Heheheheh hayaa mkuu mi ngoja ninyamaze kwa hii comment yako
Sawa mkuu nimekuelewa ngoja nione kwa Darlin labda pako powaWanawake hasa Mke wako anahitaji attention kuliko pesa yako. Ni Kama watoto wadogo.
Ukitoka Kazini, kaa naye, cheza naye, piga naye Stori, Kama unamuda pikeni pamoja au kama mvivu Kama Mimi basi kaa karibu wakati anapika wewe mpigishe Stori.
Ukiona unahitaji kuangalia Mpira au kwenda kijiweni Muage mwambie unaenda Kwa washikaji,
Penda kumsifia kila mara,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]From dear,darling,my love to Jitu,maana umeona kama jitu pia haitoshi ukaongezea na lijitu,kaazi kwelikweli....
Mambo ya Kupika wote tena mzeee.Watu wengi wanadhani kushinda nyumbani na Mke ndio kumpa muda Mkeo,
Wakati muda ni Ile kampani, kupiga Stori, Umbeya, kucheza Games za kwenye Luninga, kucheki Filamu au ku-dance pamoja, Kupika wote n.k
Bahati mbaya sijui ndo kuongozwa na hisia na sio akili, hicho hicho kitu kimoja kinaweza muachisha kwa wanaume zaidi ya wa3 na hata asishtuke kuai tatizo ni yeye ila atasema wanaume wote ni mbwa.Brainless creatures (japo sio wote) wanawake hamana akili mkuu kuna uzi nitauleta hapa usipoteze muda na hawa viumbe
[emoji122][emoji122][emoji122]Wanawake hasa Mke wako anahitaji attention kuliko pesa yako. Ni Kama watoto wadogo.
Ukitoka Kazini, kaa naye, cheza naye, piga naye Stori, Kama unamuda pikeni pamoja au kama mvivu Kama Mimi basi kaa karibu wakati anapika wewe mpigishe Stori.
Ukiona unahitaji kuangalia Mpira au kwenda kijiweni Muage mwambie unaenda Kwa washikaji,
Penda kumsifia kila mara,
Itakuwa ni huyo tu wakwako mbona wengine niwaelewa, mpaka huwa wanawasaidia wapenzi wao kazi zile ambazo zipo ndani ya uwezo wao? Ni wako tu akili yake ipo hivyoYaani acha tu mkuu ni pasua kichwa hawa sipata kuona
Hilo nikweli, mtu anarudi nyumbani akifika tu akipata chakula tu laptop iko wapi mpaka anajiuliza huyu vipi mpaka muda wakulala yupo hoi j3-ijumaa, weekend napo swaga hizo hizo usiku tayari, j2 kwa wale wa ibada mara jioni hiyo basi tena, wakati mwingine wanaume hushindwa kupanga muda, upi ni wakazi upi natakiwa kuwa na familia!Kuna mahusiano mengine unakuta upweke had unajiuliza am I really dating someone?
Nina mahusiano au nko single?
Katika kipengele cha mda kinahitaji somo.
Mda unasaidia sana kutengeza bond kati ya wapenzi.sio wapenzi tu hata familia na watoto.
Mtu upo nae lakini bize na simu sijui computer mnashinda ndani hivo kweli?
Atakuwa ni mswahili mswahili huyo basi.Sawa mkuu muda nitakupa lakini sio wote kumbuka nina pambana kutafuta hela na wewe unahtaji huduma alafu unataka muda wangu wote ningumu siwezi kwakweli akatafute tu atakae weza kumfanyia hivyo
[emoji3][emoji3][emoji3] ajipatie hapa hapa aliye mwerewaAiseeeeee pole sana mkuu
Vumilia tuu maana hatueleweki ila me naeleweka kidogo[emoji38]
Jipalilie mama, kwenye kadi ya harusi usinisahau.Njoo piemu chap kwa haraka kabla mambo hayajawa mengi