Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Public figureThis is family matter we yanakuhusu nn
mmmmhAnamsaidia Sema hapend show off hata Abdul kiba ni msanii mkubwa sema hapend show off
hata kwa ndugu zake???ALIKIBA ANA ROHO MBAYA SANA
ha ha hahAbdu Kiba wenyewe kuimba hajui. We dume zima linaimba Bilinge Bayoyo Bilinge Bayoyo
Ndio anacho chamsingi akavuliwe nguo Na mganga aogeshwe ili Nyota ionekane maana alikiba kaonesha ushirikiano sema ndo kama vile Na nyimbo washawah kutoa wakishirikishanalakn c kipaji anacho... nyota itakuja
kuimba anajua amekosa promo nadhanAbdul kiba hawezi kuimba
Ali kiba ana roho mbaya nukta
kuimba anajua amekosa promo nadhan
Ucpende kuassumeWewe yule mdogo wako aliyefeli o level mbona huna mpango nae tena?
Chemistry yao inaendanaSeduce me in copy and paste kutoka Philippine. Alichoongeza ni kipande cha charanga tu. Man Walter hafai kuwa producer.
life is not fairYule Jamaa nae kusafiria nyota ya bro kichwa chake hua kinavimba icho. Ety leo harmonize ni msanii mkubwa kuliko Abdu kiba.
promo na mawazo... kwan diamond anawasaidia akina harmonize au rayvanny kuimba?amsaidie kuimba au?