Mimi Kuna kipindi branch walinipa offer kwamba nilipe nusu . nusu nyingine wanisamehe nikawaambia haya, Mara Ile offer haipo Tena Ni matusi. Mimi nafanya kazi bandarini, wanategemea Kuna tusi sijawahi kulisikia? Hivi Hawa branch wako kihalali au wanatutukana matusi mazito wakati hawajasajiliwa na vyombo vya serikali?Nadhani branch watakuwa wamenisamehe 150k yao maana kwa riba zile tumelipana juu kwa juu
Kwamba ukiwakopa ukachelewa kuwalipa nikama wamekufumania na mkeo utajuta kuwafahamu.Tangazo la mkopo alafu wanaweka wadada wamegeukia nyuma inahusiana nini sasa
Hiyo ndio tafsiri ya urembo rafiki,inaweza isikuvutie wewe lakini ikawavutia wengine .Yaani mwanamko ana kope na kucha bandia kisha kavaa tako la bandia halafu wewe unamuona mrembo?
Mchina kapita na akili yako bwashee 😂😂
Nafahamu urembo ni nini, Ila kuhusu mwanamke mrembo nahitaji msaada wako kujua muonekano wake ulivyo.Fahamu kwanza urembo ni nini rafiki
kama unafahamu urembo ni nini unahitaji kujua muonekano kivipi? Mwanamke hata akichukua udongo apake kwenye macho akiwa na dhamira kuwa atapendeza au kuonekana ana mvuto wa nje huo ni uremboNafahamu urembo ni nini, Ila kuhusu mwanamke mrembo nahitaji msaada wako kujua muonekano wake ulivyo.
Ile Tulia na Jokate foundation jichanganye ndio utajua nchi inamatapeliKama unatumia sana youtube utakuwa umekutana na matangazo ya mikopo mtandao.
Mimi sikuwa nayazingatia mpaka yakaanza kuwa ya ajabu ajabu kama hivi;
Basi nikaamua kufuatilia kidogo, nikatafuta makampuni yanayomiliki haya matangazo.
Cha kushangaza utakuta vikampuni vingi vingi viko chini ya kampuni moja kubwa.
Mfano Singularity Microfinance Limited ina matangazo ya PesaX na CashX.
Dexintec Global Limited inamiliki kwanzaloan, hewamkopo, twigaloan, finiloan, na jiachie cash.
Dexintec wamechapisha matangazo 40+ ndani ya huu mwezi mmoja tu kutoka April.
Dexintec ni kampuni ya kichina, wana fanya kazi kwenye nchi maskini kama Nigeria na Pakistan
Huko mitandaoni watu wanalalamika mikopo yao inawakandamiza.
Hawa majamaa ni loan sharks. Huu ni uhalifu kabisa, kunyonya maskini kupitia mikopo.
Nimesikia mwigulu alisema bungeni huduma za mobile money kama Airtel timiza, Vodacom songesha hazina leseni, kama hao hawana, hawa kausha damu vipi?
Na wakati huo huo BOT wanasema watoa mikopo mtandao wapo chini ya makampuni yenye leseni. Ingekuwa hivyo, wangenyonya watu?
Nimewaza tu, nakaribisha wenye mawazo/maoni mbalimbali.
Ikiwa kwako ni urembo sawa, Ila kwangu huo sio urembo.utatuvutia...kuweka hizo kope zimechomoka kama wiper za gari ni urembo,kuweka kucha,matako,kujaza unyonyo ni urembo.
Kuna kutingwa sikatai hata mimi kuna muda inakuwa hivyo lakini siwezi opt hii mikopo kama njia sahihi ya kupata msaada. Yani najua fika riba ni kubwa na marejesho ni baada ya siku 6-7 na usiporejesha unaanikwa kama nguo kambani asee hapana siwezi.Kuna mda watu wanakuwa kwenye tight angle mkuu, ukipiga kwa ndugu nae yupo tight. Kama kuna namna unaweza kupata mkopo wa nafuu namna hii mtu aliyebanwa hajiulizi twice.
Lakini pia hawa jamaa, business model yao ni ya udhalilishaji, unatakiwa kufanya marejesho kesho, wanaanza usumbufu leo.
Ugumu wa maisha hauishi kwa kukopa mikopo ya hovyo yenye udhalilishaji ndani yake.Ugumu wa maisha....
Watu wanaenda hadi kwa waganga sembuse kukopa huko?
Wezi Hawa,
Na ukisahau kurejesha hata nusu siku tu watatuma meseji Kwa ukoo wako wote kuwaambia kua eti wewe ni tapeli.
Eti wanaita platform feeUpo sahihi kabisa mkuu hii ndio dawa yao.hawa jamaa sina huruma nao kabisa..niliwatumia mpaka email tcra ...hawa kausha damu mtu unalipa zaidi ya mara tano tena kwa wakati lakini hupandishiwi kiwango wakati sera zao zinasema ukilipa kwa wakati kiwango kinapanda.kuna siku walinipigia nikawauliza maswali hadi yule dada akanishauri nisepe tu na hiyo pesa coz ni utapeli wanafanya...haiwezekani ukope 33000 urudishe 63000 .na ukilipa hiyo 63000 bado ukikopa utapewa 33000 huu ni utapelii pia wana hiden fees ambazo hazijulikani zinapatikanaje...
Uko app gani labda?Mkuu mimi nimekaa na mkopo wao muda ka.a wiki 3 ila hawajatuma msg kwa ndg zangu. Unadhani wamenionea huruma??
Hata wewe ukishaupata huo mkopo utaanza kutafuta pisi kali ukajifariji kwanza kabla ya kutimiza lengo lako.Kama unatumia sana youtube utakuwa umekutana na matangazo ya mikopo mtandao.
Mimi sikuwa nayazingatia mpaka yakaanza kuwa ya ajabu ajabu kama hivi;
Basi nikaamua kufuatilia kidogo, nikatafuta makampuni yanayomiliki haya matangazo.
Cha kushangaza utakuta vikampuni vingi vingi viko chini ya kampuni moja kubwa.
Mfano Singularity Microfinance Limited ina matangazo ya PesaX na CashX.
Dexintec Global Limited inamiliki kwanzaloan, hewamkopo, twigaloan, finiloan, na jiachie cash.
Dexintec wamechapisha matangazo 40+ ndani ya huu mwezi mmoja tu kutoka April.
Dexintec ni kampuni ya kichina, wana fanya kazi kwenye nchi maskini kama Nigeria na Pakistan
Huko mitandaoni watu wanalalamika mikopo yao inawakandamiza.
Hawa majamaa ni loan sharks. Huu ni uhalifu kabisa, kunyonya maskini kupitia mikopo.
Nimesikia mwigulu alisema bungeni huduma za mobile money kama Airtel timiza, Vodacom songesha hazina leseni, kama hao hawana, hawa kausha damu vipi?
Na wakati huo huo BOT wanasema watoa mikopo mtandao wapo chini ya makampuni yenye leseni. Ingekuwa hivyo, wangenyonya watu?
Nimewaza tu, nakaribisha wenye mawazo/maoni mbalimbali.