kiwango hiki! Kumbuka miaka hiyo vyama vilifanya siasa wakati wote na pia wasimamizi wa uchaguzi si wote walikuwa makada wa CCM na pia hawakuteuliwa na Rais moja kwa moja bali walioteuliwa kulingana na seniority kulingana na utumishi serikalini.
Baadhi ya Wasimamizi wa sasa ambao ndiyo ma-DED hawakuwa hata watumishi katika serikali.
 
Akili za kushikiwa hizi eti upinzani una matatizo makubwa lakini matatizo ya wafanyakazi, wakulima, wafanyabiashara mabilioni yao huyaoni! Matatizo ya Katiba, Bunge, mahakama na Watanzania kudharauliwa huyaoni! Matatizo ya pesa za walipa kodi kuchotwa hazina kinyemela hadi CAGs kuandika 2.7 trillions zimepotea hazina huyaoni! Matatizo ya uchaguzi uliojaa wizi, vitisho na mauaji ya kutisha huyaoni!
Hebu tuondolee UPUMBAVU wako hapa
Boss, hapa tunajadili siasa hasa hatma ya upinzani. Chadema ni taasisi na hapa tunajadili hilo na hakuna uhusiano na mambo ya kitaifa kama uchumi, afya n.k .

Hapa tunaangalia Chadema kama taasisi na matatizo yake kama chama kikuu cha upinzani na jinsi hizo weakness zinavyochangia kukwamisha mabadiliko.

Kama unataka tuone tu makosa ya CCM hamtokuja kusaidia kushauri chama chenu ili iwe taasisi imara itayoweza kutwaa dola na kutawala kwa ufanisi.

Acheni behaviour kila mkishauriwa mnataka tulinganishe na CCM! Huo sio msingi wa chama mbadala.
 
Acha ujinga wewe! Unaangalia Chadema kama taasisi lakini unakwepa kuangalia UOZO unaoendelea Nchini kwa miaka mitano pamoja na huu uchaguzi FAKE! Akili za wapi hizi!? 😳😳😳
Boss, hapa tunajadili siasa hasa hatma ya upinzani. Chadema ni taasisi na hapa tunajadili hilo na hakuna uhusiano na mambo ya kitaifa kama uchumi, afya n.k .

Hapa tunaangalia Chadema kama taasisi na matatizo yake kama chama kikuu cha upinzani na jinsi hizo weakness zinavyochangia kukwamisha mabadiliko.

Kama unataka tuone tu makosa ya CCM hamtokuja kusaidia kushauri chama chenu ili iwe taasisi imara itayoweza kutwaa dola na kutawala kwa ufanisi.

Acheni behaviour kila mkishauriwa mnataka tulinganishe na CCM! Huo sio msingi wa chama mbadala.
 
Ruzuku tamu aisee. Hadhi ya ubunge itarejea sasa kwamba mbunge huwajibika kwa wananchi kuliko ilivyokuwa kwa kina Mbowe. Huu mweleka waliopigwa, ni darsa tosha.
 
Acha ujinga wewe! Unaangalia Chadema kama taasisi lakini unakwepa kuangalia UOZO unaoendelea Nchini kwa miaka mitano pamoja na huu uchaguzi FAKE! Akili za wapi hizi!? 😳😳😳

Sijui alikua anatakaje ? Hamna white bila Black, hakuna kuongelea Chadema bila kugusa CCM

Mimi inaniuma sana,
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
CCM siyo ya kuisusia uchaguzi bali kuitoa kwa maandamano ya amani tatizo hamna mpinzani mwenye uwezo wa kuita maandamano na watu wakaitikia wito na sababu ni moja tu.... wote ni hovyooo...kwasasa.
 
Ndugu, nani kasema mjadiliane nae? In short upinzani wenyewe from within wana matatizo makubwa kabla hata hawajafikiria kuifurumusha CCM.

Kama mpaka uchaguzi huu bado hamjajifunza basi labda tusubiri kizazi kingine cha upinzani. Mnaposhauriwa mnajibu kwa matusi, mnataka mapambio tu na tuitukane CCM tu ndio muone tupo pamoja?

Mliingia mkenge kwa Lowasa,hamkujifunza bado mkaanza kushangilia mifarakano ya akina Nape, Makamba na baadae mkaletewa Membe kabisa. Mfumo wa siasa huu wa kudandia ovyo kila tukio sio ulioikuza Chadema tokea enzi za akina Bob Makani! Mbowe anapaswa kuachia ngazi damu mpya ziijenge upya Chadema na kuachana na kudandia siasa za CCM.
Mbona uncle akitukana wanawake au akitishia mnasema binadamu lakini upinzani ndo hawatakiwi kuwa na mapungufu.
 
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
uchaguzi 2020 fungua macho ya dunia about one notorious coward dictator
 
9
Acha ujinga wewe! Unaangalia Chadema kama taasisi lakini unakwepa kuangalia UOZO unaoendelea Nchini kwa miaka mitano pamoja na huu uchaguzi FAKE! Akili za wapi hizi!? 😳😳😳
Chadema tangu lini imekuwa taasisi?. Unajua maana ya taasisi wewe?. Acha ushabiki pori usio na mashiko. Kile chama cha Mbowe full stop. Kila kitu Mbowe, pesa Mbowe, viti maalum Mbowe unataka kuropoka nini?.
 
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
Waligomea Zanzibar, jamaa wakaendelea kutawala miaka mitano bila wao. Wamegomea chaguzi za mitaa, jamaa wakachukua 100% bila hata kusita. Safari hii wangegomea, CCM wasingefanya juhudi za ziada kuwashinda wakina Lipumba, Queen n.k. na wangeweza kusema kuwa wao wanaendesha uchaguzi wa haki na uwazi. Kwa CDM na ACT WAZALENDO kushiriki watu watapata nafasi wenyewe kuamua kama uchaguzi ulikuwa wa haki na uwazi. Na unawekaji shinikizo bila ushahidi?

Amandla...
 
I think migomo haisaidii. Haisaidii kabisa... wakae wajipange upya kimkakati. Hatakama wamechezewa foul.. lazima wajui wana counter vipi hizo mbinu.
Target yao kubwa iwe ni katiba katibaa.
Sawa.

Tuombe tu uzima ili tuwe mashuhuda na 2025!
 
Sidhani uchafuzi wa miaka ya nyuma ulikuwa kwa kiwango hiki! Kumbuka miaka hiyo vyama vilifanya siasa wakati wote na pia wasimamizi wa uchaguzi si wote walikuwa makada wa CCM na pia hawakuteuliwa na Rais moja kwa moja bali walioteuliwa kulingana na seniority kulingana na utumishi serikalini.
Baadhi ya Wasimamizi wa sasa ambao ndiyo ma-DED hawakuwa hata watumishi katika serikali.
Typical prisoner of the moment!

Hata 2025 si ajabu ukasema 2020 ilikuwa na afadhali!

Oh well...
 
Shida sio kuingia barabarani bali shida ni virungu vya ugoko na risasi za moto 😂😂😂! Consequences zinazoambatana na hayo maandamano ndio shida kubwa na hii inazalisha hofu miongonia mwa raia kiasi kwamba huwezi thubutu kuingia front.

Ingelikuwa maandamano yanaheshimiwa nchi hii hata muafaka wa katiba mpya ungelikuwa ushaafikiwa siku nyingi.
Risasi za moto na virungu haziepukwi! Kwa kifipu vifo na majeraha ndiyo sucrifies ya kudai haki. Hata nchi unazoona zina maendeleo na democracy siku hizi kuna wali-sucrify ili kuleta mabadiliko. Naposema watanzania ni waoga nina maana kuogopa virungu na kuuawa! And I am afraid kusema kwamba katu kina Magufuli watakuja kukuachia kuwaachia watu waingie barabarani eti kwa amani...
 
Waligomea Zanzibar, jamaa wakaendelea kutawala miaka mitano bila wao. Wamegomea chaguzi za mitaa, jamaa wakachukua 100% bila hata kusita. Safari hii wangegomea, CCM wasingefanya juhudi za ziada kuwashinda wakina Lipumba, Queen n.k. na wangeweza kusema kuwa wao wanaendesha uchaguzi wa haki na uwazi. Kwa CDM na ACT WAZALENDO kushiriki watu watapata nafasi wenyewe kuamua kama uchaguzi ulikuwa wa haki na uwazi. Na unawekaji shinikizo bila ushahidi?

Amandla...
Haya, sawa.

Na waendelee tu kushiriki kwenye hizo charade za CCM.
 
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
Tungepungukiwa na hayo masaburi yako makubwa ya kingosha
 
Swali kwa wapinzani.

Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini?

Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini?

Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana.

Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje.

Kushiriki chaguzi za hivyo, chaguzi za kutimiza wajibu tu, ni umajinuni.

Baadhi yenu mmetaja chaguzi za serikali za mitaa mwaka jana ambapo wapinzani walizisusia.

Kwanza, chaguzi za serikali za mitaa si sawa na uchaguzi mkuu.

Pili, migomo ya kushiriki chaguzi za maigizo ni lazima iwe endelevu.

Kama mwaka jana mligoma na CCM wakajipa ushindi wote, mwaka huu mmeshiriki na mmeambulia nini zaidi ya kipigo cha mbwa?

Zigomeeni hizo chaguzi. Wekeni mashinikizo mpaka zipatikane taasisi zilizo huru za kusimamia na kuendesha chaguzi.

La sivyo, mtaendelea kutegemea hisani ya CCM kupata ushindi.

Na siku mkikutana na jitu lenye roho mbaya, hata hizo nafasi chache mnazoshindaga, mtanyimwa.

Na jinsi mlivyo na vichwa vigumu, si ajabu mkaanza ule upuuzi wenu wa twende na Shangazi 2025.

Bure kabisa.
Maalim alishagomea na maisha yakaendelea tu
 
Back
Top Bottom