Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli ugaidi upo na waliotuhumia na kukaa ndani zaidi ya miaka 5 kuna aliyekutikana na makosa hayo na kutumikia adhabu.

Jamii ya Kiislamu itaendelea kuuthibitishia umma kwa ni jamii isiyo na hatia kwa kuongozwa na:
• Kindness
• Trustworthiness
• Unselfish generosity
• Humility
• Great manners
• Self-awareness and courage
• Integrity and benevolence


Hata hivyo bado waislam wangependa kutafiti ya kisayansi na kupitia tafiti hiyo kujustify kamata kamata ya waislam kwa tuhuma za Ugaidi kama kuna usahihi wowote au kuna chuki na ubaguzi.

Ndugu mkumbuke majibu yenu yataakishi fikra za watendaji wa serikali wenye imani sawa na imani zenu.

Iwapo maamuzi yao yanaathiriwa na imani zao binafsi walizozaliwa na mafundisho ktk majumba yenu ya ibada.

Tunataka kuone mipaka ya kisheria dhidi ya watendaji wanazofanya maamuzi kwa kuongozwa na imani yake kwa migongo wa serikali.

Wakili msomi Maledeka kwa kutumia weledi na ubobezi kaamua kuwasaidia watuhumiwa na kuuthibitishia umma kuwa kuna hatari kama taifa kutumia hisia au hasira kutaka kuwadhibiti jamii kwa kutumia sheria zenye viashiria vya ubaguzi. Na matokeo yake nguvu kazi na pesa za walipa kodi inatumika kwa matumizi yasiyo na sababu.

Wakili msomi Madeleka amejaribu kutoa rai kuhusiana yenye maslahi mapana kwa taifa. Nasikia rai hiyo kuanzia dkk ya 7 ya clip hii.


View: https://youtu.be/72rIuu-GSf0?si=YgXX61_IVXyjaAxT

Lengo la tafiti hii ni kutaka Maridhiano ya kitaifa ili kama ukamataji wa watuhumiwa uko una justification sheria hii iendelee, lkn kama kuna mapungufu basi sheria hii ifanyiwe marekebisho au ifutwe kabisa ili sheria ya uhalifu itumike kama MBADALA.

Utafiti huu tuwahusishe wadau wakuu wa kusimamia na kudhibiti ugaidi kama idara maalum ya kuzuia ugaidi, jeshi la polisi, jeshi la kimataifa (Interpol), ubalozi wa Marekani, familia zilizoathiriwa na kamata kamata.

Naomba ushirikiano wako kwa kutueleza;-

1. Je, kisheria inaruhusia kwa taasisi ya kidini kuja na utafiti wa aina hii.

2. Unaweza dondoa ni maswali gani ya kuuliza kama dodoso katika utafiti huo.

Ili utafiti uje kutuletea majibu sahihi na thabit yenye kusaidia taifa

3. Nani anaishi katika mazingira ambayo jirani zake wamekamatwa kwa makosa ya ugaidi.

4. Je ungependa kushiriki kwa namna moja ktk tafiti hii.

Karibuni kwa michango yenye nia ya kujenga kwa maslahi mapana ya taifa.

Nihitimishe kwa kusema binafsi naamini tz kuna ugaidi wa kutengenezwa. False Flag Terror.

Case study ni kesi ya watuhumiwa wa bomu arusha mwaka 2013. ambapo baada tu ya mlipuko kutokea alionekana kijana aliwa Amelia kanzu na kofia akikimbia. Wasamaria wema walimkimbiza na kumkamata, baada ilikuja fahamika anaitwa Ambrose Victor Calist. Hata hivyo haijulikana kwanini polisi walikuja kuwakama mashekhe zaidi ya 10 ambao baada ya kukaa ndani kwa miaka 10, mwaka huu wameachiwa huru kwa kuonekana hawakuhusika.

Jiulize Ambrose Victor Calist yuko wapi, kesi yake imeishaje, alitumwa na nani. Lengo lilikuwa ni kuwakamata nani.


View: https://www.scribd.com/doc/244694287/ANNUUR-1148

Makumi ya Washukiwa wa Ugaidi Waachiwa Huru Tanzania - The Chanzo

Sasa unashangaa au? Ugaidi na Uislam ni kitu kimoja tu.
 
Pamoja na yote haya, Mohammed ndiyo gaidi namba moja hapa duniani toka zama hizo mpaka leo hii wafuasi wake wanafanya yale aliyokuwa anayafanya yeye tena wakijiaminisha wakaijiua wanakwenda kuungana naye motoni na kupewa majini 72 wa kubaka.


Paulo Au Yesu?



Hebu yazingatie Mahubiri ya Yesu aliyotoa juu ya Mlima wa Zaituni:

Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.
Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.
Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.


Mathayo 5.17-20

Mnamo mahubiri ya Mlima wa Zaituni ndio yanapatikana mafunzo makubwa ya Yesu Kristo.

Tunaweza kusema kuwa humu, khasa, ndio umo Ukristo; yaani ikiwa tunaamini ya kuwa Yesu ndiye Katika kifungu cha maneno hayo tuliyoyanukulu ya Yesu tunaona ya kuwa ni muhali mtu kuingia katika ufalme wa mbinguni, yaani Peponi, mpaka haki ya mtu izidi ile ya waandishi na Mafarisayo.

Yaani wema uutendao uzidi ule wa wanazuoni wa Kiyahudi.

Ni nini hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo?

Ni kuifuata sharia ya Taurati neno kwa neno, na pia waliofunza manabii wengineo.

Ndio maana Yesu akasema:

"Msidhani ya kuwa nalikuja kutangua torati au manabii, sikuja kutangua, bali kutimiliza."

Kazi yake haikuwa kutengua sharia ya Taurati na kuleta kitu kingine cha kutengua au kugonganisha na mafunzo ya sharia ya Mwenyezi Mungu na Mitume wake, bali kaja yeye kutimiliza kwa kuwafunza Mayahudi umuhimu wa mambo ya kiroho katika sharia.

Kutii madhaahiri ya sharia tu na kuwacha undani wake, uchamngu, hakutoshi.

Mwenyezi Mungu atiiwe kwa dhaahiri na kwa siri. Yesu alishikilia sana kufundisha na kutenda, aliposema:

"Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni."

Katika amri za Taurati ni kama hii iliyomo katika Biblia:

Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11.7-8

Kwa hiyo naliwaambia wana wa Israeli, Msile damu ya mnyama wa aina yo yote; kwa kuwa uhai wa wanyama wote ni katika hiyo damu yake; atakayeila awaye yote atakatiliwa mbali.
Tena kila mtu atakeykula nyamafu, au nyama aliyeraruliwa na wanyama, kama ni mzalia, kama ni mgeni, atafua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hata jioni; ndipo atakapokuwa safi.


Walawi 17.14-15

Hizo ni amri ziliomo katika Taurati, sharia ya Mungu, ambayo Yesu amesema kama ilivyo katika Injili ya Mathayo kuwa mwenye kuivunja ndogo yao na akawafundisha watu hivyo basi ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni.

Na kuvunja hayo khasa ndio Paulo kafundisha.

Msikieni:

Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.


1 Wakorintho 10.25-26

Mnamwona Paulo anavyobomoa sharia ya Taurati waliyoifwata Manabii wote, hata Yesu na wanafunzi wake thenashara, ya kuwa kuna vyakula vilivyo halali na kuna vingine ni najisi, haramu kuliwa, kama nguruwe, vya kunyongwa na damu?

Yesu kafunza nini, na Paulo anafunza nini ????

Katika waraka wake aliowapelekea Wagalatia Paulo anasema:

Mmetengwa na Kristo, ninyi mtakao kuhesabiwa haki kwa sheria; mmeanguka na kutoka katika hali ya neema, Maana sisi kwa Roho tunalitazamia tumaini la haki kwa njia ya imani.
Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo
.
Wagalatia 5.4-6

Kwa kauli moja Paulo ameitengua sharia yote.

Yesu kasema nini juu ya Mlima wa Zaituni na Paulo anasema nini katika barua yake kwa Wagalatia?

Yesu alifuata sharia ya Mwenyezi Mungu na aliihishimu na akaahidi kuwa yeye hatoitengua kabisa, ila ataitimiza.

Paulo anaibeza sharia na kuiona kuwa ni laana. Yesu akila kilicho halalishwa na Mungu, na alikiepuka kilicho harimishwa na Mungu.

Paulo anatwambia tule kila kiuzwacho sokoni bila ya kujali dhamiri yetu.

Yesu na Manabii wote tangu Nabii Ibrahim walitahiriwa kwa kufuata amri ya Mungu kama isemavyo Biblia:

Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako. Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.

Mwanzo 17.9-10

Paulo mjuaji, anasema kumpinga Mungu:

Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya.


Wagalatia 6.15

Katika barua yake aliyowapelekea Warumi ndio kabisa Paulo anaiangamiza sharia ya Mungu na kufanya vitendo kuwa havina maana yo yote.

Chenye maana peke yake ni imani tu.

Basi, twaona ya kuwa wanadamu huhesabiwa haki kwa imani pasipo matendo ya sheria.

Warumi 3.28

Kwa Paulo kuamini kuwa Yesu kafa msalabani na damu yake kuwa ni fidia kwa dhambi zetu ndio kwenye maana, sio kufuata sharia wala vitendo.

Kwake yeye ile Taurati, ambayo Yesu mwenyewe hakuja kuitengua bali kaja makusudi kuitimiza, ni kifungo na pingamizi.

Anawaambia Warumi:

Bali sasa tumefunguliwa katika torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani, ya andiko.


Warumi 7.6

Paulo anaiona Taurati ni kifungo, pingamizi, bali ni laana. Hayo sio maoni ya Yesu ambaye amesema:

"Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka."

· Je, kwa kuingia Paulo katika umoja wa Kikristo ndio tusema mbingu na nchi zimeondoka?

· Au kwa kutundikwa Yesu msalabani (ikiwa kweli katundikwa) ndio tuseme mbingu na nchi zimeondoka?

· Mbona watu wameyasahau upesi maneno ya Yesu mwenyewe, na kuyasikiliza ya Paulo?

NI Kwa sababu yanakubaliana na matamanio yao?
 
Dogo hujasoma historia ya nchi yako au unatania tu? Ebu soma hapa upate kuelimika kidogo tu kwani ukielimika sana utajiua kwa haibu.👇👇



Why were slaves in the Arab slave trade castrated but in the trans-Atlantic slave trade not castrated?


Icon for It's OK to be White.'s OK to be White.



It's OK to be White.
Answered by
Tim
Mar 27, 2022


In the Arab world, demand for castrated slaves was so high that, even with the appalling death rate from the procedure, it was still profitable. (Which explains why there is no large African Diaspora community in Arab countries. Castrated men don't father children.) There was no market for eunuchs in the trans-Atlantic trade.

Castration of Male slaves removes the perceived threat of the Slave sleeping around with the wife and female concubines (sex slaves) of the Slave Master. Castrated male slaves sold for higher prices in the slave markets of the Islamic World.
Muslim Men had insecurities about their wives and female sex slaves so they made sure their male slaves were castrated.
An Islamic hadith also mentions that the Islamic Prophet Muhammad even sent his own cousin Ali to kill a Man accused of sleeping around with Muhammad’s sex slave (Maria The Copt) yet Ali had refrained from killing him because he saw that the Man was castrated. The guards in Ottoman Harems were castrated Black male slaves.

In the Trans-Atlantic Slave Trade they encouraged slaves to have children of their own to produce more slaves.


Source: Quora.com



Pamoja na ukweli wote huu hapo juu, anatokea Mtanzania (Mbumbumbu wa madrasa) mjinga aliyekaririshwa upuuzi toka madrasa anakuja kupinga haya mateso waliyopata mababú zetu. Ndiyo maana watu wengi wanaona Watanzania mazezeta tu, mtu anakataa ukweli na kukubali ujinga kuwa ndiyo ukweli.😡😱

NDIO NIKAKUONA KICHWANI MNA MAFUNZA YA PAULO HATA KUFIKIRI HUWEZI

Yaani hao watu weusi waliojaa huko nchi za Kiarabu uliwazaa wewe kama walikuwa castrated ???????
 
Umeandika hadithi ndeefu Ila hujajibu hoja
Umeulizwa Kwann magaidi ya kiislam yakiua watu yanakuwa na Quran lakini mnakaa kimya hamuwakemei manake mnasapoti na ni halali(magaidi ya kiislam yote hutumia Quran kama mwongozo wao)
Umeulizwa Kwann bucha zivunjwe kariakoo kwani wewe kutokula nguruwe ndio ulazmishe Mimi nisile?
Mna ujinga mwingi hasa Ule WA Zanzibar WAkat WA mfungo mnavyofungaga kwa fashion et MTU asile wewe kufunga inanihusu nn

Kwani walipoonyesha kwenye picha ulihakikisha vipi kuwa kweli ile ni Quran ??

Zanzibar kutokula mchana wakati wa Ramadhani haikuanza leo, Huku kuna Wahindu , magoa , Maparisi Kanisa la kikatoliki na hatukuwasikia kulalamika hata siku moja wakati wa Ramadhani wala wanakuwa hawali mbele za watu mchana na tunaishi nao mabwenini na huwa wanapikiwa chakula na kula faraghani.

Lakini haya malalamiko yanakuja hivi sasa baada ya kuchomoza vijikanisa uchwara kama uyoga vinavyojifanya kuujua ukristo zaidi ya wakristo wengine na kukosa heshima
 
NDIO NIKAKUONA KICHWANI MNA MAFUNZA YA PAULO HATA KUFIKIRI HUWEZI

Yaani hao watu weusi waliojaa huko nchi za Kiarabu uliwazaa wewe kama walikuwa castrated ???????
Hao uwaonao wewe ni waliokwenda hivi majuzi tu kufanya kazi za kiutumwa, kujiuza na wengine kutalii, usiwafananishe na mababu zetu
 
Hao uwaonao wewe ni waliokwenda hivi majuzi tu kufanya kazi za kiutumwa, kujiuza na wengine kutalii, usiwafananishe na mababu zetu
Yaani waliokwenda juzi wawe wafalme ? Kweli akili ya Paulo imewavuruga vibaya sana
 
Naombeni site ya kudownload full movie free za makampuni ya movie kama universal pictures
 
Back
Top Bottom