Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toka nizaliwe, sijawahi kuonja pombeMimi tangu nione mwaka juzi, sijawahi kulewa
Kama ni kweli, nikuulize,, una meno mangapi yamebaki mdomoni ?Naomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
Hakua na kampani ya wrnzake... umoja ni nguvu.Wanajeshi smart wanakula tungi na hawaonyeshi ubabe uraiani kuna mjeshi mmoja alikua ametoka zake huko kambi fulani Morogoro akaingia location fulani pale alikaa almost wiki 1 ni tungi na yeye yeye na tungi jioni anaenda kubambia warembo ila uzuri jamaa akishatakata huyooo anarudi alipochukua room anapoa zake kibaya zaidi sikuwahi kumuona amevusha, kesho tena yaan jamaa alikua na nidhamu na pombe sio kawaida anakunywa analewa akilewa anawapa wengine anaenda zake kulala bad enough kitu cha bob alikua anakishtua alichokozwa ila akawa mpole sana akakubari yeye aonekane mjinga yaishe wala akuvimba mimi ni soja nyenyenye baadae waliomzingua wakaambiwa oyaa yule bakabaka jamaa wakaenda kuweka mambo sawa yakaisha ikawa peace piga tungi zake siku ya siku kabeba begi lake kadandia treni akatembea ni masoja wachache sana wenye nidhamu ya namna hio uraiani
Na ndivyo hupaswa kuishi hivyo maana kwa mafunzo yao kupigana na raia asie na mafunzo n uonevu japo kuna raia wanawamudu.Wanajeshi smart wanakula tungi na hawaonyeshi ubabe uraiani kuna mjeshi mmoja alikua ametoka zake huko kambi fulani Morogoro akaingia location fulani pale alikaa almost wiki 1 ni tungi na yeye yeye na tungi jioni anaenda kubambia warembo ila uzuri jamaa akishatakata huyooo anarudi alipochukua room anapoa zake kibaya zaidi sikuwahi kumuona amevusha, kesho tena yaan jamaa alikua na nidhamu na pombe sio kawaida anakunywa analewa akilewa anawapa wengine anaenda zake kulala bad enough kitu cha bob alikua anakishtua alichokozwa ila akawa mpole sana akakubari yeye aonekane mjinga yaishe wala akuvimba mimi ni soja nyenyenye baadae waliomzingua wakaambiwa oyaa yule bakabaka jamaa wakaenda kuweka mambo sawa yakaisha ikawa peace piga tungi zake siku ya siku kabeba begi lake kadandia treni akatembea ni masoja wachache sana wenye nidhamu ya namna hio uraiani
Masoja smart hawana fujo kwa raia hata siku 1Na ndivyo hupaswa kuishi hivyo maana kwa mafunzo yao kupigana na raia asie na mafunzo n uonevu japo kuna raia wanawamudu.
Alikua man alone siku zote mpaka anaondoka ila jamaa alikua na coin za kutosha yaan ni mwendo wa gambe wiki nzima non stopHakua na kampani ya wrnzake... umoja ni nguvu.
HakikaMasoja smart hawana fujo kwa raia hata siku 1