Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃😃😃😃Mbagala ni jimbo linalokaliwa kibabe na mkoa wa mtwara .ni kama crimea na urusi.mbagala haiko kwenye himaya ya mkoa wa dar.
Basi Mbagala ibadilishwe jina liitwe Crimea na Kimara walikojazana wa kutoka kilimanjaro kuitwe Ukraine😃😃😃Mbagala ni jimbo linalokaliwa kibabe na mkoa wa mtwara .ni kama crimea na urusi.mbagala haiko kwenye himaya ya mkoa wa dar.
Hakuna ukweli mwingine zaidi ya huuMbagala ni jimbo linalokaliwa kibabe na mkoa wa mtwara .ni kama crimea na urusi.mbagala haiko kwenye himaya ya mkoa wa dar.
Haiko standard kijichi gani huko.kulikojaa uswahili kuanzia unapoingia maeneo ya kuingia kuelekea huko kuanzia mbagala mission ,sijui mgeni nani nkKijichi vip?
Anachojaribu kueleza ni kuwa maeneo mengi yenye waislamu wengi hayana maendeleo mfano miji ya zamani kama Pangani,Ujiji,Bagamoyo ,Kilwa nk ilitakiwa yawe majiji tena makubwa kuliko Dar,Arusha au Dodoma,au Mbeya,Kahama ,Mwanza nkNahc kama sijakuelewa
Mkuu, ninadhani main factor ni hali ya usalama katika eneo husika pamoja na upatikanaji wa miundombinu bora ya huduma humimu za kijamii ndio maana thamani ya ardhi kwa eneo kama Mbagala si sawa na ile ya Mbezi Beach pamoja na UnunioSiyo tu m ba ga la, hata so we to, south afrika viwanja bei nafuu, havina thamani kama mpumalanga, kenya eneo la mabanda mathale hali ni hiyo hiyo, tAfauti na kisii, likoni au kakamega
Kijichi vip?
Kijichi ni mtoni Sio mbagalaKijichi na toa ngoma ilitakiwa iwe sehemu ya kigamboni tu..ni sawa kati ya watu 100 watu wawili tu ndio waliopendeza wengine wote wachafu
Hapa ndipo pointi ilipo kuhusu Mbagalalevel ya civilization ipo chini sana
Mwanangu una silibaaHapa ndipo pointi ilipo kuhusu Mbagala
Unakuta wengine hapo Mbagala wana pesa hasa na elimu.kubwa tu lakini civilization wako zero
Buguruni, Mwananyamala, Tandale na Manzese ni USWAHILINI kuliko Mbagala na Gongolamboto.Uswahili uswahili unachangia sana kushusha hadhi ya eneo fulan
kijichi ni ushuaniKijichi vip?
hakuna mtu mwenye "pesa" zake ananunua huko. au mtu wa hadhi anayetafuta kiwanja mbagalaWeka na mfano kidogo mkuu. Haina thamani kwa misingi ipi?
Kijichi kumepimwa na watu wenye fedha' wamejenga mahekalu hukoBuguruni, Mwananyamala, Tandale na Manzese ni USWAHILINI kuliko Mbagala na Gongolamboto.
kijichi ni ushuani