Hii tamadani inayojijenga tanzania siyo nzuri kabisa. Mtu akijiandaa kwa mda mrefu kwa ajiri ya urais ataundiwa zengwe mpaka ataonekana ni jambazi.
Ninachofahamu mimi kila position huwa ina maamdalizi kwa anayetaka siyo kumlazimisha kama alivyolazimishwa jpm. Na ndo mana uongozi wake kulikuwa na maauaji mengi yaani kila anayedhani kushindana naye ama anamuua au anampoteza mazima. Hii ni effect ya kutojindaa kiuongozi.
Ndo mana mara nyingi kuna usaaili au kutuma maombi ni moja ya maamdalizi mapema.
Kwa nini tunataka kujenga culture ya mtu kuwa rais iwe zari la mentali.
Ninachofahamu mimi kila position huwa ina maamdalizi kwa anayetaka siyo kumlazimisha kama alivyolazimishwa jpm. Na ndo mana uongozi wake kulikuwa na maauaji mengi yaani kila anayedhani kushindana naye ama anamuua au anampoteza mazima. Hii ni effect ya kutojindaa kiuongozi.
Ndo mana mara nyingi kuna usaaili au kutuma maombi ni moja ya maamdalizi mapema.
Kwa nini tunataka kujenga culture ya mtu kuwa rais iwe zari la mentali.