Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

1) Juma Nature the legend himself

2) Mheshimiwa Said fella gulu kwenye masuala ya management ya mziki

3)Mbwana Samatta, Mohammed Samatta

4)Kingwendu msanii wa Vichekesho

5)Aisee kama mchekeshaji anayependa igiza kama yesu.

6)Mwina kaduguda aliwahi kuwa mwenyekiti wa Simba

7)Mhidin gulumo
Ahaa hiyo list sasa,gurumo alihamia ubungo makubuli,hapo ukimtoa fella waliobaki siwezi kushangaa hata ungeniambia wanakaa tandali kwa bi nyau,chegge,mh temba na inspector walihama huko kitambo
 
Bado hujanijibu nilichokuuliza hayo mambo ya lugha sijui blah blah blahs Nyerere aungane na watu wa pwani akaelekezwa sijui ustaarabu karne ya 13 siwezi kukuelewa kama bado mpaka leo 21 century year 2022 wewe upo hapa unajiona star kuelekezwa na mwarabu jinsi ya ”kutawadha mavi uliyokunya mwenyewe”

Mnajitengenezea mazingira ya kudharaulika wenyewe kisha mkidharaulika mnalia tena,kama lugha hata panya wana lugha zao na wanaelewana sembuse Kiswahili na huu ujinga utaukuta pwani na hao wenye dini mnajisifia kubuni vitu vya hovyo hovyo mwisho hata mliopelekwa shule na baba zenu badala muongee vitu vya msingi mnabaki na “tumefundishwa kuchamba....tumefundisha kuchamba” huku mifukoni hata cent mbovu hamna.


Usijali, acha tuendelee na mada husika mezani.
 
Kama ungezaliwa Kurasini usingekuwa mshamba.

Hapo Kurasini upo hostel ukiwa ni mwanafunzi wa ualimu hapo DUCE.
Duce imeanza kuitwa hivyo nikiwa nimeshabarehe,kilikuwa chuo cha ualimu chang'ombe zamani kama hujui
 
Ahaa hiyo list sasa,gurumo alihamia ubungo makubuli,hapo ukimtoa fella waliobaki siwezi kushangaa hata ungeniambia wanakaa tandali kwa bi nyau,chegge,mh temba na inspector walihama huko kitambo
Temba kwao na alipojenga ni hapo Chang'ombe Ununio, nyuma ya Breweries.
Unawakumbuka spider

Chege ni mtoto wa Kurasini toka kitambo, unakumbuka kundi la Manyani camp

Inspector karudi mikoroshini, kumbuka alizaliwa na kukulia mtaa wa Wailes Temeke.

Hapo sijaweka wasomi na watu wengine mashuhuri pamoja na mabalozi waliojenga chamazi na wanaishi huko[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Duce imeanza kuitwa hivyo nikiwa nimeshabarehe,kilikuwa chuo cha ualimu chang'ombe zamani kama hujui
Mbagala pia imejaa, ukanunue Mkuranga huko[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwan Diamond anasemaje?
Diamond amezaliwa na kukulia Tandale huko.

Aliimba Mbagala ikiwa ni sehemu maarufu ila uchafu Tandale ni kuchafu zaidi, paovyo zaidi.

Ni sawasawa na hapo Mbeya Watoto wa Iyunga kupasifia Iyunga na Nzovye ila maeneo ya kisasa, ya kishua ni Iwambi, New forest, Uzunguni na kidogo Isyesye
 
Temba kwao na alipojenga ni hapo Chang'ombe Ununio, nyuma ya Breweries.
Unawakumbuka spider

Chege ni mtoto wa Kurasini toka kitambo, unakumbuka kundi la Manyani camp

Inspector karudi mikoroshini, kumbuka alizaliwa na kukulia mtaa wa Wailes Temeke.

Hapo sijaweka wasomi na watu wengine mashuhuri pamoja na mabalozi waliojenga chamazi na wanaishi huko[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Chamazi imejaa wachezaji wa azam ,na mzee mmoja alikuwa RC dodoma enzi za jiwe jordan rugimbana mbagala inabebwa na kijichi tu
 
Aisee nimecheka kinyama nusu nianguke hapa nijimwagie hii juice. Seriously?
All in all uko mzima ni wafanya biashara kuanzia babu mpaka wajukuu na wengine wapo kwenye ajira serikalini, wengi tumesoma masomo ya biashara na ni wasomi haswa. ndugu wengine walienda marekani miaka hiyo.
Babu yangu alikuwa mfanya biashara mkubwa miaka ya 50s na kuendela alinunua eneo kubwa la mbagala miaka hiyo na ni ndugu yake na Ali Mohamed Shein former president of Zanzibar.

Nikiendelea utagundua ukoo wetu.
Trust me kama ungekuwa wa kike basi ningekutumia 50 sasa hivi, lakini kutumiana pesa burebure vidume vizima ni ufala.
Kwa hiyo wewe unataka Wazaramo wasifie?

Ila Wandengereko, Wamatumbi, Wanyagatwa na watu kutoka kusini ndio hawafai?
 
Kwa hiyo wewe unataka Wazaramo wasifie?

Ila Wandengereko, Wamatumbi, Wanyagatwa na watu kutoka kusini ndio hawafai?
Mkuu mimi naongelea kabila langu tu. Hao wengine siwezi kuwajua na sijui utamaduni wao kiundani.
Mtu anayeongelea kitu asichokijua na bila ya uhakika ni mjinga asiyejitambua.
 
Diamond amezaliwa na kukulia Tandale huko.

Aliimba Mbagala ikiwa ni sehemu maarufu ila uchafu Tandale ni kuchafu zaidi, paovyo zaidi.

Ni sawasawa na hapo Mbeya Watoto wa Iyunga kupasifia Iyunga na Nzovye ila maeneo ya kisasa, ya kishua ni Iwambi, New forest, Uzunguni na kidogo Isyesye
Sawasawa
 
Chamazi imejaa wachezaji wa azam ,na mzee mmoja alikuwa RC dodoma enzi za jiwe jordan rugimbana mbagala inabebwa na kijichi tu
Nipe sababu tatu, kwa nini inabebwa na kijichi?

Wakati eneo la kuanzia kizuiani mpaka Torori ndilo lenye shughuli nyingi za kiuchumi?

Vikunai unaifahamu?

Mgeni nani?

Maji matitu? Nayo ipo hovyo.

N.B Mbagala Misheni, Mbagala Mwanamtoti pia ni sehemu ya kijichi ikiwa kijichi ni sehemu ya kata kwenye Tarafa ya Mbagala
 
Kwa mtazamo wangu thamani hutokana na
1. Ugumu wa wenye ardhi kuuza au urahisi, utashangaa kiwanja ni ghali arusha kuliko dar japo dar kuna maendeleo zaidi sababu watu wa kaskazini hawana utamaduni wa kuuza ardhi.

2. Jamii iliyopo - mbagala imejaa jamii ya chini na pengine watu wenye asili ya kusini hivyo hata anaeuza na kununua wanaendana na hali halisi ya jamii husika. Pia kwao ardhi haina thamani sana ukizingatia hata huko kusini ardhi haitumiki sana kwenye uzalishaji kama kilimo.

3. Huduma muhimu kama usafiri, barabara, maji, umeme, shopping centers, mabaa, migahawa, mashule, mahospitali na miundo mbinu kwa ujumla. Mbagala inakosa baadhi ya hii miundo mbinu muhimu kuvutia wakazi.

4. Usalama

5. Mtazamo/brand au haiba - mbagala inasifa ya kuwa sehemu ya hali ya chini hata diamond aliimba "tatizo kwetu mbagala". Hii imewaaminisha watu wenye kipato kuona mbagala sio eneo la kuishi, kwa kuwa liko "branded" kama eneo.la kimaskini na hali ya chini.

6. Mipango miji....sijui kama kumepimwa na kupangwa au ni "squata" japo hili tatizo la karibia tanzania yote.


-
 
Huo ukanda wote sijawahi kuuelewa bara nikaishi mlandizi au kibaha
Sikiliza wewe wakuja, ni vizuri ukinunua njia ya kwenda kwenu.

Huo ndio Utamaduni, ila kutokuuelewa hakukufanyi kudunisha eneo.

Fananisha Mbagala na maeneo kama Bunju, Mbezi mwisho au Kibamba, Gongo la Mboto halafu tuone wapi Kuna maendeleo kuzidi
 
Kwa mtazamo wangu thamani hutokana na
1. Ugumu wa wenye ardhi kuuza au urahisi, utashangaa kiwanja ni ghali arusha kuliko dar japo dar kuna maendeleo zaidi sababu watu wa kaskazini hawana utamaduni wa kuuza ardhi.

2. Jamii iliyopo - mbagala imejaa jamii ya chini na pengine watu wenye asili ya kusini hivyo hata anaeuza na kununua wanaendana na hali halisi ya jamii husika. Pia kwao ardhi haina thamani sana ukizingatia hata huko kusini ardhi haitumiki sana kwenye uzalishaji kama kilimo.

3. Huduma muhimu kama usafiri, barabara, maji, umeme, shopping centers, mabaa, migahawa, mashule, mahospitali na miundo mbinu kwa ujumla. Mbagala inakosa baadhi ya hii miundo mbinu muhimu kuvutia wakazi.

4. Usalama

5. Mtazamo/brand au haiba - mbagala inasifa ya kuwa sehemu ya hali ya chini hata diamond aliimba "tatizo kwetu mbagala". Hii imewaaminisha watu wenye kipato kuona mbagala sio eneo la kuishi, kwa kuwa liko "branded" kama eneo.la kimaskini na hali ya chini.

6. Mipango miji....sijui kama kumepimwa na kupangwa au ni "squata" japo hili tatizo la karibia tanzania yote.


-
Umeona hata tukianza kuichambua Kimara utagundua Dar es salaam inafanana tu.
 
Sikiliza wewe wakuja, ni vizuri ukinunua njia ya kwenda kwenu.

Huo ndio Utamaduni, ila kutokuuelewa hakukufanyi kudunisha eneo.

Fananisha Mbagala na maeneo kama Bunju, Mbezi mwisho au Kibamba, Gongo la Mboto halafu tuone wapi Kuna maendeleo kuzidi
Sikiliza wewe wakuja, ni vizuri ukinunua njia ya kwenda kwenu.

Huo ndio Utamaduni, ila kutokuuelewa hakukufanyi kudunisha eneo.

Fananisha Mbagala na maeneo kama Bunju, Mbezi mwisho au Kibamba, Gongo la Mboto halafu tuone wapi Kuna maendeleo kuzidi
Njia ya kwetu unaijua,?usinipangie mi sina kwetu zaidi ya Dar
 
najua vizuri sheria za kiislamu za kuoa mke wa pili nk

Kwanza inaanzia kitandani kuwa kama mfano mwanaume una nyege nyingi kupindukia anamshughulikia mke kitandani hadi anaona mzigo umemzidi ndio anatakiwa kutoa ruksa kuwa Wewe mwanaume ruksa kaoe mke wa pili tusaidiane huo mzigo wako wa kitandani mimi sitaweza peke yangu

Haya inafika kwa siku unawalala wake wote wawili mfululizo wote wanaridhika hadi kuchukua na wewe bado minnyege iko juu na kuwaambia nyie wanawake bado nataka!! Ndipo hao wanawake wawili wote kwa pamoja wanakaa na kutoa idhini uoe mke wa wa Tatu wasaidiane huo mzigo maana unawaridhisha na kuwachosha lakini wakati wewe bado!!

Haya anaolewa wa Tatu kwa siku unatembea nao wote watatu hadi wanakuwa hoi kitandani wanasema wewe kidume ngoja tukae tuongee tukuruhusu ukaoe mke wa nne!! Tusaidiane huu mziki

Wake wote watatu wanakaa na kuidhinisha kwa kauli moja ruksa kaoe mke wa nne

Sasa Kurani inaamini hakuna mwanaume awezaye kuparamia wanawake wanne kwa siku na akawaridhisha wote hicho ni kiwango cha juu

Ndio maana kwenye Kurani mwanaume kuoa mke mwingine au wengine lazima apate ridhaa ya mke au wake waliopo

Lakini waislamu wanaume wengi hujiona tu kitandani hamna kitu .Huyo mmoja tu anainuka kitandani mwanamke bado anataka!! Vidume vya kiislamu vinara wanawake wengine kisa tu ohh naoa mke wa pili nimeamua uatake usitake!! kitanda wakoo zero anataka tu chungu kipya kijana mpya tu!! Hana lolote!!

Waje waliopo tu kitandani hawaridhishi anao mwingine au wengine..ndio maana wanaume wa kiislamu wengi wenye wake wengi wake zao huchepuka kutembea hadi na wapiga debe ,makonda,bodaboda ,wauza magenta,ma houseboy nk au wahuni wa mitaani tena kwa gharama zao wanawake
Mbona masanja kagongewa ni muislam
 
Back
Top Bottom