Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Ukanda huo wote kuanzia Temeke,mbagala na kuendelea huko chini vikindu,kisemvule mpaka huko mkuranga wamejaa waswahili hata Uuzaji wa viwanja ndo ule wa Futi (40ft×50ft) Viwanja vingi vya Mbagala havijapimwa ...wauzaji wanafanya makadirio tuu Unauziwa bila kujali uelekeo ndo maana unakutana na nyumba zimekaa hovyo hovyo
Haya yote yamewafanya watu wengi kuwa discouraged
Lakini ukanda huo ni mzuri sana kwa viwanja vya biashara (viwanja vinavyotazamana na barabara kuu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka ijae mizungu au miarabu?
Uswahili ni laana?
Wewe sio mswahili?
Goba, Mbweni hawapo waswahili?