Mahali akitawala Muislam 100% basi huwa ni marufuku kutoa nafasi kwa imani nyingine kuishi maisha yao yaani wao wanajiona wapo sahihi zaidi hawataki kuskia imani nyingine, Angalia Saudi Arabia,Iran,Oman,Qatar na nchi nyingine za kiislam ambazo tayari zimeshawaambukiza hizo tabia hadi kwenye makoloni yao hapa Africa now wanajiona ni kama waarabu.
Muislam akienda nchi yenye wakristo wengi huwa anataka haki sawa na anapewa uhuru wa kujenga Misikiti na hawasumbuliwi, Angalia Ngome ya Ukristo Rome Italy ipo misikiti ya kumwaga tu yaani unaweza ukaingia Rome kipindi cha kwarezma ukakuta Muislam anakula ila hasumbuliwi ila ukikutwa Saudi unakula ramadhani na ww ni mkristo, wao kwao ni jela Direct ila nchi za wengine wanataka uhuru na wanapewa
Nchi kama China na India wana Dini zao ila wengi mnaenda China kufunga mizigo na kurudi huwezi ukaenda Guangzhou,Beijing ukakuta mchina anakwambia hapa hamna kula inshort wana imani zao na hawazitumii kunyanyasa wengine
Maswala kama haya na mambo mengine mengi kama kujitoa muhanga na kuuwa watu hovyo ndio yanayofanya nnchi nyingi zinawachukulia kama sio watu wastaharabu
Ndio maana naanza kuamini kuwa Harakati za India na China kupambana kuzuia uislam kuenea kwao huenda kuna kitu walishakipima na wanaanza kuchukua Tahadhari, Maana India au China sijawahi kuskia Wakristo wakipigwa vita ila Wanapiga sana vita uislam kuenea kwao na sijui mna shida gani