Kwanini 99% ya Watu waliopata Elimu ya Shule, Taasisi na Chuo ya 'Wakatoliki' huwa ni Werevu ( Intelligent ) sana?

Kwanini 99% ya Watu waliopata Elimu ya Shule, Taasisi na Chuo ya 'Wakatoliki' huwa ni Werevu ( Intelligent ) sana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Je, Wakatoliki kupitia Kanisa lao Tukuka ( ambalo GENTAMYCINE ni Muumini Wao Mtiifu ) la Katoliki wana Mtambo Maalum wa Kuutajirisha Ubongo wa Mtu anayesoma Kwao kuwa na IQ Kubwa na Maarifa mengi kuliko wengine waliopita huko Kwingineko?

Nitakuwa ni Mchoyo wa Fadhila na hata Shukran tu nisiposema Asante kwa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro ( Peter ) Oysterbay kwa Elimu yao ya Kindagarten katika Shule yao na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT ) Mkoani Mwanza kwa Elimu ya Juu waliypnipa.

Nitashangaa sana na mno pale nikiona Wazazi mnaacha kuwapeleka Watoto wetu katika Shule za Kikatoliki na hasa nyie Wazazi wenye Watoto wanaoelekea Vyuo Vikuu kama msipowapeleka SAUT Mwanza ( Genius Based University in Tanzania ) ili Wakaelimike na Wakataalumike vyema ili waje kuwa Msaada wa Kifikra na Kivitendo kwa Tanzania, Afrika na Dunia.

Asanteni sana Kanisa langu Katoliki.
 
Hii ndo sku ambayo GENTAMYCINE ameandika highest degree of pumba na ugoro. Huna tangible research reports inayoweza kudhibitisha mashiko yako. Binafsi ni mkristo lakin, umeandika kimuhemko wa kidini bila kutuma research. SAUT, haina record za kufanya vizuri among the reputed universities of Tanzania.


Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mtu yoyote aliwai ishi ndani ya chumba chenye taswila kama hii kwa miaka zaidi ya 3/5 mfulilizo uwa ni watu bright sana. ☺️☺️
 

Attachments

  • 606c390fda37e61bc2f59045c0da6273--loin-middle-ages.jpg
    606c390fda37e61bc2f59045c0da6273--loin-middle-ages.jpg
    6.7 KB · Views: 17
Write your reply...Kwa upeo UPI mkubwa ulionao?kukosoa na kuongea pumba pumba kina Habibu H.Anga wenye upeo wamenyamaza acha kujikweza ajikwezaye hushushwa hahaaa eti upeo wa juu kwa upeo gani sasa
 
Inferiority Complex!
Sote tunajua na tulishakubaliana kuwa SAUT ni chuo [kama ni chuo kweli] cha VILAZA, chaguo la mwisho kabisa.

Kuhusu Seminary uko sahihi, ila tatizo ma-faza 'huponea' sana kwenye kupakua 'ndogo' za wanafunzi hao.
 
Back
Top Bottom