Yaani maswali meeengiii kuliko majibu. Kwaio unatuuliza sisi au CCM?
Chukua zawadi yako,kama haikutoshi sema.Malofa mnaongezeka
Hoja yako iko kinadharia zaidi!
Hii inaitwa 'gusanisha nyama kwa nyama'! Mama wee!Hoja yako iko kinadharia zaidi!
Magufuli ataikimbia Kigoma mara tu baada ya ufunguzi wa jengo la mahakama. Hana uwezo wa kukabiliana na Lissu. Lissu is another level.
Machadema majinga sana, yamepigwa hela na Mbowe yanachekelea na Kichaa wao Lissu, ovyo kabisaYaami mna mawazo ya kijinga sana ! Kwanini mnapenda kimlinganisha jpm na huyo Tundu wenu! Mtambue kuwa Jpm bado ni Rais , hivyo tusiaminishane eti amapimanana lissu !.
Hoja yako iko kinadharia zaidi!
Mbona hii umeikwepa unatuletea ya wkt anaingia??What a backup!!