Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,428
- 3,937
Siku ya leo kwa hali inayoonyesha ni makusudi kabisa, timu ya kampeni ya Magufuli imegonganisha shughuli zake za kiserikali na ujio wa Tundu Lissu mkoani Kigoma.
Ni kwa muda sasa Lissu amejaribu kukutana uso kwa uso na Magufuli huku watu wa Magufuli wakitumia kila njia kukwepa hilo lisitokee.
Kumekuwa pia na minong’ono ya uwezo wa pande hizi mbili kukusanya idadi ya watu katika mikutano yao.
Kwenye mapambano wanasema, chagua eneo sahihi la kufanya shambulizi. Eneo hilo inabidi uwe na nguvu kumshinda adui yako.
Sasa najiuliza, kwa nini timu ya Magufuli imeamua Kigoma ndiyo sehemu sahihi ya kupimana makali na timu Lissu? Huku akijua Lissu anaweza kupata backup ya Zitto, kwa nini bado aliona afanye hili alilofanya leo? Kwa nini wamemuita Rais wa Burundi, tena labda kwa short notice katika lengo hili? Nini wanategemea kukifanikisha siku ya leo?
Ni kwa muda sasa Lissu amejaribu kukutana uso kwa uso na Magufuli huku watu wa Magufuli wakitumia kila njia kukwepa hilo lisitokee.
Kumekuwa pia na minong’ono ya uwezo wa pande hizi mbili kukusanya idadi ya watu katika mikutano yao.
Kwenye mapambano wanasema, chagua eneo sahihi la kufanya shambulizi. Eneo hilo inabidi uwe na nguvu kumshinda adui yako.
Sasa najiuliza, kwa nini timu ya Magufuli imeamua Kigoma ndiyo sehemu sahihi ya kupimana makali na timu Lissu? Huku akijua Lissu anaweza kupata backup ya Zitto, kwa nini bado aliona afanye hili alilofanya leo? Kwa nini wamemuita Rais wa Burundi, tena labda kwa short notice katika lengo hili? Nini wanategemea kukifanikisha siku ya leo?