Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Mbagala haipo Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu chang'ombeKwa wakazi wa wilaya ya Temeke eneo ambalo wanajivunia kuwa angalau limejengeka kiustaarabu ni Kijichi peke yake
Hivi kati ya Temeke na Ilala (toa city centre) wapi kuna afadhali ya makaziMwai Kibaki road formerly Old Bagamoyo road, point ni kuwa Temeke iko nyuma kwa hapa Dar
Mbagala ipi unakizungumzia, ujue mbagala ni Taifa.Watu wengi wa Mbagala wako uncivilized (sio wastaarabu).
Vibaka wengi, makelele kila kona, kuna hekaheka nyingi sana kiasi kwamba mtu usiyependa hekaheka huwezi kuishi Mbagala.
Binafsi hata wauze kiwanja laki 5 siwezi kukaa Mbagala, kuingia nyumbani kwako saa 3 usiku unaingia kwa wasiwasi maana wakabaji kibao maisha gani hayo sasa
Demokrasia ndio maendeleo ?Mataifa ya kiislam ya ghuba yote hayana demokrasia.
Huko saudi arabia wananchi hawana haki wanatawaliwa kibabe na ukoo mmoja tu. Wakikosoa wanakatwa shingo mfano khashoggi..
Kuna dada aligoma kuolewa na mzee maana dini inaruhusu, akakataa wakataka kumuua akakimbila canada
Hakuna nchi inayofata shariah za kiislamu hata moja ambayo inafata demokrasia... hakuna ambayo rais anachaguliwa kwa kupigiwa kura.
Yaani ni ukoo mmoja tu ndio unaendesha nchi kama family business vile
Mzee unazani Mimi wa kuja nini?Hivi unajua mbagala Ina kata ngapi? Unajua maji matitu, kijichi na mgeninani ni kata ipi?
Baadae sana, kwa Sasa mafuta ndio mchongoHao wa ghuba bila mafuta ni njaa kali sana..na tunakoelekea watarudi njaa kali technology inahamia kwenye sustainable renewable energy.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Umeona tumewatoa ardhi mliyojimilikisha?Ushabiki maandazi mwingi kule halafu watu wnalishwa matango pori wanaamini
Kata ya wilaya ya Temeke ndio Nn? Iulize vizuri wikipediaMzee unazani Mimi wa kuja nini?View attachment 2375936
Naomba nikuulize swali: je Kijichi ipo Kata ya Azimio au kata ya Mtoni?Mtoni kijichi leo imegeuka mbagala kijichi?
Sehemu ikiwa nzuri inageuka mbagala sababu ipo karibu na mbagala?
Mtoni kijichi, Kijichi, Temeke - Postcode - 15129 - Tanzania Postcode
Postcode for Mtoni kijichi, Kijichi, Temeke, Dar Es Salaam is 15129. Get this location Maps and GPS Coordinates.www.tanzaniapostcode.com
Mwambie hiyo Ilala akiiongelea asiache kutaja Mvuti, Dondwe, Msongola, Kivure, Mchikichini, vingunguti,Hivi kati ya Temeke na Ilala (toa city centre) wapi kuna afadhali ya makazi
Sawa kabisa umesema MWISLAMU sio ISLAM, fanya tafiti na soma Islam sio tafiti ya waislam.Wakristo wanaoa mke mmoja tu hadi kifo kiwatenganishe lakini wanaume waislamu ruksa kuoa wake wanne hapa duniani nani hapo anapenda dunia kitandani kuliko mwingine?
Mwislamu kila siku anabadilisha wanawake wa ndoa leo Yuko kwa Asha Ngedere ,Kesho yuko kwa Hadija Nichokonoe,Keshokutwa yuko kwa Mwajuma Kigodoro,mtondogoo yuko kwa Halima Muuza Vichwa vya kuku anaparamia
Kote ananing'inia kwenye vifua vya wanawake wake wake zake! Akila starehe za dunia
Nani mpenda dunia na starehe hapo? Kati ya Mkristo na Muislamu?
Mpaka umejibu ujue imekutachi, matusi sio solution leta points.Acha kujipa moyo kijinga..ndio mana mnajiripua kise..gerema.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yeah nimesahau kwamba kila mtu jf ni tajiri by keyboard dollars.Sio kwa povu hili..ila mbagala pakichoko sana hasa wakazi wahuko.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wewe utakuwa ni mwarabu wewe.Africans are just a bunch of talking monkies.
San wee unaendaje kuishi na wamakonde wamakonde wote wako hapo unategemea nnMiaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi, miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Sasa mbona unatoa povu zito namna hii kwa mambo simple? Hapa ukijifanya kukasirika kwa sababu dini/kabila/sehemu/jinsia yako imesemwa vibaya basi utakufa kwa kiroho. Take it easy! Sijui kama ulishuhudia kipindi cha Magufuli wachaga walivyokuwa wanashambuliwa!No nigga. Mimi ni mweusi zaidi ya mkaa wa mkaratusi.
Ukitaka bifu wadharau watu wanaokah mbagala aisee hakna rangi utacaha kuona Kam upo kwenye daladla unaweza shushwa kituoLow income earners wanaishi huko kwahiyo hakuna jipya
Halafu level ya civilization ipo chini sana
Nakubaliana na wewe. Tatizo lipo kwenye kutafakari. Sisi watanzania sijui akili zetu zikoje lakini huwa hatuna tabia ya kutafakari au kutafiti jambo kabla ya kulisema. Hili nilikuwa silijui lakini uwepo wa Internet umefanya nijue. Pengine elimu tuliyopata inazingatia zaidi kukariri.Tatizo lililopa Tanzania watu wengi wanatoa maoni yao kuhusu kitu chochote kile huwa kina kuwa driven by emotional sn kuliko uhalisia wa jambo husika na hilo ni tatizo.
Hold up! hold up! kama hauchukulii serious basi hata comment yangu usingechukulia serious vilevile.Sasa mbona unatoa povu zito namna hii kwa mambo simple? Hapa ukijifanya kukasirika kwa sababu dini/kabila/sehemu/jinsia yako imesemwa vibaya basi utakufa kwa kiroho. Take it easy! Sijui kama ulishuhudia kipindi cha Magufuli wachaga walivyokuwa wanashambuliwa!