Kwani wanawake mnataka nini?

Kwani wanawake mnataka nini?

Kwenye movie hiyo ni trailer ....... acha kazi ama ukose hela uonee full movie free of charge
 
Mkuu anajua kilakitu sio mala ya kwanza hii ni mala kadha wa kadha huwa najaribu kumuweka chini na kumueleza anielew lakini baada ya siku kupita mambo yaleyale malawama nimechoka mkuu kichwa inamambo mengi nisije kufa kwa presha
Kama umechoka muache, hakuna solution ya tabia yake
 
Niko kwenye mahusiano na mwanamke mmoja lakini mbaka naandika huu uzi kashanchefua roho naa kwendree anako kwendraaa nishamvumilia Sana sasa nazani niwakati muafaka endee tu.
Acha kulia lia na mapenzi Mkuu,,,,ni MARUFUKU mwanaume kulalamika,,,,Mwanaume unatakiwa uchukue hatua...

Nashauri zingatia tu utafutaji wako wa mkate wa kila siku,,,,maneno ya sampuli hii "kwendraaa" ni ishara ya udhaifu,,,,umeandika neno kumuacha zaidi ya 50 times,,,na nikuhakikishie huyo manzi huwezi Kumuacha...,, Weka Misimamo yako bayana na umuache yeye achague uelekeo,,, Usilazimishe kumvalisha Kofia Kobe ambaye hana Kichwa.....

Love is no longer for the Weak,,

Be a Man, Stay Taliban
 
Mkuu ivi unafahamau ni mangpa yanahtaji muda wangu okay. So ninge mpa huo muda quality na nisimpe hela nako ungesemaje maana huo muda wa kuitengeneza hiyo hela niwe Sina nmpe yeye sasa kama unavosema
Sawa.basis kama nae chini umueleze Bali halisi..au kama haelewi utajua cha kufanya.
Kuna mda malalamiko yakizidi mtu hakuelewi yanakera pia.
Hata ukimuoa bado yataibuka mengine
Kikubwa AWE MUELEWA!
Hawezi basi
 
Kwahiyo tunakubaliana mwanamke hawezi kuridhika sio ?! Kila siku mnabweka "tafuta hela" haya jamaa kamua na kaweza kutafuta hela, mmeamua kudai muda.

Hivi MNAAKILI KWELI ?! KWAHYO AACHE KUTAFUTA FEDHA AMPE MUDA ILI AFILISIKE AFU MWANAMKE AANZE TENA KULALAMIKA HAPEWI HELA ?! Hivi nyie mna akili kweli au mnatumia hayo makalio kuwaza badala ya kichwa.
Daah nashukuru mkuu umeelewa ninachpitia ndomana nimeamua kumuacha aende coz niupumbavu tu nishachoka mtu haeleweki anataka nini kiukweli siwezi kumpa mwanamke muda wangu wote mkuu niache kutafuta hela sifanyi huo upumbavu kuna watu wengi wananitegemea ukiacha yeye Nina wadogozangu wakike na somesha mavyuoni alafu jitu linakuja kunichanganya akili kiukweli hata kumuoa siwezi aende tu
 
Stupid takers. Wanawake wanawazaga kuchukua na kuchukua na kuchukua ukiampa hichi atataka kile akikipata atataka kile.

Huyu mwanamke kapewa kila kitu, sasa hataki tena pesa maana ipo sasa anataka "muda" na hataakipewa muda atataka "privency" nk nk mahitaji ya mwanamke ni endless.

Alafu anataka muda hiyo hela itapatikana vipi ?! Stupid proffesional complainers, takers.
Kweli mkuu sasa yeye sikaona muda ndo kitubola ngoja aende kwa atakae mpa muda misiwezi nishamwambia siwezi kuchanganya mapenz na kazi never
 
Kwahiyo tunakubaliana mwanamke hawezi kuridhika sio ?! Kila siku mnabweka "tafuta hela" haya jamaa kamua na kaweza kutafuta hela, mmeamua kudai muda.

Hivi MNAAKILI KWELI ?! KWAHYO AACHE KUTAFUTA FEDHA AMPE MUDA ILI AFILISIKE AFU MWANAMKE AANZE TENA KULALAMIKA HAPEWI HELA ?! Hivi nyie mna akili kweli au mnatumia hayo makalio kuwaza badala ya kichwa.
Usinitukane kaka...
Sawa basis nenda katafute hela jtatu- jpili
SAA 11 asubuhi mpk SAA 5 usiku
Halafu mkeo ashinde na houseboy
Ama akitoka kazini akirudi jioni ashinde nae mpaka usiku.
We kazana na kazi yako,usimpe hata siku ya weekend moja
Sawa?
 
Daah nashukuru mkuu umeelewa ninachpitia ndomana nimeamua kumuacha aende coz niupumbavu tu nishachoka mtu haeleweki anataka nini kiukweli siwezi kumpa mwanamke muda wangu wote mkuu niache kutafuta hela sifanyi huo upumbavu kuna watu wengi wananitegemea ukiacha yeye Nina wadogozangu wakike na somesha mavyuoni alafu jitu linakuja kunichanganya akili kiukweli hata kumuoa siwezi aende tu
Njoo kwangu sina shida na mda wako
Na hela zangu ntatafuta mwenyewe[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Usinitukane kaka...
Sawa basis nenda katafute hela jtatu- jpili
SAA 11 asubuhi mpk SAA 5 usiku
Halafu mkeo ashinde na houseboy
Ama akitoka kazini akirudi jioni ashinde nae mpaka usiku.
We kazana na kazi yako,usimpe hata siku ya weekend moja
Sawa?
Mkuu in short mwanamke haridhiki
 
Noma sana ukipata mwanamke wa hivyo utajui hujuii... me alipiga simu kila siku analalamika why simpi muda wangu anataka kilaa muda nimpigiee siku hiyo alipiga aakajiongelesha wee eti maraa ooho sipo romantic nkamwambia bhasi tafuta ambae yuko romantic... ikawa mwisho wa story na muhaya yuleee 😀 😀 😀 hela inisumbue akili na mwanamke pia??? huo ujinga sifanyi
 
noma sana ukipata mwanamke wa hivyo utajui hujuii... me alipiga simu kila siku analalamika why simpi muda wangu anataka kilaa muda nimpigiee siku hiyo alipiga aakajiongelesha wee eti maraa ooho sipo romantic nkamwambia bhasi tafuta ambae yuko romantic... ikawa mwisho wa story na muhaya yuleee 😀 😀 😀 hela inisumbue akili na mwanamke pia??? huo ujinga sifanyi
Ila mda wako kupiga kimasihara huko unao?
[emoji1]
 
Oseee wanawake hawajawahi kueleweka wanatakaga kitu gani, unaweza jitahidi kwa kila kitu lakini wapiii, pole sana mkuu

Wanawake wanaeleweka Mkuu.
Hiyo Kauli ya. Kusema hawaeleweki ni uongo wa Mchana.

Mwanamke anaposema anahitajika muda wako haimaanishi ukae naye muda wote pasipo kumpa attention,

Unaweza kuwa naye muda wote na bado ukawa na mambo mengine
 
😀 😀 😀mambo yasiwe magumu... muda wa kuzagamuana upo sio kubebishana kutumiana ma msg ya umekula beib...sijui karibu tulalee nishavukaa hizo stage
Usidate watoto was chuo hutokutana na hayo mambo..mtu hana kazi anashinda saluni ama anazurura tu..kwanini asiwe na akili za hivo.?

Tafuta mtu na hata jambo La kufanya kumweka bize asubuhi hadi jioni.akutafute kwa jambo La msingi tu
 
noma sana ukipata mwanamke wa hivyo utajui hujuii... me alipiga simu kila siku analalamika why simpi muda wangu anataka kilaa muda nimpigiee siku hiyo alipiga aakajiongelesha wee eti maraa ooho sipo romantic nkamwambia bhasi tafuta ambae yuko romantic... ikawa mwisho wa story na muhaya yuleee 😀 😀 😀 hela inisumbue akili na mwanamke pia??? huo ujinga sifanyi
[emoji23][emoji23][emoji23] ulitisha mkuu hukutaka kusjmbuliwa kabsa
 
Back
Top Bottom