Kwanini ajali nyingi hutokea usiku?

Kwanini ajali nyingi hutokea usiku?

Madereva wanasinzia sio poa!zishanikosa mara kadhaa
Hii ndio sabbu kubwa ambayo hawawpendi kuisema. Usiku ni muda wa kulala kwa viumbe wengi akiwemo binadamu, iwapo hatapata usingizi wa kutosha muda mfupi kabla ya safari, lazima kuna sekunde atapata usingizi akiwa njiani. Hivyo ni heri kupki pembeni pindi unpohisi usingizi.
 
Hii ndio sabbu kubwa ambayo hawawpendi kuisema. Usiku ni muda wa kulala kwa viumbe wengi akiwemo binadamu, iwapo hatapata usingizi wa kutosha muda mfupi kabla ya safari, lazima kuna sekunde atapata usingizi akiwa njiani. Hivyo ni heri kupki pembeni pindi unpohisi usingizi.
Madereva ubishi Sasa na ujuaji,utasikia Niko fresh nineshakunywa energy yangu wee ukilegea kidogo mmekoswakoswa na kulichumu roli
 
I have bad experience na hili la ajali za usiku. La sivyo ningekuwa nipo nimetulizana kaburini mpweke futi 6 chini. Namshukuru mungu tulinusurika.
 
Poor Visibility, Undava na Umwamba Kwa baadhi ya Madere, Full Light bila kujali ilitokea ajali Hata yeye anaweza kuwa mhanga. kutokujua hapa ndio kikomo changu nipunzike, Mwisho Moo Xtra zinawadanganya
 
Poor Visibility, Undava na Umwamba Kwa baadhi ya Madere, Full Light bila kujali ilitokea ajali Hata yeye anaweza kuwa mhanga. kutokujua hapa ndio kikomo changu nipunzike, Mwisho Moo Xtra zinawadanganya
Good point POOR VISIBILITY
 
Wakuu mimi ndio kiranja mkuu huku kuzimu yote yaliyosemwa sio kweli. Narudia tena ni uwongo mtupu.

Kunyweni bia sana imbeni na fanyeni ibada kujifurahisha mwili. Huku hakuna mambo ya duniani kwa hiyo fanyeni mpaka mzeekee.

Huku ni kuzuri ila sio kama duniani. Kuna shida na karaha kuliko duniani. Sio sehemu ya kufikiria kuja ukiwa na nguvu. Ni bora ukae gerezani kuliko kuzimu huku haina vitu vya duniani.
 
Usiku huwa ni tulivu lakini hata askari barabarani huwa na hakuna zaidi ya vizuizi vile,so wengi hutumia mwanya huo kutofuata sheria za barabarani,Ukichanganya na usingizi au vilevi basi ni shida hapo.
 
Back
Top Bottom