Kwanini aende Makamba na si Jaffo?

Kwanini aende Makamba na si Jaffo?

Unajua hizi Familia za akina Mwinyi, Karume, Makamba, Membe, Msuya, na JK walisha tuona Watanzania ni Wajinga. Yaani ni pachika bandua. Akitoka huyu , ana kuja huyu. Ni muda tuwaoneshe dunia ni mduara.
Wewe utakuwa sukuma gang. Siyo bure
 
View attachment 2346895

Nauliza kwa nia njema kabisa, iweje Waziri anayehusika moja kwa moja na masuala ya mazingira na tabianchi asiendeke kwenye hilo kongamano na badala yake kaenda mtu wa nishati?!
Kule wanazungumzia maswala ya Carbon emissions. Mzaramo hajuwi kuhusu hilo, so Kipara anauzoefu na familia katika hayo.
 
Huyo unayemtaka bahati nzuri(kwa Makamba) lugha haipandi.
Siku hizi Kuna Teknolojia nzuri ya kutafsiri/kalimani lugha ya Kiingereza kwenda kiswahili. Hivyo, Hiki si kigezo. Kigezo JM ni mzoefu na masuala haya!
 
Hili jibu bado haliridhishi, narudia swali la mleta mada, kwanini isiwe waziri anayehusika na mazingira badala yake akapelekwa waziri anayehusika na gesi?

Habari ya kusema kwa hapa ndani, hapo sikuelewi zaidi, ina maana ndani Rais ndio anafuata taratibu, lakini nje anavuruga atakavyo?

Tusikwepe ukweli hapa, Rais hamuamini Jaffo, kama anamuamini angemtuma yeye, na hiki alichofanya amekosea, ndio anazidi kuwafanya hawa jamaa wengine wazidi kujiona wajuaji, anatengeneza makundi kwenye baraza lake la mawaziri bila kujua.
Narudia tena na hata Kama huridhiki ndio ukweli huo Rais humchagua yeyote kumuwakilisha kwenye masuala ya kimataifa na itifaki haimzuii kufanya kwa Sababu mgeni maalumu' envoy' anaweza kuwa yeyote yule na Kama ni hivyo kwa nini hatujajiuliza hajaenda Balozi Mulamula ambaye ndiye muwakilishi wa Rais masuala ya kimataifa?

Itikifaki ya kuangalia nafasi ya mtu inatumika kwenye nchi husika tu.
 
Back
Top Bottom