Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Haya nmeskitika ufurahi😢Mbona umecheka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya nmeskitika ufurahi😢Mbona umecheka
Hayo mambo ya kupanda Eicher bn mtiti sanaOyaah inakuwa nii 🔥🔥 😂 hzo route enzi nikiwa sinza 😂
Kituoni (Polisi)umefikishwa mara ngapi?sijawahi pigwa!
changamoto kk acha tuuHayo mambo ya kupanda Eicher bn mtiti sana
Ajichanganye ajuteKama huamini inawezekana kalewe jeshini
Nyinyi mnapiga kolabo sasa hamjakutana na wazee wenzenu wanaopiga kolabo yaan zitapigwa mchakae maana ugomvi wa bar Mimi naujua ulivyo tena ukiwa ni wa makundi mabaunsa lazima waingilie kati maana hapo ukikaa vibaya umelampwa chupa ya kichwa hujakaa sawa umeshushiwa meza watu wanausaka ubingwa kwa mbinu yoyote hapo bia zishakolea humwambii kitu tena usiombee siku hio mvua iwe imenyesha utafurahi na roho yakoCha kwanza mimi na jamaa zangu tukiwa tunalewa kama unapenda ugomvi kaa tu kwa kutulia maana sisi wenyewe tunapenda ugomvi huwa tupo tunangoja tu sababu ipatikane.
Wanajeshi smart wanakula tungi na hawaonyeshi ubabe uraiani kuna mjeshi mmoja alikua ametoka zake huko kambi fulani Morogoro akaingia location fulani pale alikaa almost wiki 1 ni tungi na yeye yeye na tungi jioni anaenda kubambia warembo ila uzuri jamaa akishatakata huyooo anarudi alipochukua room anapoa zake kibaya zaidi sikuwahi kumuona amevusha, kesho tena yaan jamaa alikua na nidhamu na pombe sio kawaida anakunywa analewa akilewa anawapa wengine anaenda zake kulala bad enough kitu cha bob alikua anakishtua alichokozwa ila akawa mpole sana akakubari yeye aonekane mjinga yaishe wala akuvimba mimi ni soja nyenyenye baadae waliomzingua wakaambiwa oyaa yule bakabaka jamaa wakaenda kuweka mambo sawa yakaisha ikawa peace piga tungi zake siku ya siku kabeba begi lake kadandia treni akatembea ni masoja wachache sana wenye nidhamu ya namna hio uraianiAjichanganye ajute
😀😀😀😀😀😀😀Naomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
Wewe una matatizoNaomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
Hii imeenda 🤣Njoo ulewe huku kwetu, uje na huo ubabe wako.....asubuhi utaomba thupu na pepthi, meno ya sebleni huna.
Ulevi ni mzizi wa dhambiEndelea,kuna jamaa huku wamezika juzi tuu,lichokoza akapewa punch ikapasua vifaa ndani
Hakika,haswaa ukiruhusu zikutawaleUlevi ni mzizi wa dhambi
Mimi tangu nione mwaka juzi, sijawahi kulewaHakika,haswaa ukiruhusu zikutawale
Umejitapikia, kujikojolea na kujiharia mara ngapi?sawa