Mama Pasco
JF-Expert Member
- Nov 3, 2021
- 453
- 446
Msoga au?nawaza haya yafuatayo huenda yakawa vigezo:
- lugha
- huenda "Mlezi wa Taifa" kapendekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msoga au?nawaza haya yafuatayo huenda yakawa vigezo:
- lugha
- huenda "Mlezi wa Taifa" kapendekeza
Kaka unamaanisha Kinge Uzaramoni haki kufika?Tatizo lugha dada
EwaaaaNahisi ni issue za gesi asili
Sasa ile Masters aliiandika Kizaramo?Tatizo yule mzaramo kikristo hakipandi kabisaa
[emoji3][emoji3][emoji3]Kaka unamaanisha Kinge Uzaramoni haki kufoka?
She is not smart from the beginning, unateuaje mizigo halafu baadae uone ni mizito?Hahahahaaaa unakumbuka ya Mulugo? Peleka mwenye uwezo Mama is very smart
Hili jibu bado haliridhishi, narudia swali la mleta mada, kwanini isiwe waziri anayehusika na mazingira badala yake akapelekwa waziri anayehusika na gesi?Hakuna anayeenda nje ya nchi kufanya shughuli yoyote ya kiserikali bila baraka na ruhusa za Mkuu wa nchi. Mkuu wa nchi anamchagua yeyote kumumwakilisha popote nje ya nchi lakini kwa hapa nchini itifaki lazima izingatiwe
Swali, kwa nini aende asiyehusika na wizara hiyo?.Hakuna anayeenda nje ya nchi kufanya shughuli yoyote ya kiserikali bila baraka na ruhusa za Mkuu wa nchi. Mkuu wa nchi anamchagua yeyote kumumwakilisha popote nje ya nchi lakini kwa hapa nchini itifaki lazima izingatiwe
View attachment 2346895
Nauliza kwa nia njema kabisa, iweje Waziri anayehusika moja kwa moja na masuala ya mazingira na tabianchi asiendeke kwenye hilo kongamano na badala yake kaenda mtu wa nishati?!
Jaffo siyo mtu makini. Anaongea haraka haraka tu mpaka anaongea pumba. Uwezo wake ni mdogo na alipanda wakati wa Magufuli kwa sababu ya u-SNITCHView attachment 2346895
Nauliza kwa nia njema kabisa, iweje Waziri anayehusika moja kwa moja na masuala ya mazingira na tabianchi asiendeke kwenye hilo kongamano na badala yake kaenda mtu wa nishati?!
PhDSasa ile Masters aliiandika Kizaramo?
Okay
Hujambo lakini?Okay
Mimi ni mzima kabisa.Hujambo lakini?
Ndio furaha yanguMimi ni mzima kabisa.
Jaffo anakigugumizi labda ndio sababuMie mwenyewe nimejiuliza hivyo hivyo