Kwani wengine mnawezaje kulewa bila kupigana?

Kwani wengine mnawezaje kulewa bila kupigana?

Wanajeshi smart wanakula tungi na hawaonyeshi ubabe uraiani kuna mjeshi mmoja alikua ametoka zake huko kambi fulani Morogoro akaingia location fulani pale alikaa almost wiki 1 ni tungi na yeye yeye na tungi jioni anaenda kubambia warembo ila uzuri jamaa akishatakata huyooo anarudi alipochukua room anapoa zake kibaya zaidi sikuwahi kumuona amevusha, kesho tena yaan jamaa alikua na nidhamu na pombe sio kawaida anakunywa analewa akilewa anawapa wengine anaenda zake kulala bad enough kitu cha bob alikua anakishtua alichokozwa ila akawa mpole sana akakubari yeye aonekane mjinga yaishe wala akuvimba mimi ni soja nyenyenye baadae waliomzingua wakaambiwa oyaa yule bakabaka jamaa wakaenda kuweka mambo sawa yakaisha ikawa peace piga tungi zake siku ya siku kabeba begi lake kadandia treni akatembea ni masoja wachache sana wenye nidhamu ya namna hio uraiani
Hakua na kampani ya wrnzake... umoja ni nguvu.
 
Wanajeshi smart wanakula tungi na hawaonyeshi ubabe uraiani kuna mjeshi mmoja alikua ametoka zake huko kambi fulani Morogoro akaingia location fulani pale alikaa almost wiki 1 ni tungi na yeye yeye na tungi jioni anaenda kubambia warembo ila uzuri jamaa akishatakata huyooo anarudi alipochukua room anapoa zake kibaya zaidi sikuwahi kumuona amevusha, kesho tena yaan jamaa alikua na nidhamu na pombe sio kawaida anakunywa analewa akilewa anawapa wengine anaenda zake kulala bad enough kitu cha bob alikua anakishtua alichokozwa ila akawa mpole sana akakubari yeye aonekane mjinga yaishe wala akuvimba mimi ni soja nyenyenye baadae waliomzingua wakaambiwa oyaa yule bakabaka jamaa wakaenda kuweka mambo sawa yakaisha ikawa peace piga tungi zake siku ya siku kabeba begi lake kadandia treni akatembea ni masoja wachache sana wenye nidhamu ya namna hio uraiani
Na ndivyo hupaswa kuishi hivyo maana kwa mafunzo yao kupigana na raia asie na mafunzo n uonevu japo kuna raia wanawamudu.
 
Back
Top Bottom