Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Hii ndio sabbu kubwa ambayo hawawpendi kuisema. Usiku ni muda wa kulala kwa viumbe wengi akiwemo binadamu, iwapo hatapata usingizi wa kutosha muda mfupi kabla ya safari, lazima kuna sekunde atapata usingizi akiwa njiani. Hivyo ni heri kupki pembeni pindi unpohisi usingizi.Madereva wanasinzia sio poa!zishanikosa mara kadhaa