Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Baki hivyo wakati akina Manji mabilionea walikuwa na maeneo hadi kuwa diwani wa Mbagala kuu.
Mabilionea wana maeneo Mbagala kwa ajili ya biashara zao (warehouses, factories & yards) lakini sio kwa makazi yao.

Halafu huko Mbagala cheap labour ni wengi na ardhi ni bei rahisi ndo maana wanakuja kuwekeza

Baada ya hapo wanarudi zao Masaki, Mbezi Beach, Oysterbay, Mikocheni, Mbweni, Madale kupumzika na familia zao
 
Lkn umeonaje maendeleo yao kama NCHI?
Mfano Nchi hizi ndizo hazina mfumo wa Kupiga kura ni absolutely monarchy na ndio NCHI asilimia 100% ni waislam hebu dadavua kidogo tuje unaelewa nini kuhusu maendeleo.

1)Saudi Arabia
2)Qatar
3)U.A.E
4)Kuwait
5)Oman
6)Bahrain

nchi hizo zina utajiri mkubwa rasilimali Mafuta ila bado Hizo nchi hazina maendeleo kuzizidi nchi ambazo sio za kiislamu.

nchi zinazoongoza kwa maendeleo na utajiri duniani kwa lugha nyingine nchi zenye uchumi mkubwa zinaitwa G7 countries

hakuna nchi hata moja katika hizo ulizozitaja ambayo imefikia level ya kuingia G7 countries

hizo nchi ukizilinganisha na Tanzania utaona zina maendeleo maana zinatuzidi , ni sawa na Burundi wanaiona Tanzania ina maendeleo. ila kwenye level za kidunia hizo nchi hazina maendeleo ya kuzizidi non muslim countries.

nitajie nchi gani hapo ina maendeleo kuzidi G7 countries?
 
Matusi ya nini kiongozi?. Tukiweka udini mbele tutatukana kila mtu. Hapa tunajifunza tu

Nani kasema?. Mbagala ipo kwenye riski sabb watu wengi wa huku ni zao la pwani /kusini. Na huo ukanda wa kusini elimu ya kileo haijafika vizuri nd mana mpaka Sasa kuna tamaduni hazijaachwa. Mf. Wazaramo wameijenga mbagala kuwa sehem ya ngoma na mdundiko kila jumapili. Wamakonde wameijenga kuwa sehem yenye uchawi kias cha kuogofya kidogo.
Ukiichukua kimitazamo wa kileo, uchawi na kupenda ngoma (vigodoro) ni USWAHILI. huku vikiambatana na kukosa elimu (tusiuite Ujinga). Uongoz pia ulaumiwe Kwa kukosa motivesheni y kuwakomboa wat wa huku Kwa nguvu zaidi ya kawaida.
NB: UDINI UNATUTOA KUFIKIRIA NA KUTUPELEKA KUJAJI
Sasa mkuu wazaramo kupiga ngoma kila jumapili ndio ifanye nyumba zisipangike.?? Naona pamoja na yote serikali pia ya kulaumiwa kwa hili linalo endelea
 
Sasa mkuu wazaramo kupiga ngoma kila jumapili ndio ifanye nyumba zisipangike.?? Naona pamoja na yote serikali pia ya kulaumiwa kwa hili linalo endelea
Hawa jamaa walion'gan'gania mbagala sio PA kuishi Kuna engo wako sahihi ila wamejaa mihemko ndo mana hoja haionekani. Mm binafs mbagala nataka kuhama Lakin hawa watu wa kusaidiw sio kutengwa. Ni binadam pia, tatizo Wana Mila zinazopingana na maendeleo
 
Hawa jamaa walion'gan'gania mbagala sio PA kuishi Kuna engo wako sahihi ila wamejaa mihemko ndo mana hoja haionekani. Mm binafs mbagala nataka kuhama Lakin hawa watu wa kusaidiw sio kutengwa. Ni binadam pia, tatizo Wana Mila zinazopingana na maendeleo
🤣🤣🤣 sawa mkuu
 
nchi hizo zina utajiri mkubwa rasilimali Mafuta ila bado Hizo nchi hazina maendeleo kuzizidi nchi ambazo sio za kiislamu.

nchi zinazoongoza kwa maendeleo na utajiri duniani kwa lugha nyingine nchi zenye uchumi mkubwa zinaitwa G7 countries

hakuna nchi hata moja katika hizo ulizozitaja ambayo imefikia level G7 countries

hizo nchi ukizilinganisha na Tanzania utaona zina maendeleo maana zinatuzidi , ni sawa na Burundi wanaiona Tanzania ina maendeleo. ila kwenye level za kidunia hizo nchi hazina maendeleo ya kuzizidi non muslim countries.

nitajie nchi gani hapo ina maendeleo kuzidi G7 countries?
Maendeleo nini? Naomba kujua hilo
 
Sababu kubwa ni mzunguko mdogo wa pesa na usalama..... mpaka leo hii unapata sahani ya wali kwa 500.......

Mambo ya kuvunjiana milango ni vitu vya kawaida sana kule.......

Kule vijana wengi ni wakabaji pindi jua linapozama.......kule ukipata break down ni Bora ukimbie kuliko kubakia hapo........ umaskini umewafanya watu kule kuwa wanyama......
Kwanza kabisa mnatakiwa mjue mbagala ni kubwa, si kila matatizo unayosikia mbagala basi ni mbagala yote, kuna maeneo mbagala watu wanaishi zao kwa utulivu tu
 
watu wenye uwezo huwezi wapangisha sehemu kwenye ngoma ngoma na makelele..

mbagala yote sizani kama kuna nyumba ya kuishi ya kufikia Kodi laki 4 kwa mwezi
Huijui mbagala. Hiv mnajua nyumba aliyopanga jokate (kwa mamunyange) Analipa kias gan Kwa mwez?
 
Ukiisikia hii kauli unaweza kufikiri muongeaji anatokea Montreal, Canada, kumbe unaweza kukuta yupo zake Simiyu ndaaani huko amepozi mbele ya tembe lao anaponda watu kama hivi. Mitandao bwana!
Yaani hapa nashangaa sana, sijui wanaichukuliaje Mbagala, na wengi wanaokoment negative humu wako huko kwenye vyumba vya kupanga kinondoni mkwajuni
 
Kwamba mtu auze nyumba/eneo lake Kariakoo, Ilala ama Magomeni kwa zaidi ya milioni 700 ama hata bilioni then ashindwe kwenda kununua kiwanja Mbezi, Madale ama Tegeta kwa bei ya milioni 30 ama 50?
Hivi unawajua wazawa wa Dar Wandengereko Wazaramo na Wamanyema mkuu?Hao nyumba ikiuzwa wakishapata hela zao kwanza wananunua magari ya kifahari wanawatafuta wale mademu waliokuwa wanawakataa wakati wakiwa bado fukara wanazitumia kwenye starehe.

Wakiona zimebaki 10mill ndo wanastuka wanaenda kununua popote so ponapona yao ni huko Mbagala,kiwanja 700K inajengwa nyumba ya 7mill isiyokuwa na ramani 2.3mill iliyobaki anaita ngoma na ndugu zake anasherehekea kuhamia kwenye nyumba yake ya rumu mbili iliyojengwa kwenye kiwanja 12×12 isiyokuwa na hata sehemu ya kuanikia nguo huku ana familia ya watoto sita.
 
Mtu anayeijua dar hawezi kuishi mbagala,bora nikae kibaha
Mbagala unaijua vizuri wewe au unaandika tu kwa kusimuliwa. Leo Mbagala rangi 3 unaijua Bei ya fremu? Bila milion 1 hupati frem, Kijichi Bado ni Mbagala lakin Kiwanja mpaka milion 100, hiyo Zachkem hupati kiwanja, lazima umvue mtu bila milion 200 hutoi mtu wewe unaongea nini
 
Kama mbagala haina thamani ili uthibitishe kuwa ni kweli ulizia bei ya kiwanja , otherwise ni blablaa tuu
 
Mbagala unaijua vizuri wewe au unaandika tu kwa kusimuliwa. Leo Mbagala rangi 3 unaijua Bei ya fremu? Bila milion 1 hupati frem, Kijichi Bado ni Mbagala lakin Kiwanja mpaka milion 100, hiyo Zachkem hupati kiwanja, lazima umvue mtu bila milion 200 hutoi mtu wewe unaongea nini
Ndugu yangu humu kwenye JF watu wengi sio wakazi au wazaliwa wa DAR ES SALAAM a.k.a Mzizima utapata taabu kuwaelimisha.
 
Back
Top Bottom