Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Panya RoadMiaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Kweli kabisa-Squatters
-income levels ie mostly wa kipato cha kati na chini ndio wengi
-Social services (maji umeme barabara)
-Other factors kama civilisation
-Entry point ambapo tunasema tangu awali ilionekana ni makazi ya watu wakawaida.
-Usalama
Etc etc
Uncivilized population. Hii ni factor muhimuOther factors kama civilisation
Ni kweliEneo la Mbagala linaakisi maisha ya mikoa ya kusini
Hapana ukisema uncivilized unaharibu utaratibu mkuu. Be fair. Watu wa huku wengi wamekosa elimu ya kileoUncivilized population. Hii ni factor muhimu
Kama Kimara inavokaliwa kibabe na wachagaMbagala ni jimbo linalokaliwa kibabe na mkoa wa Mtwara ni kama Crimea na Urusi. Mbagala haiko kwenye himaya ya mkoa wa Dar.
Weka na mfano kidogo mkuu. Haina thamani kwa misingi ipi?Miaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Buguruni, Mwananyamala, Tandale na Manzese ni USWAHILINI kuliko Mbagala na Gongolamboto.Uswahili uswahili unachangia sana kushusha hadhi ya eneo fulan
Hii umedanganya..!!! Kwa factor ya umalaya Kinondoni ingekuwa bei rahisiMalaya wengi mno