Tetesi: Kwani Press ya Lema ilikuwa danganya toto?

Tetesi: Kwani Press ya Lema ilikuwa danganya toto?

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Nyie kumbe watu ni wajanja sana mjue. Sema tu nyie bado hamjastukia dili.

Zile mbwembwe zote za Lema kuita press na kuongea mambo kibao ya kumkandia Mbowe na kumuunga mkono Lissu kumbe ni sound tu? Duuuuuuh!

Kumbe bwana Lema kisirisiri anampambania Mbowe ili ashinde? Kaaaaaaaaaa!

Eti wenyewe wanajiita "wataalamu wa hizi kazi". Au ukipenda waite "Wakali wa Logistics za Siasa".

Kumbe chama hakiendi kanda ya kati Ng'ooooo hata mfanye nini. Kinabaki kaskazini hiyoooo? Doooooh!

Ule msemo Siasa ni Sayansi sasa wao ndiyo sayansi yenyewe. Kiiiiiiii kweli balaa.

Kwani tarehe 21 mbali basi. Mbona kufumba na kufumbua tu tarehe 21 hiyo. Sasa hapo ndiyo tutajua chama kinaenda Singida au kinabaki kwenye asili yake.

Ngoja tuone "Wakali wa hizi" watakavyotusapraiz hiyo tarehe 21. Hahahahahaaaaaaaaa.
 
Nyie kumbe watu ni wajanja sana mjue. Sema tu nyie bado hamjastukia dili.

Zile mbwembwe zote za Lema kuita press na kuongea mambo kibao ya kumkandia Mbowe na kumuunga mkono Lissu kumbe ni sound tu? Duuuuuuh!

Kumbe bwana Lema kisirisiri anampambania Mbowe ili ashinde? Kaaaaaaaaaa!

Eti wenyewe wanajiita "wataalamu wa hizi kazi". Au ukipenda waite "Wakali wa Logistics za Siasa".

Kumbe chama hakiendi kanda ya kati Ng'ooooo hata mfanye nini. Kinabaki kaskazini hiyoooo? Doooooh!

Ule msemo Siasa ni Sayansi sasa wao ndiyo sayansi yenyewe. Kiiiiiiii kweli balaa.

Kwani tarehe 21 mbali basi. Mbona kufumba na kufumbua tu tarehe 21 hiyo. Sasa hapo ndiyo tutajua chama kinaenda Singida au kinabaki kwenye asili yake.

Ngoja tuone "Wakali wa hizi" watakavyotusapraiz hiyo tarehe 21. Hahahahahaaaaaaaaa.
SOURCE????
 
Nyie kumbe watu ni wajanja sana mjue. Sema tu nyie bado hamjastukia dili.

Zile mbwembwe zote za Lema kuita press na kuongea mambo kibao ya kumkandia Mbowe na kumuunga mkono Lissu kumbe ni sound tu? Duuuuuuh!

Kumbe bwana Lema kisirisiri anampambania Mbowe ili ashinde? Kaaaaaaaaaa!

Eti wenyewe wanajiita "wataalamu wa hizi kazi". Au ukipenda waite "Wakali wa Logistics za Siasa".

Kumbe chama hakiendi kanda ya kati Ng'ooooo hata mfanye nini. Kinabaki kaskazini hiyoooo? Doooooh!

Ule msemo Siasa ni Sayansi sasa wao ndiyo sayansi yenyewe. Kiiiiiiii kweli balaa.

Kwani tarehe 21 mbali basi. Mbona kufumba na kufumbua tu tarehe 21 hiyo. Sasa hapo ndiyo tutajua chama kinaenda Singida au kinabaki kwenye asili yake.

Ngoja tuone "Wakali wa hizi" watakavyotusapraiz hiyo tarehe 21. Hahahahahaaaaaaaaa.
Habari ya kisiasa umeandika kama udaku, umbeya.
Tafuta utulivu wa akili kijana naona dishi limeyumba
 
Nyie kumbe watu ni wajanja sana mjue. Sema tu nyie bado hamjastukia dili.

Zile mbwembwe zote za Lema kuita press na kuongea mambo kibao ya kumkandia Mbowe na kumuunga mkono Lissu kumbe ni sound tu? Duuuuuuh!

Kumbe bwana Lema kisirisiri anampambania Mbowe ili ashinde? Kaaaaaaaaaa!

Eti wenyewe wanajiita "wataalamu wa hizi kazi". Au ukipenda waite "Wakali wa Logistics za Siasa".

Kumbe chama hakiendi kanda ya kati Ng'ooooo hata mfanye nini. Kinabaki kaskazini hiyoooo? Doooooh!

Ule msemo Siasa ni Sayansi sasa wao ndiyo sayansi yenyewe. Kiiiiiiii kweli balaa.

Kwani tarehe 21 mbali basi. Mbona kufumba na kufumbua tu tarehe 21 hiyo. Sasa hapo ndiyo tutajua chama kinaenda Singida au kinabaki kwenye asili yake.

Ngoja tuone "Wakali wa hizi" watakavyotusapraiz hiyo tarehe 21. Hahahahahaaaaaaaaa.
haina shida wabaki tu na chama chao huko kaskazini
 
Nyie kumbe watu ni wajanja sana mjue. Sema tu nyie bado hamjastukia dili.

Zile mbwembwe zote za Lema kuita press na kuongea mambo kibao ya kumkandia Mbowe na kumuunga mkono Lissu kumbe ni sound tu? Duuuuuuh!

Kumbe bwana Lema kisirisiri anampambania Mbowe ili ashinde? Kaaaaaaaaaa!

Eti wenyewe wanajiita "wataalamu wa hizi kazi". Au ukipenda waite "Wakali wa Logistics za Siasa".

Kumbe chama hakiendi kanda ya kati Ng'ooooo hata mfanye nini. Kinabaki kaskazini hiyoooo? Doooooh!

Ule msemo Siasa ni Sayansi sasa wao ndiyo sayansi yenyewe. Kiiiiiiii kweli balaa.

Kwani tarehe 21 mbali basi. Mbona kufumba na kufumbua tu tarehe 21 hiyo. Sasa hapo ndiyo tutajua chama kinaenda Singida au kinabaki kwenye asili yake.

Ngoja tuone "Wakali wa hizi" watakavyotusapraiz hiyo tarehe 21. Hahahahahaaaaaaaaa.
JF imevamiwa....ni muda wa kutafuta forum nyingine
 
Nyie kumbe watu ni wajanja sana mjue. Sema tu nyie bado hamjastukia dili.

Zile mbwembwe zote za Lema kuita press na kuongea mambo kibao ya kumkandia Mbowe na kumuunga mkono Lissu kumbe ni sound tu? Duuuuuuh!

Kumbe bwana Lema kisirisiri anampambania Mbowe ili ashinde? Kaaaaaaaaaa!

Eti wenyewe wanajiita "wataalamu wa hizi kazi". Au ukipenda waite "Wakali wa Logistics za Siasa".

Kumbe chama hakiendi kanda ya kati Ng'ooooo hata mfanye nini. Kinabaki kaskazini hiyoooo? Doooooh!

Ule msemo Siasa ni Sayansi sasa wao ndiyo sayansi yenyewe. Kiiiiiiii kweli balaa.

Kwani tarehe 21 mbali basi. Mbona kufumba na kufumbua tu tarehe 21 hiyo. Sasa hapo ndiyo tutajua chama kinaenda Singida au kinabaki kwenye asili yake.

Ngoja tuone "Wakali wa hizi" watakavyotusapraiz hiyo tarehe 21. Hahahahahaaaaaaaaa.

Kweli upumbavu ni Kipaji, ni sawa na useme una shika umeme wa 11 KV bila gloves kama unafanya utani, umeme utakukauaha!

Halafu mianaume inayoandika Kaaaaaa naidharau kweli!
 
Back
Top Bottom