mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Dini sio sababu,mbona hata magomeni na kariakoo kuna watu wa dini hiyo hiyo na bei iko juuTatizo dini za wanaoishi maeneo hayo na mikoa ya njia mbagala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini sio sababu,mbona hata magomeni na kariakoo kuna watu wa dini hiyo hiyo na bei iko juuTatizo dini za wanaoishi maeneo hayo na mikoa ya njia mbagala
Kule kila biashara bei ni ya chini,mgahawani sahani ya wali buku,matunda kama embe/ndizi/chungwa 50tsh,tikiti zima 500 so hadi uungeunge upate elfu 10 kwa siku shughuli yake sio mchezo lazima jasho likutoke.Mbagala pazuri sana kwa biashara ya fremu.. viwanja vya bara barani
Mgeni nani[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Haiko standard kijichi gani huko.kulikojaa uswahili kuanzia unapoingia maeneo ya kuingia kuelekea huko kuanzia mbagala mission ,sijui mgeni nani nk
Mtu hata ukiambiwa huko mbele Luna majumba ya nguvu hata hamu ya kwenda huna!!
Kwa akina adriz mutu wa mnyaaz MunguWengi wanaoishi Kule ni waislamu
Vikindu na Kisemvule kumekucha sana mkui watu wanajenga nyumba nzuri hasa nyumba mya na viwanja vinapaaUkanda huo wote kuanzia Temeke,mbagala na kuendelea huko chini vikindu,kisemvule mpaka huko mkuranga wamejaa waswahili hata Uuzaji wa viwanja ndo ule wa Futi (40ft×50ft) Viwanja vingi vya Mbagala havijapimwa ...wauzaji wanafanya makadirio tuu Unauziwa bila kujali uelekeo ndo maana unakutana na nyumba zimekaa hovyo hovyo
Haya yote yamewafanya watu wengi kuwa discouraged
Lakini ukanda huo ni mzuri sana kwa viwanja vya biashara (viwanja vinavyotazamana na barabara kuu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuma ulete WaPo hadi pale kariakooshida ya uswahilini hata ukifanya biashara, unapigwa chuma ulete hadi ife.
Kwahio Nyie watu wa pwani ndio mlikua wa kwanza kutengeneza magodoro?Waislamu mwaka huu watakoma.......yameibuka mashambulizi juu yao hata sielewi kisa ni nini?!!! Ni kejeli, ni matusi, ni shari juu yao mwanzo mwisho. Wengine wanaotukana ni wale waliofundishwa na waislamu hao hao namna ya kuvaa, kuongea na hata ustaarabu wa kuchamba. Walitoka kwao bara huko wakilalia ngozi mbichi za ng'ombe huku wengine wakikaa uchi pamoja na dada zao huku wakitumia magunzi ya mahindi kuchambia. Wakafika pwani (kwa waislamu) wakapokelewa na kuelekezwa wajihi wa kibidamu ukoje hadi kuelewa, leo wanawatukana bila sababu.
M/Mungu atie wepesi wapite mtihani huu pia kama aalivyopita mingine!
Really? Mikoa ya asili ya Panya road?Eneo la Mbagala linaakisi maisha ya mikoa ya kusini
Ulifanya Sensa kujua dini zao?Wengi wanaoishi Kule ni waislamu
Lakini mbona elimu ya dini inatolewa kwa wingi Mbagala?Hapana ukisema uncivilized unaharibu utaratibu mkuu. Be fair. Watu wa huku wengi wamekosa elimu ya kileo
Civilization?Low income earners wanaishi huko kwahiyo hakuna jipya
Halafu level ya civilization ipo chini sana
Dini inahusika vipi na thamani ya eneo husika?Tatizo dini za wanaoishi maeneo hayo na mikoa ya njia mbagala
Kwa kifupi wilaya yote ya Temeke ardhi yake haina thamani. Uswahili mwingi sana na hali ya kipato pia na hali ya usalama hairidhishiMiaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Uswahili maana yake Nini? Mbona waswahili tuna jidharau Sana? Kwa hiyo wewe ni mzungu au muhindi?Kwa kifupi wilaya yote ya Temeke ardhi yake haina thamani. Uswahili mwingi sana na hali ya kipato pia na hali ya usalama hairidhishi
Huwezi kumshawishi mtu mwenye kipato chake kuishi wilaya ya Temeke na wakati anaona wilaya ya Kinondoni kuna maeneo kama Madale, Goba, Mivumoni, Salasala, Mbweni ni matulivu, yana usalama, yana hadhi na hakuna uswahili
Watanzania na hasa wakazi wa hapa Dar tunapokuwa kwenye mazungumzo yanayohusu makazi tunapotumia neno kwamba eneo fulani lina uswahili tunaelewana nini tunamaanisha, usipende kucomplicate mambo mkuuUswahili maana yake Nini? Mbona waswahili tuna jidharau Sana? Kwa hiyo wewe ni mzungu au muhindi?
Huo ndo ukweliAina ya watu wanaopatikana Mbagala na kuijaza wana tofauti kubwa na wakazi wa Kinoclein