Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Hapana ukisema uncivilized unaharibu utaratibu mkuu. Be fair. Watu wa huku wengi wamekosa elimu ya kileo
What is an uncivilized society: (of a society or country) without what is thought to be a highly developed culture and way of life, or (of a person) rude and not showing care for others: uncivilized behavior.
 
Anachojaribu kueleza ni kuwa maeneo mengi yenye waislamu wengi hayana maendeleo mfano miji ya zamani kama Pangani,Ujiji,Bagamoyo ,Kilwa nk ilitakiwa yawe majiji tena makubwa kuliko Dar,Arusha au Dodoma,au Mbeya,Kahama ,Mwanza nk

Lakini wakazi wake wengi waislamu sijajua shida nini wanasomeshana Alubadiri ili wasifanye maendeleo binafsi makubwa au ni nini? Sababu wengine unakuta pesa wanazo kibao na wasomi sana tu na pesa wanazo lakini hata nyumba tu wanazoishi haziakisi uwezo wa pesa walizonazo!! Tofauti na watu wa dini zingine kama wahindu ,Wakristo na wabudha au wakinga wasio na dini waabudu mizimu .Nyumba za waislamu wengi za kawaida mno !! Pesa wanapeleka wapi?
shida ya uswahilini hata ukifanya biashara, unapigwa chuma ulete hadi ife.
 
Waislamu mwaka huu watakoma.......yameibuka mashambulizi juu yao hata sielewi kisa ni nini?!!! Ni kejeli, ni matusi, ni shari juu yao mwanzo mwisho. Wengine wanaotukana ni wale waliofundishwa na waislamu hao hao namna ya kuvaa, kuongea na hata ustaarabu wa kuchamba. Walitoka kwao bara huko wakilalia ngozi mbichi za ng'ombe huku wengine wakikaa uchi pamoja na dada zao huku wakitumia magunzi ya mahindi kuchambia. Wakafika pwani (kwa waislamu) wakapokelewa na kuelekezwa wajihi wa kibinadamu ukoje hadi kuelewa, leo wanawatukana bila sababu.

M/Mungu atie wepesi wapite mtihani huu pia kama walivyopita mingine!
 
Siku ya Kwanza kufika mbagala, nilipanda gari pale mbagala kuu nikamkuta Mzee mtu mzima ameshikilia bomba huku anakula fenesi. Na Hapo gari imejaa nyomi Ila haujali Wala nn.

Aisee!! Nilidata.

Nafikiri ukitaka upate picha halisi ya mikoa ya kusini basi Mbagala ni sehemu sahihi.
Ukiisikia hii kauli unaweza kufikiri muongeaji anatokea Montreal, Canada, kumbe unaweza kukuta yupo zake Simiyu ndaaani huko amepozi mbele ya tembe lao anaponda watu kama hivi. Mitandao bwana!
 
Hakika
-Squatters
-income levels ie mostly wa kipato cha kati na chini ndio wengi
-Social services (maji umeme barabara)
-Other factors kama civilisation
-Entry point ambapo tunasema tangu awali ilionekana ni makazi ya watu wakawaida.
-Usalama

Etc etc
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku ya Kwanza kufika mbagala, nilipanda gari pale mbagala kuu nikamkuta Mzee mtu mzima ameshikilia bomba huku anakula fenesi. Na Hapo gari imejaa nyomi Ila haujali Wala nn.

Aisee!! Nilidata.

Nafikiri ukitaka upate picha halisi ya mikoa ya kusini basi Mbagala ni sehemu sahihi.
 
Back
Top Bottom