Kwani wanawake mnataka nini?

Kwani wanawake mnataka nini?

Habari wakuu
Natumai wote mko wazima.

Naandika huu uzi nikiwa nishachefuka nnachotaka nijue leo kunabaadhi ya wanawake huwa mtaka nini kwenye maisha yenu misielewi.
Hahahahaha ilo jina la lijitu hahahaha[emoji16]
 
binafsi naona umuache tu... maana ushaanza muita "jitu".. inaonyesha umemchoka na mapenzi yamekwisha.
Mkuu kanichosha kiukweli kwa situation ninayo pitia kwakweli mwache aendee tu
 
Wanawake wanataka vitu ambavyo wanavikosa kwenye mahusiano full stop
Sawa sasa yeye nikitu gani anachokosa muulize kama kila kitu nampatia
 
Inabidi uwaelewe tuu, niliwahi kuwa naye mmoja alikuwa akitumia sex kupata anachotaka, alikuwa anaweza kunibania hata zaidi ya mwezi kwa sababu tuu kakasirika au kunikomoa tuu for some reasons, relationship was hell lakini mapenzi nilikuwa nayataka, akili iliporudi nilimchezea game yake mwenyewe nikaanza kukataa kufanya naye mapenzi na chochote anachotaka hapati (ilikuwa mwaga ugali namwaga mboga) na nilikuwa tayari tumalizane, aliomba poo mwenyewe akarudi mstarini lakini hatukudumu maana damage ya kisaikolojia ilikuwa kubwa sana
Daah Pole mkuu ila hawa viumbe misiwaelewagi sasa wanataka nini mtu kila kitu unampa
 
Kama ni hivyo basi yeye ni tatizo,sasa kabla ya kumuacha mwambie Tabia yake hiyo wewe ina kukera Sana,na mwambie ukiendelea hivyo utashindwa kuendelea na uhusiano WA namna hiyo,sasa kama anakuhitaji kweli atajirekebisha kama sio basi atakuwa ameamua hatima take mwenyewe
Mkuu anajua kila siku namweleza kuwa sipend lawama zake na kumueleza kuwa anajua kuwa nina mambomengi yanayo nifanya kuwa busy lakini hainamaana kuwa simpend lakini haelew sasa mi nifanyeje kila siku lawama mwache aendee tu mkuu kichwa yangu itulie bas
 
Ushamweleza hsya uliyotueleza?
Mkuu anajua kilakitu sio mala ya kwanza hii ni mala kadha wa kadha huwa najaribu kumuweka chini na kumueleza anielew lakini baada ya siku kupita mambo yaleyale malawama nimechoka mkuu kichwa inamambo mengi nisije kufa kwa presha
 
Mpenzi wako anahitaji quality time nawe. Inaonesha unamridhisha kwa vingine vyote lakini sio mda wako.
Kwahiyo tunakubaliana mwanamke hawezi kuridhika sio ?! Kila siku mnabweka "tafuta hela" haya jamaa kamua na kaweza kutafuta hela, mmeamua kudai muda.

Hivi MNAAKILI KWELI ?! KWAHYO AACHE KUTAFUTA FEDHA AMPE MUDA ILI AFILISIKE AFU MWANAMKE AANZE TENA KULALAMIKA HAPEWI HELA ?! Hivi nyie mna akili kweli au mnatumia hayo makalio kuwaza badala ya kichwa.
 
Muoe kabisa, awe anakuona usiku kucha atariudhika, n kweli wanawake wanataka mda n fedha pia
Unatakiwa upate mwanamke muelewa la sivyo lawama ztazdi n mtaishia pabaya
Stupid takers. Wanawake wanawazaga kuchukua na kuchukua na kuchukua ukiampa hichi atataka kile akikipata atataka kile.

Huyu mwanamke kapewa kila kitu, sasa hataki tena pesa maana ipo sasa anataka "muda" na hataakipewa muda atataka "privency" nk nk mahitaji ya mwanamke ni endless.

Alafu anataka muda hiyo hela itapatikana vipi ?! Stupid proffesional complainers, takers.
 
Kati ya kitu sipendi ni hiyo milawama ya wanawake. Kuna mmoja nimempiga chini juzikat kisa ni hiyo milawama isiyo na kichwa wala miguu.

Hawawazi kua unaweza kua umepata shida, sim haina charge, uko mbali na simu, una kikao, upo na wazazi.
Yeye akipiga usipopokea basi jiandae zigo la lawama na kukuhisi ulikua unachepuka, haya maakili sijui wanayatoaga wapi.
Brainless creatures (japo sio wote) wanawake hamana akili mkuu kuna uzi nitauleta hapa usipoteze muda na hawa viumbe
 
Back
Top Bottom